John Kinyua Nderitu

Parties & Coalitions

All parliamentary appearances

Entries 11 to 20 of 1910.

  • 29 Aug 2023 in Senate: Bw. Spika, umewaambia Maseneta wenzangu wajadili mambo ambayo yanahusu Hoja ya siku ya leo. Ni haki kudai kuwa kiongozi amesema kuwa atawapeleka watu mbinguni. Hakuna mtu anayeijua njia ya mbiguni. Hauwezi ukapeleka mtu mbinguni. Bibilia inasema ya kwamba mtu anayeijua njia hiyo ni Baba wa Mbinguni peke yake. Hata yesu haijui. view
  • 29 Aug 2023 in Senate: Asante, Bw. Spika, kwa kunipa fursa hii. Laiti tungelifuata filosofia ya Nyayo ambayo inasema amani, upendo na umoja. Umoja ni nguvu, utengano ni udhaifu. Mazungumzo ni mazuri kwa maana sote tunaishi katika nchi yetu ya Kenya. Mazungumzo haya yalianzishwa na Maseneta werendi sana. Unakumbuka Seneta Wambua kutoka Kitui na Seneta Wakili ambao walianzisha haya mazungumzo. Msingi waliyoweka ni msingi ungetumiwa maana waliangazia shida tunazopitia katika Seneti hii. Hayo mazungumzo yangeendeleza maneno haya. Kitabu kitakatifu kinasema watu The electronic version of the Senate Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Director, ... view
  • 29 Aug 2023 in Senate: wakitembea wakiwa wengi wanaweza kuenda mbali, lakini mtu akitembea pekee yake, ataenda haraka lakini atasulubiwa akiwa pekee yake. Ni vizuri kukiwa na haya mazungumzo ili watu waweze kuzungumza. Mimi ni mfugaji. Najua kwamba ng’ombe akishambuliwa na simba, ni vizuri kufuata simba badala ya kupambana na nzi wanaofyonza damu ya yule ng’ombe aliyevamiwa. Sisi tunajua simba ni yupi, aliyeleta shida hizi. Juzi nimemskia akileta vitisho kuwa haya mazungumzo yakivurugwa, basi watu watarudi kuandamana. Sisi tunakashifu haya mambo. Watu wanakuja kwa mazungumzo, tuna Mhe. Kalonzo Musyoka, Mhe. Ichungwa, Kiongozi wa Walio Wengi katika Seneti hii, tunayemuenzi na tunajua atafanya mambo ya busara ... view
  • 3 Aug 2023 in Senate: What is your point of order? view
  • 3 Aug 2023 in Senate: On a point of information, Mr. Speaker, Sir. view
  • 3 Aug 2023 in Senate: Bw. Spika, ni ukweli mtupu na ni dhahiri shahiri ya kwamba hizi pesa ambazo anasoma zimetumwa katika gatuzi zetu. Ni vizuri Sen. Thangw’a aelewe na asijisumbue zaidi kwa sababu, hawa Maseneta wa upande wa Upinzani wamekuwa katika maandamano. Kwa hivyo, hawana uzoefu na hawaelewi. view
  • 2 Aug 2023 in Senate: Asante, Bw. Spika, kwa kunipa fursa hii. Naunga mkono Taarifa iliyoletwa na Sen. Hamida, kuhusu kuzembea katika hospitali ya Kiambu. Hili jambo la madaktari pamoja na wauguzi wale wengine kuzembea katika kazi yao imekuwa donda sugu katika hospitali zetu. Kuna yule mtoto ambae Kamati yetu iliingilia na kuchunguza. Alikuwa amegongwa na jembe kwa kichwa, akazungushwa mahospitalini na mwishowe akaaga dunia. Wale madaktari walikua wakiangalia na hakuna jambo lolote walifanya. Bw. Spika, tumeripotiwa jambo lingine lililotendeka pale Kiambu. Kamati inayohusika inapaswa iangalie haya maswali kwa undani na waangalie ni jambo lipi linalosababisha mambo kama hayo. Je, ni ukosefu wa vifaa vya ... view
  • 2 Aug 2023 in Senate: The electronic version of the Senate Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Director, Hansard Services,Senate. view
  • 2 Aug 2023 in Senate: Maswali aliyouliza Seneta huyo ni mazuri sana. Ni madaktari wangapi wanaoshugulikia mambo ya akili wako pale. Wakati mmoja, ilipatikana kwamba hospitali yenyewe ilikuwa ni chafu, wagonjwa wamewachwa na uchafu umetapakaa kila mahali katika hosptali ile. Kwa hivyo, Kamati hii ya Afya ina jukumu muhimu ya kuzingatia ya kwamba hospitali zetu zinatekeleza mambo ambayo yanapaswa kutekelezwa kwa njia ambayo Wakenya watafurahia. Bw. Spika, sio hiyo pekee yake. Ukitembelea hospitali zingine kama ya Laikipia, utapata hospitali hazina dawa na watu wanaandikiwa dawa. Wagonjwa wanaambiwa hata ijapokua wana kadi za National Health Insurance Fund (NHIF), hospitali hazina dawa. Wagonjwa wanaohitaji kupiga picha, wanaelekezwa ... view
  • 2 Aug 2023 in Senate: On a point of order, Hon. Speaker, Sir. view

Comments

(For newest comments first please choose 'Newest' from the 'Discussion' tab below.)
comments powered by Disqus