Erick Okong'o Mogeni

Parties & Coalitions

All parliamentary appearances

Entries 1621 to 1630 of 2536.

  • 18 May 2021 in Senate: na tukaruhusu mandugu zetu kutoka mataifa haya waje kufanya biashara ya uwakili katika taifa letu la Kenya. Bi. Spika wa Muda, tukizungumza hivi leo, kuna Waganda wengi ambao walichukua hiyo nafasi wakaja huku Kenya na kwenda kuhitimu katika shule ya kufundisha wanasheria, Kenya School of Law (KSL), na sasa hivi ni mawakili. Lakini haya mataifa mengine haswa mataifa la Uganda na Tanzania hawajafungulia mipaka wale mawakili kutoka nchi ya Kenya kwa sababu wanasema wakiwaruhusu Wakenya wengi kule wataenda kufanya ile biashara ambayo wanaita view
  • 18 May 2021 in Senate: na insurance. Lakini nataka kuwaambia kwamba Wakenya sio watu wabaya. Wakenya ni watu wazuri na tunaheshimu sheria. Ni vizuri tukienda kule Tanzania pia tutafundisha madada na mandugu zetu wa mataifa hayo njia mufti ya kufanya biashara. Kwa hivyo, itakua jambo la busara sana ikiwa tutafungulia wale ambao tunaita view
  • 18 May 2021 in Senate: kutoka mataifa hayo waweze kuwa na nafasi ya kufanya biashara zao katika mataifa yote matatu. Bi. Spika wa Muda, sitaki kuzungumza mengi. Namalizia kwa kusema kwamba kwenda mbele, tungependa kuona kwamba uhusiano huu unanawiri na tunampa pongezi Rais wetu kwa kumpa nafasi nzuri Rais wa Tanzania, Suluhu Hassan kwa kuja. Pia, tunamuomba yeye awatembelee na tuweze kuhakikisha kwamba uhusiano huu utaleta faida kwa wananchi wetu, hasa kiuchumi. Bi. Spika wa Muda, nashukuru sana kwa kunipa hii nafasi. Asante sana. view
  • 17 May 2021 in Senate: Mr. Speaker, Sir, I beg to lay the following paper on the Table of the Senate today, Monday, 17th day of May, 2021: - Report of the Special Committee on the proposed removal from office, by impeachment, of H.E Gov. Mohammed Abdi Mohamud the Governor of Wajir County. view
  • 17 May 2021 in Senate: Mr. Speaker, Sir, I beg to lay the following paper on the Table of the Senate today, Monday, 17th day of May, 2021: - Report of the Special Committee on the proposed removal from office, by impeachment, of H.E Gov. Mohammed Abdi Mohamud the Governor of Wajir County. view
  • 17 May 2021 in Senate: Mr. Speaker, Sir, I beg to give the following Notice of Motion- THAT, WHEREAS, pursuant to Article 181 of the Constitution and Section 33 of the County Governments Act, 2012, on Tuesday, 27th April, 2021, the Wajir County Assembly approved a Motion for the removal from office by impeachment, of the Hon. Mohamed Abdi Mohamud, Governor of Wajir County; AND FURTHER, WHEREAS by letter Ref. No.SPK/WCA/SENATE/4/2021(1), dated Wednesday, 28th April, 2021, and received in the Office of the Speaker of the Senate on Thursday, 29th April, 2021, the Speaker of the County Assembly of Wajir informed the Speaker of the ... view
  • 17 May 2021 in Senate: Mr. Speaker, Sir, I beg to give the following Notice of Motion- THAT, WHEREAS, pursuant to Article 181 of the Constitution and Section 33 of the County Governments Act, 2012, on Tuesday, 27th April, 2021, the Wajir County Assembly approved a Motion for the removal from office by impeachment, of the Hon. Mohamed Abdi Mohamud, Governor of Wajir County; AND FURTHER, WHEREAS by letter Ref. No.SPK/WCA/SENATE/4/2021(1), dated Wednesday, 28th April, 2021, and received in the Office of the Speaker of the Senate on Thursday, 29th April, 2021, the Speaker of the County Assembly of Wajir informed the Speaker of the ... view
  • 17 May 2021 in Senate: The electronic version of the Senate Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Hansard Editor, Senate. view
  • 17 May 2021 in Senate: Assembly and further forwarded to the Speaker of the Senate, documents in evidence of the proceedings of the Assembly; AND WHEREAS, pursuant to Section 33(3) (b) --- view
  • 17 May 2021 in Senate: Mr. Speaker, Sir, I will proceed from where I had stopped. AND WHEREAS, pursuant to Section 33 (3) (b) of the County Governments Act, 2012 and Standing Order No.75 (1) (b) the Senate Standing Orders, by resolution on Thursday, 6th May, 2021, appointed a special committee comprising eleven of its Members to investigate the matter on the proposed removal from office by impeachment of the Governor of Wajir County and to report to the Senate within ten days of its appointment, on whether it finds the particulars of the allegations to have been substantiated; AND WHEREAS, pursuant to Section 33 ... view

Comments

(For newest comments first please choose 'Newest' from the 'Discussion' tab below.)
comments powered by Disqus