19 Feb 2015 in National Assembly:
I support the Petition and thank hon. Mwaura for coming to my constituency.
view
10 Feb 2015 in National Assembly:
Asante sana, Mhe. Spika. Pia, namshukuru rafiki yangu Pukose. Naomboleza kifo cha rafiki yangu. Tulikuwa na urafiki mkubwa. Alitoka katika Jimbo la Kiambu na watu wa Jimbo la Kiambu wako na machozi. Tukikumbuka vile alivyouliwa hapa katikati ya Nairobi, ni jambo baya sana. Watu walishangaa kwa sababu alipigwa risasi akiwa pamoja na walinzi na dereva wake. Kabla ya kifo cha Mhe. Muchai, alikuwa ameongea wazi kabisa kwamba kuna watu ambao walikuwa wakimfuata na walikuwa wakitaka kumuua. Hilo limesemekana. Alipouliwa, ilisemekana kuwa alikuwa na sanduku ambalo walikimbilia kutoa kwa gari lake. The electronic version of the Official Hansard Report is for ...
view
10 Feb 2015 in National Assembly:
Juzi nilimwona mhe. Muchai kwa runinga akiongea ukweli; alisema kuwa alikokuwa akifanya kazi, yaani katika COTU, kulikuwa na watu ambao walikuwa wanataka kumuua. Sisi kama Bunge la 11 hatutafanya kazi kama wakenya wanauwawa na hakuna kitu ambacho kinafanyika.
view
11 Dec 2014 in National Assembly:
On a point or order.
view
11 Dec 2014 in National Assembly:
Thank you, hon. Speaker. I know that the House is ongoing but the new Chairman of ODM is harassing one of my good friends, hon. Wakhungu. I have The electronic version of the Official Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Hansard Editor.
view
11 Dec 2014 in National Assembly:
been watching too closely. Is it in order for that side to physically harass hon. Wakhungu?
view
11 Dec 2014 in National Assembly:
Thank you, hon. Speaker, for giving me this chance. I want to echo the words of my fellow colleagues. As we go on recess, this Eleventh Parliament has done a lot of work both in the committees and in the Sittings of this House. On security, this is an issue that is everywhere in this country. When we talk as a team about what we should do to see Kenyans living peacefully, it encourages Kenyans. Hon. Members who have Constituencies Development Fund (CDF) funds--- When I went to Kilifi, I was very impressed to see hon. Mung’aro opening a whole ...
view
18 Nov 2014 in National Assembly:
Hon. Temporary Deputy Speaker, I thank you for giving me this chance.
view
18 Nov 2014 in National Assembly:
Thank you, hon. Temporary Deputy Speaker, for giving me this chance. It is true that we have mothers, sisters and our own daughters at home. What has happened is very hurting. I watched the video with a group of men and women in my home area. I saw women shed tears yesterday night in Juja because of what happened to those sisters of ours. As we have heard from hon. Shebesh, this is very hurting. I am also trying to appreciate what hon. Jakoyo Midiwo said. We have a police station next to the place where that incident occurred. We ...
view