All parliamentary appearances

Entries 91 to 94 of 94.

  • 8 May 2013 in National Assembly: Hon. Deputy Speaker, with regard to committees, let us put our differences aside. The interests of the people of Kenya are much more important than us. Hon. Members, Kenyan people have given us the mandate and they are watching us. Let us be responsible, regardless of our political affiliation. Let us have sober minds and sit together as brothers and leaders and sort out our problems in this House. view
  • 8 May 2013 in National Assembly: Thank you hon. Deputy Speaker. I beg to support. view
  • 8 May 2013 in National Assembly: Thank you hon. Deputy Speaker. I beg to support. view
  • 24 Apr 2013 in National Assembly: Asante sana, mhe. Naibu Spika. Kwa majina ninaitwa Hassan Dukicha, Mbunge wa eneo la uwakilishi Bungeni la Galole, Tana River. Shukrani zangu za kwanza zinaenda kwa watu wa Galole ambao walinichagua niwaakilishe katika Bunge hili. Ninawaambia asante. La pili nikukupongeza mhe. Naibu Spika kwa kuchaguliwa . Nilikuwa nakuunga mkono sana lakini niliona kama hukuwa unaniona, lakini sasa umeniona kidogo. Asante pia. Langu ni kuhusu hospitali ya Hola, katika sehemu ya Galole, ambayo ni eneo ninalowakilisha katika Bunge hili. Hospitali imegeuka kuwa nyumba ya panya, popo, na kila kitu. Haina vyombo vya kupima, kama mtambo wa picha, hakuna madaktari, dawa na ... view

Comments

(For newest comments first please choose 'Newest' from the 'Discussion' tab below.)
comments powered by Disqus