12 Mar 2025 in Senate:
Thank you, Mr. Speaker, Sir. I would like to ask the Cabinet Secretary for Agriculture and Livestock Development the following Question - (a) What measures has the Government put in place to prevent the mixing of different qualities of teas before being sold at the Mombasa Tea Auction, which distorts the price to the disadvantage of farmers who produce high-quality tea? (b) Could the Cabinet Secretary provide details on the gains attained from the implementation of tea reforms so far, and also provide a commitment towards the continued implementation of the reforms to ensure better returns for tea farmers across ...
view
12 Mar 2025 in Senate:
Mr. Speaker, Sir. I would like to ask the Cabinet Secretary for Agriculture and Livestock Development the following Question- (a) Could the Cabinet Secretary explain the current position of the Government on the export of macadamia nuts, that is, in-shell, from the country? (b) Are there plans to lift the ban on the export of raw macadamia nuts, that is, in- shell, to ensure farmers get competitive prices for the produce from local processors and licenced exporters? (c) What strategies is the Government implementing to build the capacity of local processors for macadamia for enhanced value addition to maximise the ...
view
12 Mar 2025 in Senate:
Mstahiki Spika wa Muda, niko na maswali mawili. Swali langu la kwanza ni kuhusiana na Taasisi ya Kenya Tea Development Agency (KTDA). Juzi kumekuwa na malumbano yaliyomtoa aliyekuwa Mwenyekiti wa KTDA. Wale wanaokaa katika bodi ya KTDA walipofanya hivyo, walitupilia mbali zabuni iliyofanywa ya ununuzi wa mbolea inayoenda kwa wakulima. The electronic version of the Senate Hansard Report is for information purposes only.A certified version of this Report can be obtained from the Director, Hansard and Audio Services,Senate.
view
12 Mar 2025 in Senate:
Mwaka jana, malumbano kama hayo yaliwacha wakulima majani chai kuchelewa kuleta mbolea. Kwa hivyo, ningetaka kujua, unafanya nini kumaliza malumbano yaliyoko katika taasisi ya KTDA. Swali langu la pili na la mwisho kuhusu macadamia. Nimeisoma tafsida yako uliyoileta siku ya leo. Kuna mahali ambapo hatutakubaliana nayo. Ninasema hivyo kwa sababu- Mwanzo, hii sheria iliyoletwa na AFA mwaka wa 2013 na ninamwona Mkurungenzi Mkuu wa AFA, Bruno Nyiru, yuko hapa. Kila mara tukiongea mambo ya makadamia, huwa najihisi kama tumealika mbu katika kongamano la kutafuta dawa za malaria. Walioleta sheria gandamizi katika Bunge la Kitaifa ni AFA. Na ndio maana hii ...
view
12 Mar 2025 in Senate:
Bw. Spika wa Muda, naelekea hapo. Nilikuwa naweka msingi thabithi ndiyo niweze kuuliza swali langu. Najenga hoja. Swali ambalo ningetaka kuuliza ni moja, katika takwimu ambazo umeleta hapa ukasema kwamba makadamia ilipouzwa ikiwa na maganda ilikuwa inaleta takriban shilingi 121 na ikiongezewa thamana ilikuwa inatoka shilingi 816. Ilikuwaje basi wakati ilikuwa inatoka shilingi 816 wakulima walikuwa wanapata shilingi 30 pekee? Wakati huo ilibidi Waziri aliyeondoka, Bw. Linturi, kuondoa makataa ile yaliyokuwepo ndiyo wakulima wauze makadamia ikiwa na maganda? Soko ni mbili, kuna makadamia iliyowekwa thamana na ambayo haijawekwa thamana. Hii ni kusema ya kwamba tuuwe ile soko ambayo inanunua makadamia ...
view
12 Mar 2025 in Senate:
The electronic version of the Senate Hansard Report is for information purposes only.A certified version of this Report can be obtained from the Director, Hansard and Audio Services,Senate.
view
12 Mar 2025 in Senate:
Bw. Naibu Spika wa Muda, naomba ulinzi wako kwa sababu ya Seneta Chute. Hebu nijenge hoja. Kuna maana niliuliza hii swali. Wewe unaharibu mtiririko wa mawazo wakati nauliza maswali yangu. Ningeomba ulinzi, Bw. Spika wa Muda.
view
12 Mar 2025 in Senate:
Bw. Waziri, utafute wakaazi kwa sababu wakati mlitoa makataa, tayari kuna wale ambao walikuwa wamenunua makadamia na kuyaweka ikiwa na maganda ya kuuza nje. Tuweze kuondoa wale na kama ni AFA waende wadhamini. Tuondoe ile makadamia zote ziende kwa sababu niliporudi tena niliambiwa hata shilingi 80 yangu siwezi nunuliwa. Bw. Waziri, shamba langu la makadamia ni zaidi ya ekari 70. Kwa hivyo, nikiongea tilia jambo hili mkazo, fuatilia, fungua soko kwa wale wako na makadamia ambayo tayari zilikuwa zimetengenezwa kuweka kwa magunia ya kuuzwa kwa soko iliyo na maganda. Kisha tena, hiyo nyingine ufungie hata kama ni asilimia 20 iende ...
view
12 Mar 2025 in Senate:
Nadhani Bw. Waziri amekazana kujibu maswali yote. Hata hivyo, amesema tunafaa tuendelee na mazungumzo. Bw. Waziri, mimi ningesema hivi kwa ufupi, uchukue nafasi uweze kutembelea wale watu ambao wanauza makadamia kutoka nje ili uangalie hata kama ni quota system kama inaweza enda. Pia nikuambie kama mkulima, bei tayari imeshuka. Niliuza makadamia kwa shilingi 150 na ninaongea kwa niaba ya wakulima wote wa makadamia. Saa hii hata nikipeleka na ninahitaji shilingi 80 siwezi kununuliwa. Wakulima wamejaza maghala yao na makadamia kwa sababu marufuku ya kuja wakati wanavuna. Itakuwa ni vizuri zaidi ikiwa huo msongamano utaondolewa ili makadamia ambayo ilikuwa imenunuliwa halafu ...
view
12 Mar 2025 in Senate:
Asante Sana Spika wa Muda. Sijui kwa nini Seneta wa Kaunti ya Bomet hanipendi. Nitajarabu sana kujibu swali lake. Hata kama mimi ni mkulima, nimepewa nafasi muhimu sana kukaa katika Bunge hili ambapo naweza kuongea na Waziri ambaye wakulima nchini hawawezi kumfikia. Kwa hivyo, uchungu nilio nao ni uchungu wa mkulima. Akaaye kwenye shina la mti ndiye anayejua wadudu wanaokaa pale wanakula nini.
view