Davis Wafula Nakitare

Born

7th May 1943

Post

P. O. Box 126 Endebess

Email

nakitare@africaonline.co.ke

Telephone

0722489317

Telephone

0735669729

All parliamentary appearances

Entries 651 to 660 of 682.

  • 26 Apr 2006 in National Assembly: Asante sana, Bw. Spika. Kutoka mwaka wa 1992 hadi sasa ni miaka 14, na Serikali haifahamu kwamba watu hawa ambao walifukuzwa kutoka mashamba yao na kunyang'anywa mali yao wanaishi sokoni, watoto wao wanazaliwa sokoni na wengine barabarani na wengine waliuawa. Serikali inajikokota ilhali watu hawa wanaendelea kuumia. Watu hawa walikuwa na mali yao--- view
  • 26 Apr 2006 in National Assembly: Nauliza swali, Bw. Spika. April 26, 2006 PARLIAMENTARY DEBATES 721 view
  • 26 Apr 2006 in National Assembly: Asante sana, Bw. Spika, kwa kunijulisha. Naomba Wizara hii ituambie kama itaweza kulipa ridhaa kwa watu ambao walipoteza mali yao ama watawasilisha kesi yao katika Mahakama ya Kimataifa huko Hague ambapo kesi yao itaamuliwa na mahakama kuu. view
  • 26 Apr 2006 in National Assembly: Bw. Spika, watu hao wamezaa watoto nje ya mashamba yao. Je, tunapowashungulikia mayatima wa wazazi waliokufa kutokana na ukimwi, Serikali ina mipango gani ya kuwaelimisha, kuwalisha na kuwavalisha watoto waliozaliwa barabarani? view
  • 26 Apr 2006 in National Assembly: Mr. Deputy Speaker, Sir, this Question is of international value. I would like to know whether the Assistant Minister has the powers to cancel this country's ceremonial celebrations. view
  • 26 Apr 2006 in National Assembly: Thank you, Mr. Temporary Deputy Speaker, Sir, for giving me the opportunity to contribute to this debate. Mr. Temporary Deputy Speaker, Sir, to uphold our integrity as Kenyans, Kenyans must not be encouraged to hide things. If you hide a hyena, after the hunters go away, it will turn against you. I stand here to support the Motion of Adjournment, which touches on an important part of our lives. I have read international law. I have lived outside this country and an alien is not allowed to even utter a word of politics, leave alone voting or supporting a voter. ... view
  • 26 Apr 2006 in National Assembly: On a point of order, Mr. Temporary Deputy Speaker, Sir. Have you heard what hon. Mukiri has said? I am on the Government side and this matter touches on the security of our nationals. Is the hon. Member in order to think that what we are discussing is not important? view
  • 25 Apr 2006 in National Assembly: On a point of order, Mr. Speaker, Sir. Is the Assistant Minister in order to allow the police to keep the child as a bait in order to arrest the mother on sight? view
  • 25 Apr 2006 in National Assembly: We have the Children's Department! view
  • 25 Apr 2006 in National Assembly: Mr. Speaker, Sir, you have heard the explanation from the Assistant Minister. My concern is about environment and human misuse of the chemical that is applied to destroy the army worms. Could he tell the House what kind of chemical his Ministry is using to destroy the army worms and also tell us whether the use of this chemical is to the detriment of human beings and livestock? view

Comments

(For newest comments first please choose 'Newest' from the 'Discussion' tab below.)
comments powered by Disqus