HTTP 200 OK
Allow: GET, POST, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept
{
"count": 1608389,
"next": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/?format=api&page=154927",
"previous": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/?format=api&page=154925",
"results": [
{
"id": 1567452,
"url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1567452/?format=api",
"text_counter": 479,
"type": "speech",
"speaker_name": "Sen. Munyi Mundigi",
"speaker_title": "",
"speaker": null,
"content": "lazima nisaidiwe na daktari.Tunajiuliza, kama mambo haya yanatendeka katika hospitali kubwa, je, mashinani kwa mwananchi, ni wangapi wameteseka na kuumia? Tunajua wakati huu kuna shida za fedha na hospitali zinahitaji fedha. Jana tulilkuwa tunajaribu kupitisha hela za malipo ya madaktari yaliyochelewa. Ni mpaka tuwe na utu kwa madaktari kwa sababu tunapoomba tunaamini daktari ni kama Mungu wa pili. Hata kama kuna dawa, huwa tunaomba Mungu asaidie na pia aongoze daktari ili ajue mtu ameugua wapi au atapewa dawa zipi. Naomba tuangalie ili uchunguzi ulete mwelekeo na ukweli. Pia, familia hii ihudumiwe kwa njia ifaayo. Huenda ikawa familia itapata fidia ya pesa lakini uhai ulioondoka hautarudi ulimwenguni. Yafaa tujiangalie tukiwa human beings, awe ni daktari ama mtu yeyote. Daktari ni mtu muhimu sana. Kwa muda wa miezi miwili sasa, madaktari wamekuwa wakija katika lango la Seneti na tumekuwa tukiongea nao. Hata kama kuna shida ya hela, tunaomba madaktari muwe mkiangalia binadamu kwa sababu pesa haziwezi kulinganishwa na kazi mnayofanya. Ni mpaka muwe na roho ya Mungu na muwe mkisaidia binadamu. Bw. Naibu Spika, kuna magonjwa mengi katika ulimwengu. Binadamu ana shida nyingi na stress. Hata kama familia hii itapata fidia ya pesa haiwezi kuridhika. Madaktari hata kama wako na shida waangaliwe ili hospitali zetu za kaunti zipate dawa na pia ziwe na vifaa vya kazi na vile vitu vingine vinahitajika. Bw. Naibu wa Spika, kule mashinani, kuna shida nyingi. Magavana wako na shida na wizara pia ziko na shida. Miezi miwili iliyopita, Serikali ya Kenya Kwanza iliweka Waziri wa Afya na tunaona vile anajaribu kulainisha maneno ya afya. Karibu wiki mbili zimezipita, ninakumbuka kuna Director General aliyeajiriwa kwa hiyo Wizara. Kwa hivyo, ni mambo mengi yanayofa kuangaliwa. Hata kama pesa si nyingi, ningeomba daktari yeyote ule, awe mkubwa au mdogo, aliye kazi usiku au mchana, waangalie mambo ya binadamu. Kulikuwa na kisanga kule kaunti ya Embu Hospitali ya Level 3 miezi miwili iliyopita. Pia, miezi minne iliyopita, kulikuwa na kisanga kingine katika hospitali ya Kiritiri Level 3 ingawaje, huyo mtoto hakufariki. Huo wakati, mama alikuwa karibu kupata mtoto na hakuna daktari alikuwa karibu. Hakuna askari alikuwa karibu na hakukuwa na stima pia. Mambo ya ajabu ni kuwa yule mama alijifungua lakini watu wengi na familia nyingi zimeteseka. Huenda ikawa hawa watakuwa na fikira ya kushtaki kitendo kama hiki lakini vitendo vingi vimefanyika. Bw. Naibu wa Spika, jana nikiangalia kwa mitandao, kuna kisanga kingine kilifanyika. Kuna mama alikuwa anapata mtoto na kwa bahati nzuri, kulikuwa kina mama wanampeleka hospitali. Alilemewa kwa njia na kulikuwa na kijana, mwenyewe hiyo familia. Alipoonyeshwa kwa runinga, alisema alikuwa anapeleka bibi yake hospitali kupata mtoto na kufanyiwa upasuaji. Huyo kijana alikimbia, mambo ya ajabu lakini sikuangalia ile video vizuri. Alisema alikimbilia kule hospitali na daktari akamwambia ana kazi nyingi. Lakini baadaye, yule kijana akapewa vifaa vyote vya kuzalisha. Wale kina mama walikuwa karibu, walitoroka na yule kijana alisaidia yule mama kupata mtoto. Bw. Naibu wa Spika, akina mama wengi wajawazito wameteseka. Kwa hicho kitendo cha jana, watu wengi hawajahudhuria vile madaktari wanafanya kazi. Wanaume"
},
{
"id": 1567453,
"url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1567453/?format=api",
"text_counter": 480,
"type": "speech",
"speaker_name": "Sen. Munyi Mundigi",
"speaker_title": "",
"speaker": null,
"content": "The electronic version of the Senate Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Director, Hansard and AudioServices, Senate."
},
{
"id": 1567454,
"url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1567454/?format=api",
"text_counter": 481,
"type": "speech",
"speaker_name": "Sen. Munyi Mundigi",
"speaker_title": "",
"speaker": null,
"content": "wengine, hata sisi wazee, tuko na uoga. Inamaanisha ya kwamba, kitendo kama hicho kiko kwa mitandao, katika ulimwengu huu na binadamu ameletwa na Mungu, mambo ya afya yanafaa kuangaliwa na ile njia inafaa. Mambo ya ajabu, huku Kenya na pia ulimwenguni, ni watoto wangapi wanafaa kuwa Seneti, kama wewe au mimi ambao wameondoka humu ulimwenguni kwa njia ambayo haifai kwa sababu, mtoto amezaliwa kwa njia? Huku Kenya yetu, tuko na shida. Tukiachana na mambo ya madaktari, utakuta mahali pako mbali na hospitali, barabara ni mbaya. Mvua ikinyesha na kuna mama mjamzito, akipata mtoto usiku, hakuna gari au boda boda ya kumsaidia. Mambo mengine hata kama tunaangalia, tungeomba Serikali ya Kenya Kwanza ipatie wizara zote pesa ili barabara zitengenezwe. Pesa ikipatikana na barabara zitengenezwe, magavana pia wapeleke wizara ya afya kule mashinani ili kusaidia wananchi. Bw. Naibu wa Spika, ninashukuru Serikali juu ya Community Health Promoters"
},
{
"id": 1567455,
"url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1567455/?format=api",
"text_counter": 482,
"type": "scene",
"speaker_name": "",
"speaker_title": "",
"speaker": null,
"content": "(CHPs) kwa"
},
{
"id": 1567456,
"url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1567456/?format=api",
"text_counter": 483,
"type": "speech",
"speaker_name": "Sen. Munyi Mundigi",
"speaker_title": "",
"speaker": null,
"content": "sababu tunaona ile kazi wale wako mashinani wanafanya. Jana, tumepitisha fedha za CHPs na ningewaambia wasijali, pesa zao zinakuja na watalipwa fidia. Ningewaomba wafanye kazi kulingana na vile Mungu amewapatia. Tunajua kuna shida kwa sababu, asilimia hamsini inatoka kwa serikali za kaunti na hamsini hiyo nyingine inatoka kwa Serikali Kuu, lakini bado, pesa inakosekana. Ningeomba serikali za kaunti zipewe fedha za wale watu wako mashinani katika hospitali zote. Bw. Naibu wa Spika, tunajua kaunti nyingi hazina pesa za kusaidia mambo ya barabara, afya na mishahara, imesaidia ni kwa sababu sisi Maseneta, tunaongea mambo ya ugatuzi. Ndio maana tunasema, wakati mgao wa pesa utakuja, tungeomba kaunti zote zipewe pesa ambazo zinafaa. Na wiki ijayo, zile pesa zitapitishwa na Bunge, kaunti zilizo na shida, kama Embu na kule North Eastern, tutasema hakuna kaunti itapata pesa kidogo kuliko Shilingi 6 bilioni. Tutasikizana kutoka Shilingi 6 bilioni na hizo zingine, tuweze kuona vile tutaleta kaunti zetu pamoja. Tumeona kaunti nyingi zikifanya kazi na ziko na pesa nyingi, lakini hawangalii mambo ya audit . Mambo ya transparency yanatakikana kwa ugatuzi na pia serikalini. Tukifanya hivyo, watu wengi watafaidika. Watoto wengine wanazaliwa bila kufikisha miezi inahitajika. Utapata wengine wako miezi saba au nane. Ningetaka kusema, Bw. Naibu wa Spika, wazee waheshimu kina mama. Utapata mama ako na mimba lakini utapata kule nyumbani ni stress tu. Huyo mama ndiyo anaenda kutafutia watoto wale wengine chakula na kufanya kila kitu. Lakini huku Kenya, utapata mama wanakosana na mzee ilhali yule mama ni mjamzito na hii inafaa iangaliwe, ili tusaidie kina mama. Bw. Naibu wa Spika, nikimalizia, hata kama hii familia italipwa pesa, haitasaidia. Ningeomba pia, hata kukiwa namna gani, hiyo hospitali ama yule daktari aliyefanya hiki kitendo, tunajua wako na shida na pesa na mishahara lakini pia, walikubali kazi. Inafaa Serikali iwachukulie hatua ndio iwe funzo kwa madaktari wale wengine. Mimi kama “daktari” Alexander Munyi Mundigi, Seneta wa Embu, ninaunga mkono na haya mambo yaangaliwe na yalainishwe. Ningeomba SHA ifanye kazi katika hospitali zote na Wakenya wote wajiandikishe."
},
{
"id": 1567457,
"url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1567457/?format=api",
"text_counter": 484,
"type": "speech",
"speaker_name": "Sen. Munyi Mundigi",
"speaker_title": "",
"speaker": null,
"content": "The electronic version of the Senate Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Director, Hansard and AudioServices, Senate."
},
{
"id": 1567458,
"url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1567458/?format=api",
"text_counter": 485,
"type": "speech",
"speaker_name": "Sen. Munyi Mundigi",
"speaker_title": "",
"speaker": null,
"content": "Nikitoa ushuhuda, sisi Maseneta na wanasiasa, miezi mitatu iliyopita, tumekuwa na harambee nyingi lakini kwa sasa, hiyo imepungua. Ningewaomba watu wetu wajiandikishe kwa SHA kwa sababu inafanya ya kazi ili tulainishe mambo ya afya ile kusiwe na malipo yeyote. Ningeomba Serikali iangalie magonjwa ya saratani, kifua kikuu na pia ugonjwa wa sukari ili matibabu yawe free and fair na hakuna kitu mtu atakuwa analipa. Ninapea serikali ya Kenya Kwanza heko. Asante, Bw. Naibu wa Spika."
},
{
"id": 1567459,
"url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1567459/?format=api",
"text_counter": 486,
"type": "speech",
"speaker_name": "Sen. Kathuri",
"speaker_title": "The Deputy Speaker",
"speaker": {
"id": 13590,
"legal_name": "Murungi Kathuri",
"slug": "murungi-kathuri"
},
"content": " Next is Sen. Veronica Nduati. She is on duty."
},
{
"id": 1567460,
"url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1567460/?format=api",
"text_counter": 487,
"type": "scene",
"speaker_name": "",
"speaker_title": "",
"speaker": null,
"content": "(A Senator spoke off record)"
},
{
"id": 1567461,
"url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1567461/?format=api",
"text_counter": 488,
"type": "speech",
"speaker_name": "Sen. Kathuri",
"speaker_title": "The Deputy Speaker",
"speaker": {
"id": 13590,
"legal_name": "Murungi Kathuri",
"slug": "murungi-kathuri"
},
"content": "The Speaker does not follow your method."
}
]
}