Parties & Coalitions

  • Not a member of any parties or coalitions

All parliamentary appearances

Entries 361 to 370 of 393.

  • 9 Nov 2022 in Senate: Ahsante, Bw. Naibu wa Spika, kwa kunipa nafasi hii ili niweze kuchangia na kucongratulate IG kwa uteuzi wake. Nataka kumpongeza na maafisa wote wa polisi kwa ajili ya kazi nzito ambayo wanafanyia taifa hili. Polisi wanafanya kazi nzito sana. Wakati ambapo mvua inanyesha, wao huwa inje wakichunga wananchi. Wao huwa nje usiku pia wakichunga wananchi. Mara nyingi, huwa tunaona tu yale mambo madogo ambayo wanatenda lakini hatuoni mambo makubwa ambayo wanatendea taifa kwa sababu polisi wamejitolea kufanya kazi. Mara nyingi wanahatarisha maisha yao. Wanaposikia kuwa hatari imetokea mahali fulani, huwa wanakimbia pale kuangalia kile ambacho kimetokea. Tumepoteza askari wengi kupitia ... view
  • 9 Nov 2022 in Senate: Ahsante, Bw. Naibu wa Spika. Ninamshukuru mwenzangu lakini hata yeye amekosea akimaliza. Polisi wanafanya kazi mzito sana. Kwa hivyo, ninamwombea huyu IG mpya ambaye ameteuliwa na Raisi wetu, (Dr.) Wiliam Samoei Ruto, ili aweze kuwa na uvumilivu kwa sababu hii kazi sio rahisi. Huwa wananyoshewa kidole cha lawama mara nyingi ilhali hao pia ni binadamu kama sisi. Ningeomba pia aangalie maslahi ya polisi wenzake haswa jinsi wanavyoishi kule mashinani. Nyumba ambazo afisa wa polisi wanaishi ni duni kabisa na hata watu wanaosemekana kuwa wanafanya kazi hawastahili kuishi humo. Ninaomba pia Serikali yetu iweze kuangalia maslahi ya polisi. Itakuwa vyema kama ... view
  • 25 Oct 2022 in Senate: Thank you, Mr. Deputy Speaker, Sir. It is good to know that you have at last noticed that we want to contribute to the lands issue, but let me take this opportunity to, first, join you and Sen. Maanzo in welcoming the students from Nduundune in Makueni County to the Senate. view
  • 25 Oct 2022 in Senate: I am sure they are learning a lot and as Sen. Maanzo has said, there are senators and presidents amongst them. They should study hard and be obedient to their teachers and God will bless them. view
  • 25 Oct 2022 in Senate: Mr. Deputy Speaker, Sir, if you allow me, I will mention something about the Statement you have just directed. view
  • 25 Oct 2022 in Senate: Yes, Mr. Deputy Speaker, Sir. However, I will ask you to check both sides. The Senator for Turkana County pressed to speak a long time ago together with me. Please--- view
  • 25 Oct 2022 in Senate: Okay, Mr. Deputy Speaker, Sir. I agree with you. view
  • 25 Oct 2022 in Senate: Mr. Deputy Speaker, Sir, am not doubting you. Let me not argue--- view
  • 19 Oct 2022 in Senate: Thank you, Mr. Speaker, Sir, for this opportunity. I join you and my fellow Senators to welcome the delegation from Zambia, Garissa County and the students from Tharaka Nithi County. I take this opportunity to welcome them. To the Zambian delegation, welcome to Kenya. This is a peaceful country and I am sure you will learn a lot from us and our staff. The lady called Rose; your surname sounds a lot like a Kamba name. I am sure we have something in common. Welcome. view
  • 18 Oct 2022 in Senate: Yes. Thank you, Madam Temporary Speaker, for giving me this opportunity. Congratulations for sitting in that seat. You look good there. I am sure one of the days Sen. (Dr.) Khalwale will not be ashamed of bringing his daughters here because soon we are going to have a lady Speaker. That time you can bring your daughters to the House. view

Comments

(For newest comments first please choose 'Newest' from the 'Discussion' tab below.)
comments powered by Disqus