23 Jul 2019 in Senate:
Mr. Temporary Speaker, Sir, this is an unusual request. Now that we are in session, due to the urgency of this matter, we would request that this Message be transmitted to the National Assembly by 4.30 p.m.
view
23 Jul 2019 in Senate:
Asante, Bw. Naibu Spika. Ninataka kuzungumza kwa kifupi kuhusu taarifa ambayo imewasilishwa na Sen. Faki. Kitu ambacho amesahau kukiweka katika taarifa yake ni kama Bw. Mbotela angeuliza, je, ni ungwana kweli kwamba makao ambayo yatazingatia uvuvi yajengwe eneo la South B, mahali ambapo Seneta wa Nairobi anamiliki? Sijaona jambo hili katika taarifa ambayo amewasilisha kama Serikali Kuu iliwaita Wakenya wanaotoka eneo la Pwani ili wapate mawaidha. Lakini, jambo hili lazima lizungumziwe. Hatushangai kwa sababu jambo ambalo linafanya Wachina kuleta samaki Kenya ndilo swala unaloliona kwamba wavuvi wanaotoka katika sehemu za Nyanza, Mombasa na Pwani wametupiliwa mbali na kuwachwa nyuma kimaendeleo. ...
view
23 Jul 2019 in Senate:
, Sen. Sakaja amepitisha Mswada ambao ungepatia vijana kazi. Vijana wengi wa Mombasa wangepata kazi kama headquarters zingejengwa katika eneo la Pwani. Kwa hivyo, lazima jambo hili liangaliwe kwa kimakini kwa sababu linaweza kuleta mapato kwa Serikali ya Kaunti ya Mombasa na Serikali Kuu. Jambo hili lifutiliwe mbali. Wakati mwingine, ukiangalia mambo yanayofanywa na Serikali ya Jubilee, utafikiria kuna mazingaumbwe Kenya.
view
18 Jul 2019 in Senate:
Thank you, Mr. Speaker, Sir. It is good to have Sen. (Dr.) Zani back.
view
18 Jul 2019 in Senate:
Mr. Speaker, Sir, this is a very serious matter, because Kenyans are being exploited. Recently, we had a documentary where Kenyans are being exploited by supermarkets and the KP. Lighting is possibly the most expensive, either in this region or in the world; and everybody is affected. Mr. Speaker, Sir, even though the Statement by Sen. Khaniri is on a particular aspect, I think that as a Parliament, we have to start finding a method about consumer protection in Kenya. This is because what is happening by what Sen. Khaniri’s Statement seeks to address, and the people who have been ...
view
18 Jul 2019 in Senate:
on to us, ordinary taxpayers. Therefore, the docket Committee which is going to interrogate this matter is full. It would help Kenyans to find a regulatory framework to deal with the monopoly called KP. If there was a way we can kill that monopoly, then we must kill it. They have turned out to be the worst disaster of monopolies in this county.
view
18 Jul 2019 in Senate:
Asante, Bw. Spika. Nafikiri ulikuwa unatoa onyo, sio tangazo.
view
18 Jul 2019 in Senate:
The electronic version of the Senate Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Hansard Editor, Senate.
view
18 Jul 2019 in Senate:
Thank you, Madam Temporary Speaker. I want to say the following things in two minutes. This is a momentous occasion. It reminds me of the speech of Winston Churchill in 1940 where he said that: “I have nothing to offer other than blood, toil, tears and sweat’. Before us, we have the ordeal of the most grievous kind and long months of struggle and suffering. If one asks what is your policy? I will say that, it is to wage war by sea, land and air using all our might and strength that God can give us to fight the ...
view
18 Jul 2019 in Senate:
The people who want to abuse this Constitution are the same people who wanted to abuse it in 1966. Unless we want to abolish the Commission on Revenue Authority (CRA), the only figure that makes sense to the country is Kshs335 billion. As at 30th June, 2019, the figure allocated to counties was Kshs314 billion. It is wrong to mislead the President that it was Kshs310 billion and it is now Kshs316 billion. If it looks like a duck, walks like a duck, talks like a duck and quacks like a duck, then it is a duck. We must tell ...
view