Ali Menza Mbogo

Parties & Coalitions

All parliamentary appearances

Entries 221 to 230 of 292.

  • 10 Nov 2020 in National Assembly: This is a serious matter. We marry them. If there is no pleasure, and you cannot satisfy her, you start thinking that you or the woman is the problem and yet, in actual sense, we are the ones propagating those horrendous acts. This practice needs to come to an end. With those remarks, I fully support the Motion. view
  • 12 Aug 2020 in National Assembly: Thank you, Hon. Speaker for giving me this opportunity to ask Question No. 174/2020 to the Cabinet Secretary for Lands and Physical Planning on behalf of the residents of Matingasi Village in Mtopanga Ward, Kisauni Constituency: (i) What is the current status of ownership of Plot Nos. 224/2, 225/2 and view
  • 12 Aug 2020 in National Assembly: 62/11/Mombasa North in Mtopanga Ward, Kisauni Constituency? (ii) Could the Cabinet Secretary explain progress made in implementing the Mombasa view
  • 12 Aug 2020 in National Assembly: City Council Resolution of September, 2016 revoking all titles deeds to the said view
  • 12 Aug 2020 in National Assembly: parcels of land? Thank you. view
  • 12 Mar 2020 in National Assembly: Hon. Speaker, I rise to ask the Cabinet Secretary for Environment and Natural Resources the following Question: (i) Could the Cabinet Secretary explain the measures put in place at the national level to protect the environment from pollution arising from discharge of untreated waste along the roads and open areas in Loma, Bombo, Maji Machafu Villages, Green Estate, Kiembeni Police Station and Jomo Kenyatta Public Beach in Kisauni Constituency? (ii) What action is the Ministry taking to ensure the environment is protected from such pollution and more specifically to curb continued pollution in the said areas? The electronic version of ... view
  • 12 Mar 2020 in National Assembly: Thank you, Hon. Speaker. view
  • 11 Mar 2020 in National Assembly: Asante sana, Naibu Spika wa Muda, kwa kunipa fursa hii kutoa usemi wangu kuhusu Ripoti zetu za Mahakama. Kusema ukweli, ni jambo la kusikitisha na kutamausha kumwona Rais wa Mahakama Kuu ya Jamhuri ya Kenya akiongea mbele ya wananchi akilalamika anavyonyanyaswa, anavyoonewa na anavyodhulumiwa. Hii haitoi taswira nzuri kwa Jamhuri ya Kenya kwa sababu Rais wa Mahakama ni mtu mkubwa sana katika Jamhuri yetu. Nakumbuka vizuri sana hivi majuzi tulipokuwa na sherehe ya kitaifa ya Mashujaa Day katika Kaunti ya Mombasa. Rais wa Mahakama Kuu alilalamika sana akisema hakutambuliwa wakati alifika katika sherehe kubwa za Serikali kama ile. Ikiwa tunashindwa ... view
  • 11 Mar 2020 in National Assembly: na mahakama yanaonekana katika ulimwengu mzima. Uamuzi uliotolewa na mahakama unasikiza ulimwengu mzima. Ikiwa uamuzi ule hauwezi kutekelezwa, ni kuumanisha kuwa hata wale waekezaji walioko nje ya Jamhuri ya Kenya wanahofia kuja kuekeza katika Jamhuri ya Kenya kwa sababu wanajua kesho wakiwa na shida wapelekwe katika mahakama na uamuzi utolewe, uamuzi ule hautatekelezwa. Jambo hilo linaonyesha picha mbaya sana ya Jamhuri yetu ya Kenya. Kuna kiongozi hapa ameongea, Mjumbe wa kule Bura, akisema kuwa siku hizi, ikifika siku ya Ijumaa, watu wanakamatwa. Inaitwa kamata kamata. Kamata kamata ni kule kushikwa siku ya Ijumaa. Kuna jaji alitoa hukumu juzi akisema hiyo ... view
  • 11 Mar 2020 in National Assembly: Kenyatta kama Rais wa Jamhuri ya Kenya. Ikiwa tulisikiza na kutii uamuzi ule mkubwa ambao ulikuwa ni wa Jamhuri nzima ya Kenya, kwa nini hatuwezi kusikiza haya maamuzi madogo madogo ambayo yanatolewa na kuhakikisha yametimia? Hiyo inaonyesha kuwa hatuko tayari kuitambua Mahakama kama kiungo muhimu. Huwa tunasema kuna viungo vitatu katika Jamhuri ya Kenya lakini kiungo cha Mahakama ni kiungo dhaifu. Kiko tu pale na watu fulani wanakichezea vile wanavyotaka. Lakini umefika wakati ni lazima tukubali kuwa mahakama lazima zisaidiwe na tuhakikishe zimejengwa kila sehemu ya Jamhuri ya Kenya. Leo Mombasa tunajenga mahakama nyingine. Ujenzi wa mahakama ile umesimama kwa ... view

Comments

(For newest comments first please choose 'Newest' from the 'Discussion' tab below.)
comments powered by Disqus