All parliamentary appearances
Entries 5621 to 5630 of 6328.
-
2 Nov 2022 in National Assembly:
Asante Mhe. Opiyo Wandayi. Nakubaliana nawe. Kanuni za Kudumu za Bunge zipo katika lugha ya Kiswahili. Natumahi Mhe. Yusuf huna shida kusonga mbele ili Wabunge na watu wote wakuone vizuri ili wajifunze kutoka
view
-
2 Nov 2022 in National Assembly:
Subiri kidogo, Mhe. Yusuf. Hoja yako ya nidhamu, Mhe. Makali Mulu ni ipi?
view
-
2 Nov 2022 in National Assembly:
Mhe. Makali Mulu, hilo lilikua ombi la Kiongozi wa Chama cha walio Wachache kwenye Bunge. Kwa fikira yangu, nadhani anataka kufuata matamshi na kuangalia jinsi mdomo wa Mhe. Yusuf unavyotamka maneno katika lugha ya Kiswahili. Nakubaliana nawewe kwamba unaeza zungumza mahali ulipo. Endelea Mhe. Yusuf.
view
-
2 Nov 2022 in National Assembly:
Subiri, Mhe. Yusuf. Mhe. Mpuru Aburi wa Tigania Mashariki, Hoja yako ya nidhamu ni gani?
view
-
2 Nov 2022 in National Assembly:
Mhe. Yusuf, uko sawa. Unakubaliwa kusoma maandishi ambayo umenakili unapo anzisha mjadala wa Hoja yako.
view
-
2 Nov 2022 in National Assembly:
Mhe. Yusuf, kwanza tafadhali lazima upendekeze, kwa hivyo lazima umaliza kwa kusema kwamba ungetaka kupendekeza, halafu umuombe ambaye atakuafikia.
view
-
2 Nov 2022 in National Assembly:
Mhe. Hassan, hiyo nafahamu itaenda kinyume na kanuni zetu za Bunge hili. Lazima uwe na mmoja wa kuafiki.
view
-
2 Nov 2022 in National Assembly:
Mhe. Sarah Korere wa Laikipia Kaskazini
view
-
2 Nov 2022 in National Assembly:
Ahsante sana Mhe. Sarah Korere.
view
-
2 Nov 2022 in National Assembly:
Nafasi hii nitampa Mbunge wa Kilifi Kaskazini ambaye pia ni Naibu Kiongozi wa Wengi kwenye Bunge, Mhe. Owen Baya.
view