Davis Wafula Nakitare

Born

7th May 1943

Post

P. O. Box 126 Endebess

Email

nakitare@africaonline.co.ke

Telephone

0722489317

Telephone

0735669729

All parliamentary appearances

Entries 11 to 20 of 682.

  • 20 Sep 2023 in Senate: Sitaki kupita hapo, ila naomba Maseneta tufanye kazi pamoja; tuwe na heshima. Kiongozi kama Nyegenye amechukuwa miaka mingi ya kusoma kuwa na tajriba, ana familia, hadhi na kutambulika kote ulimwenguni. Haiwezekani mtoto bado ananyonya anakuja kumpaka tope. Sisi tutasimama na mapendekezo na nadhani kwamba heshima itadumu katika Jumba la Seneti. Kwa hayo mengi, wanaume wenzangu, tukaze kamba tujitetee tunapotetea wanawake, lakini wasitumie uume wetu kama donda la kufanyia mzaha. Nikimalizia, nyinyi mnakumbuka kuna matamshi wamekuwa wakisema kama una kile kitu kitumie kikupe kile unachokitaka. Sijui ni kitu gani, shangaeni tu. Hata mimi nashangaa ni kitu gani. Lakini hicho kitu ni ... view
  • 3 Aug 2023 in Senate: Point of order view
  • 3 Aug 2023 in Senate: Bw. Spika wa Muda, kwa mujibu wa Kanuni 105 ya Kanuni za Kudumu za Seneti, lazima Seneta awajibike kwa matamshi yake. Sisi kama Maseneta na viongozi wa Kenya Kwanza tulikula kiapo kufanya kazi kwa mujibu wa Katiba na kuhakikisha ugatuzi unafanya kazi. Sen. Osostsi hawezi kujilimbikizia heko kwamba kama siyo wao, kaunti zetu hazingepata pesa. Hiki ni kinaya kwa sababu sisi kama Walio wengi katika Serikali tuna vikao vya mara kwa mara na Mhe. Rais. Haya ndio masuala sisi hujadili kwa minajili ya kusukuma ajenda ya maendeleo za gatuzi zetu. Naomba asiwe wa kujipiga upato kwa sababu hata hapa Seneti ... view
  • 2 Aug 2023 in Senate: Asante Bw. Spika kwa nafasi hii na vile vile kumshukuru Waziri kwa kazi ambayo anafanya. Anadhihirishia Wakenya ya kwamba kando na kuwa mwanasiasa, mwanamke pia ana uwezo wa kufanya kazi kando na kanuni za kijinsia zilizowekwa na tamaduni zetu. Tumeona miradi mingi ya maendeleo ya maji katika kaunti mbalimbali humu nchini. Katika Kaunti ya Bungoma, kuna mradi wa maji inayotoka Mlima Elgon ambao unaofadhiliwa na nchi za kigeni. Tunashukuru kwa sababu unaenda kuchangia pakubwa kwa wakaazi wa mji wa Bungoma, Kaunti nzima pamoja na Kaunti ya Busia kupata maji. view
  • 2 Aug 2023 in Senate: Je, katika mustakabali wa Serikali wa upangaji kazi, ni mradi upi mwingine wa kitaifa umeratibiwa katika Bajeti ambao unanufaisha wakaazi wa Kaunti ya Bungoma na Kakamega ambao ni majirani wetu? Ili watu wanapo sherehekea na kukupa heko, tusipitwe na miradi ya mandeleo ya maji. view
  • 2 Aug 2023 in Senate: Naelewe kuwa tumekuwa tunajadiliana na we kupitia vyombo mbali mbali na baadaye najua tutaendelea kuzungumza. Kwa sababu, wanasikiza kutoka kule nyanjani, itakuwa vyema kutaja kwa kifupi mradi upi tunaenda kupata. Hii ni kwa sababu walikuwanatazamia katika mipangilio yako, maji ya Nabuyore yatatumika kuliunda bwawa ambalo litatupa maji katika maeneo bunge zaidi ya nane. view
  • 2 Aug 2023 in Senate: Sitaki kusema mengi. Natarajia kwa moyo mkunjufu jibu la Mheshimiwa Waziri. view
  • 1 Aug 2023 in Senate: Thank you, Mr. Speaker, Sir, for this opportunity to welcome our good friends, neighbours, brothers, sisters and my colleague teachers from Busia County. They have made it a priority to visit the ‘Upper House’ which is the Senate where our good friend, Sen. Okiya Omtatah, self-proclaimed defender of the poor to see and listen by themselves on what happens in the House. view
  • 1 Aug 2023 in Senate: I assure them that in the Senate, they are in safe hands. Their issues and those of the Republic of Kenya are always addressed with decorum, clarity of mind and fairness to ensure that all of us benefit from the resources of the Republic of Kenya. We also assure you, as the people of Busia County, that every rule, regulation and opportunities that are availed in this country, Busia County is given an opportunity and its fair share to ensure that all of us are proud to be Kenyans. view
  • 1 Aug 2023 in Senate: On matters of education, Early Childhood Development (ECD) and vocational training are devolved which we will ensure that we do the best we can. Generally, we will support every initiative to empower the girl and boy child because the future is for both children. There is no favouritism between a boy and a girl but give an equal opportunity for all. view

Comments

(For newest comments first please choose 'Newest' from the 'Discussion' tab below.)
comments powered by Disqus