GET /api/v0.1/hansard/entries/?format=api&page=154551
HTTP 200 OK
Allow: GET, POST, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept

{
    "count": 1608389,
    "next": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/?format=api&page=154552",
    "previous": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/?format=api&page=154550",
    "results": [
        {
            "id": 1563702,
            "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1563702/?format=api",
            "text_counter": 110,
            "type": "speech",
            "speaker_name": "Sen. (Dr.) Murango",
            "speaker_title": "",
            "speaker": {
                "id": 13585,
                "legal_name": "Murango James Kamau",
                "slug": "murango-james-kamau"
            },
            "content": "Babu yangu ni mmoja wa wale waliopeana mashamba na vile vile kuchangia katika kujengwa kwa kiwanda hicho. Kwa hivyo, Serikali inapoamua kukiuza, ni vyema tujue ni kwa jinsi gani wale waliopeana mashamba kwa hiari watafaidika. Nikikupa shamba ufanyie kitu fulani, ikiwa huna haja nalo tena, unafaa kunirudishia mimi niliyekupa kwa sababu sikuuza."
        },
        {
            "id": 1563703,
            "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1563703/?format=api",
            "text_counter": 111,
            "type": "speech",
            "speaker_name": "Sen. (Dr.) Murango",
            "speaker_title": "",
            "speaker": {
                "id": 13585,
                "legal_name": "Murango James Kamau",
                "slug": "murango-james-kamau"
            },
            "content": "Jambo la pili ni kuwa kuna mchango uliofanyika ili kuhakikisha kuwa kiwanda hicho kinaendelea. Wengi wa watu hao huzikwa makaburini. Sisi kama Wakikuyu kutoka Kirinyaga tunashika mashamba yetu. Tulipeana mashamba na sasa watu wanakaa vijijini ambako hawana hata mahali pa kuzikwa."
        },
        {
            "id": 1563704,
            "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1563704/?format=api",
            "text_counter": 112,
            "type": "speech",
            "speaker_name": "Sen. (Dr.) Murango",
            "speaker_title": "",
            "speaker": {
                "id": 13585,
                "legal_name": "Murango James Kamau",
                "slug": "murango-james-kamau"
            },
            "content": "Ni vyema kwa watu hao waliokuwa na roho nzuri kuhusishwa kwa jambo kama hili. Waliobaki kama sisi tunafaa kuitwa kwa sababu kuna wengine waliotutangulia kwenda ahera. Tunafaa kupeana maoni yetu kwa sababu wale waliobaki hawataki uwanja huo uuzwe."
        },
        {
            "id": 1563705,
            "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1563705/?format=api",
            "text_counter": 113,
            "type": "speech",
            "speaker_name": "Sen. (Dr.) Murango",
            "speaker_title": "",
            "speaker": {
                "id": 13585,
                "legal_name": "Murango James Kamau",
                "slug": "murango-james-kamau"
            },
            "content": "Jambo la tatu ni kuwa kuna viwanda ambavyo vimejengwa kule Sagana. Tunaambiwa kuwa tunafaa kwenda huko kutafuta huduma kwa sababu shamba lililoko Mji wa Ngurubani linapakana na maghala ya Halmashauri ya Nafaka, mahali ambapo wakulima wanaenda kuchukua mbolea ya ruzuku. Pahali hapo panaposemekana kuwa katikati ni Zaidi ya kilomita 30. Ni kama kutoa jikoni karibu na sebule na kuipeleka karibu na bafu. Inafaa kuwa mahali ambapo unaweza kutembea."
        },
        {
            "id": 1563706,
            "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1563706/?format=api",
            "text_counter": 114,
            "type": "speech",
            "speaker_name": "Sen. (Dr.) Murango",
            "speaker_title": "",
            "speaker": {
                "id": 13585,
                "legal_name": "Murango James Kamau",
                "slug": "murango-james-kamau"
            },
            "content": "Sisi tungetaka huduma zinazopelekwa katika kiwanda hicho zibaki pale pale. Kama wakulima wataamua kwamba kiwanda hicho kipeanwe, basi wanafaa kuhusiswa kikamilifu ili waamue kama kitatolewa au la."
        },
        {
            "id": 1563707,
            "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1563707/?format=api",
            "text_counter": 115,
            "type": "speech",
            "speaker_name": "Sen. (Dr.) Murango",
            "speaker_title": "",
            "speaker": {
                "id": 13585,
                "legal_name": "Murango James Kamau",
                "slug": "murango-james-kamau"
            },
            "content": "Asante sana Bw. Spika."
        },
        {
            "id": 1563708,
            "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1563708/?format=api",
            "text_counter": 116,
            "type": "speech",
            "speaker_name": "Hon. Kingi",
            "speaker_title": "The Speaker",
            "speaker": null,
            "content": " Sen. Eddy, you have the Floor."
        },
        {
            "id": 1563709,
            "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1563709/?format=api",
            "text_counter": 117,
            "type": "speech",
            "speaker_name": "Sen. Oketch Gicheru",
            "speaker_title": "",
            "speaker": null,
            "content": "Mr. Speaker, Sir, I have two quick comments. The first one is on the Statement that was sought by Sen. Hamida. I do not know what we can do to make sure that resolutions of this House through any Motion are respected. This is a serious issue that Sen. Hamida has brought here and we canvassed it in this House. The electronic version of the Senate Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Director, Hansard and AudioServices, Senate."
        },
        {
            "id": 1563710,
            "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1563710/?format=api",
            "text_counter": 118,
            "type": "speech",
            "speaker_name": "Sen. Oketch Gicheru",
            "speaker_title": "",
            "speaker": null,
            "content": "As Members of the County Public Investments and Special Funds Committee (CPIC), last weekend, we visited a hospital in Kwale, which I do not want to mention here. There were instances where a mother could have lost a child, but they are put in the same room with other mothers who have their children. That is so traumatizing even for us who sometimes witness such kind of things."
        },
        {
            "id": 1563711,
            "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1563711/?format=api",
            "text_counter": 119,
            "type": "speech",
            "speaker_name": "Sen. Oketch Gicheru",
            "speaker_title": "",
            "speaker": null,
            "content": "We resolved in this House that there should be money for mental health services for mothers in maternity facilities in different counties. Those resolutions of the Senate were to be implemented six months after we passed them. What happens when they are not implemented and how do we follow up on that?"
        }
    ]
}