6 May 2025 in Senate:
Vile vile, katika vyombo vyetu vya habari na mitandao ya kijamii, watu wanaongea maneno mengi. Ikiwa mtu yeyoye ana jambo linaloweza kusaidia kuleta jawabu kwa maswali yanayoulizwa na Wakenya, aambie maafisa wa ujasusi ambao wanaweza kufanya uchunguzi vizuri badala ya kuandika katika vyombo vya habari kwa sababu havitasaidia.
view
6 May 2025 in Senate:
Langu ni kuungana na wakazi wa Kasipul Kabondo kusema pole kwa niaba ya watu wa Laikipia. Tumempoteza kiongozi ambaye alijitolea kufanya kazi aliyopewa na aliyochaguliwa.
view
6 May 2025 in Senate:
Roho ya Mheshimiwa Charles Were iwekwe mahali pema peponi.
view
6 May 2025 in Senate:
The electronic version of the Senate Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Director, Hansard and AudioServices, Senate.
view
10 Apr 2025 in Senate:
Asante, Bw. Naibu Spika, kwa kunipa fursa hii. Naunga mkono Taarifa iliyoletwa na Seneta wa Kaunti ya Isiolo, Sen. Dullo, kuhusu kuajiriwa kwa The electronic version of the Senate Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Director, Hansard and AudioServices, Senate.
view
10 Apr 2025 in Senate:
maafisa wakuu wa idara tofauti katika gatuzi hilo. Ni jambo la kuvunja moyo kama Kaunti ya Isiolo itakaa kwa zaidi ya miezi miwili bila ya maafisa wakuu, kwani ndio wanaoshughulikia utenda kazi katika gatuzi lile kila siku. Gavana wa Kaunti hiyo amekuwa na shida kila wakati. Kwa hivyo anafaa kutilia mkazo jambo hili. Hatuwezi kugawa pesa za ugatuzi kama Seneti, lakini Kaunti ya Isiolo haina maafisa wakuu wanaopaswa kutenda kazi. Hii itapelekea gatuzi hilo kubaki nyuma na kuwa na shida nyingi baadaye. Inawezekana Gavana ana mpango wa kufuja pesa za Kaunti ya Isiolo. Kuhusu suala la Nyamira, sikuweza kufuatilia walipokuja ...
view
9 Apr 2025 in Senate:
Thank you, Mr. Deputy Speaker, Sir. Is this tree planting a public relations exercise or are we committed to it? In Laikipia County, for example, at a place called Kauka, the then Cabinet Secretary, Hon. Njeru, planted trees. However, as I speak now, there is no single tree at that place because the elephants went there and destroyed everything. The electronic version of the Senate Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Director, Hansard and AudioServices, Senate.
view
9 Apr 2025 in Senate:
This year, again, the governor was there, together with the Principal Secretary and they planted trees. Is it a public relations exercise to plant trees? Also, when we talk about planting trees, how many have we planted? It is not even how many trees we have planted. It is how many have survived? Every time we talk about planting trees, but we do not know how many have survived. Every time, we are told trees are planted and there is a day set for planting trees. Is it planting trees, or is it the number of trees that have survived?
view
9 Apr 2025 in Senate:
On a point of order, Mr. Deputy Speaker, Sir. The electronic version of the Senate Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Director, Hansard and AudioServices, Senate.
view
9 Apr 2025 in Senate:
The Cabinet Secretary alluded that Kauka area is fenced off, which is not correct. In other areas like Mwateto in Laikipia, electric fencing has been installed to address similar issues. However, Kauka and Maina Village areas, all the way to Marmanet are still being affected by those elephants. I give her the benefit of the doubt, considering she is new in the Ministry. However, she should provide the correct information.
view