Kassim Sawa Tandaza

Parties & Coalitions

All parliamentary appearances

Entries 1 to 10 of 101.

  • 7 Jun 2022 in National Assembly: Thank you. I want to speak to the report of the Public Investments Committee, which is yet to be moved. Thank you. view
  • 10 Nov 2021 in National Assembly: Asante sana Naibu Spika wa Muda kwa kunipatia fursa hii ili nichangie Mshwada huu wa pesa za wanaostaafu. Ni kawaida, na huwa ni furaha wakati mtu ameweza kufanya kazi mpaka akastaafu. Maanake ni katikati huwa kuna changamoto nyingi sana. Lakini, wakati mtu ameweza kufanya kazi, kwa dhaatima na heshima na familia yake mpaka akastaafu, kwanza, ni kumshukuru Mwenyezi Mungu. Lakini, changamoto inayokuja ya kuwa hajui ataanzia wapi, ni jambo la kuhuzunisha na ni linachangia katika maswala ya ufisadi. Na ndio maana naunga mkono Mshwada huu ikiwa mimi ni mmoja wa wale huwa nakemea sana swala la ufisadi na kuona ni ... view
  • 10 Nov 2021 in National Assembly: Mtu akifanya kazi anapokea mshahara wake wa halali lakini anajua kwamba atastaafu na inamaanisha kuwa hataweza kupata tena ule mshahara. Hataweza kupata ile ruzuku yake. Inamaanisha aanze kufikiria njia mbadala ya vile ataweza ishi atakapostaafu. Kama tunavyojua, njia mbadala mara nyinyi ukiwa kazini na unapenda kazi yako, basi, watu husema kuwa mtu hula pale pale anapofanyia kazi. Lakini, sio kukula tu, na ndio maana watu wanaanza kufikiria ni vipi wataweza kupora mali, waweza kujijenga mbali na lile pato lao la kawaida. Hii sio siri maana waajiri wa Serikali wanajua. Kwa hivyo, kuwapatia wafanyikazi njia ya kuwa na uhakika wa kuwa ... view
  • 10 Nov 2021 in National Assembly: Nikiongezea, katika hii idara ya kulipa pensheni, ingawa sio lazima iwe kwa sharia, ningeomba pia wapatiwe sindikizi ya kuona kuwa ofisi hizi zinasambazwa mashinani. Hii ni kwa sababu changamoto iliyo ni kwamba yeyote ambaye atahitaji kulipwa marupurupu yake ni lazima aje Nairobi. Ile gharama ya kuja Nairobi kwa mtu ambaye alistaafu ni kuu. Ukweli ni kwamba wapo ambao mwenyezi Mungu amewajalia kustaafu wakati mshahara wao ulikuwa chini ya Kshu10,000. Sasa hivi, umepanda hadi ni zaidi ya Ksh100,000. Ikiwa wakati ule alipostaafu mshahara wake ulikuwa ni chini ya Ksh10,000, inamaanisha kuwa pensheni yake haifiki Ksh2,000. Lakini pia yeye analazimika kusafiri kuja ... view
  • 21 Oct 2021 in National Assembly: Thank you, Hon. Deputy Speaker. I rise to ask Question 364 of 2021 to the Cabinet Secretary for Education:- (i) What measures has the Ministry put in place to ensure smooth implementation of the Competency Based Curriculum (CBC) in all schools? The electronic version of the Official Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Hansard Editor. view
  • 21 Oct 2021 in National Assembly: (ii) Could the Cabinet Secretary confirm whether all stakeholders were involved in the development of the new curriculum and its rollout? (iii) Could the Cabinet Secretary provide a list of all secondary school teachers undergoing training on the new curriculum across the country, and explain how the training is being rolled-out, particularly in Matuga Constituency? (iv) Could the Cabinet Secretary provide the number of infrastructure projects such as workshops, laboratories and sports fields that the government is putting up, if any, to ensure the success of CBC across the country and in particular in Matuga Constituency? (v) Could the Cabinet ... view
  • 21 Oct 2021 in National Assembly: Thank you, Hon. Deputy Speaker. I rise to ask Question 364 of 2021 to the Cabinet Secretary for Education: (i) What measures has the Ministry put in place to ensure smooth implementation of the Competency Based Curriculum (CBC) in all schools? (ii) Could the Cabinet Secretary confirm whether all stakeholders were involved in the development of the new curriculum and its rollout? (iii) Could the Cabinet Secretary provide a list of all secondary school teachers undergoing training on the new curriculum across the country, and explain how the training is being rolled-out, particularly in Matuga Constituency? The electronic version of ... view
  • 21 Oct 2021 in National Assembly: (iv) Could the Cabinet Secretary provide the number of infrastructure projects such as workshops, laboratories and sports fields that the Government is putting up, if any, to ensure the success of CBC across the country and in particular in Matuga Constituency? (v) Could the Cabinet Secretary provide the status of the implementation of the initiatives in paragraph (d) above, indicating the commencement dates, amount of money utilised so far and the expected completion dates? Thank you, Hon. Deputy Speaker. view
  • 3 Aug 2021 in National Assembly: Hon. Deputy Speaker, I beg to ask the Cabinet Secretary for Education the following Question: The electronic version of the Official Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Hansard Editor. view
  • 3 Aug 2021 in National Assembly: (i) Could the Cabinet Secretary clarify whether the Higher Education Loans Board (HELB) clearance certificate is a requirement for fresh graduates while seeking employment in public or state offices? (ii) Could the Cabinet Secretary explain how fresh graduates are expected to repay their HELB loans even before getting formal employment? (iii) Could the Cabinet Secretary consider issuing temporary clearance certificates to fresh graduates for purposes of assisting them to secure employment? view

Comments

(For newest comments first please choose 'Newest' from the 'Discussion' tab below.)
comments powered by Disqus