Christopher Omulele

Parties & Coalitions

Born

18th June 1972

Post

2050-00200
Nairobi

Email

omulelechris@yahoo.com

Link

Facebook

Telephone

0721533615

All parliamentary appearances

Entries 5531 to 5540 of 10084.

  • 26 Feb 2019 in National Assembly: The House rose at 7.00 p.m. view
  • 26 Feb 2019 in National Assembly: The electronic version of the Official Hansard Report is for information purposes only. Acertified version of this Report can be obtained from the Hansard Editor. view
  • 20 Feb 2019 in National Assembly: Mhe. Gikaria, Mbunge wa Nakuru Mjini Mashariki. view
  • 20 Feb 2019 in National Assembly: Mhe. Gikaria, ingekuwa vyema kama ungekuwa mwenye kutoa mfano mwema kwa huo utoaji wa damu. Ungekuwa unatuelezea hapa kwenye sebule ya Bunge kwamba wewe umeweza kutoa damu mara ngapi ili The electronic version of the Official Hansard Report is for information purposes only. Acertified version of this Report can be obtained from the Hansard Editor. view
  • 20 Feb 2019 in National Assembly: sisi tuweze kufuata huo mfano wako mwema. Kwa sasa nitampatia nafasi Mhe. Mwambire Ngumbao, Mheshimiwa wa Ganze. view
  • 20 Feb 2019 in National Assembly: Mhe. Manje, Mbunge wa Kajiado Kaskazini. view
  • 20 Feb 2019 in National Assembly: Mhe. Anthony Oluoch, Mbunge wa Mathare. view
  • 20 Feb 2019 in National Assembly: Mheshimiwa wa Kilifi Kaskazini, imekosekana nidhamu kivipi? view
  • 20 Feb 2019 in National Assembly: Mhe. Baya, nitakuelekeza. Wewe ndiye umekosa nidhamu kwa sababu haujasoma Kanuni za Bunge. Yule wa kuchangia ndiye anachugua lugha ya kutumia. Ukianza kwa Kiswahili, utamalizia kwa Kiswahili na ukianza kwa Kiingereza, utamalizia kwa Kiingereza. Kwa hivyo, Mhe. Oluoch ako sawa katika mchango wake. view
  • 20 Feb 2019 in National Assembly: Hon. Anthony Oluoch, without interrupting you, what could be the role of the Senate and the county assemblies, if you say that this is the only House that is mandated to make laws? view

Comments

(For newest comments first please choose 'Newest' from the 'Discussion' tab below.)
comments powered by Disqus