Sara Paulata Korere

Parties & Coalitions

Telephone

0727027937

All parliamentary appearances

Entries 231 to 240 of 416.

  • 4 Jul 2018 in National Assembly: (Laikipia North, JP) view
  • 4 Jul 2018 in National Assembly: (Laikipia North, JP) view
  • 20 Jun 2018 in National Assembly: Laikipia North, JP): Thank you, Hon. Temporary Deputy Speaker. I want to add my voice to this debate and congratulate the Mover of the Motion, Hon. Vincent Kemosi. A very wise woman once said that “The way to a man’s heart is through his stomach”. In this case, for us to retain our children in school and make sure that they have maximum concentration, we have to take care of their stomachs. As the case is now, it is very important that Kenyans rise to the spirit of the Constitution of equity and equality. As it is now, we are ... view
  • 3 May 2018 in National Assembly: I second. view
  • 3 May 2018 in National Assembly: Thank you, Hon. Temporary Deputy Speaker. I congratulate our President for the State of the Nation Address yesterday. Kenyans were watching. They were waiting to hear big issues from the President which unfortunately were not forthcoming. That notwithstanding, the calm that has been experienced in this country for the last few months since the famous handshake is something to talk about. I listened keenly to our President yesterday when he spoke on the issue of corruption. Corruption is a dragon, a disease and virus which is threatening to nullify the gains made in this country through devolution, handshakes, leg shakes ... view
  • 14 Mar 2018 in National Assembly: Shukrani, Naibu Spika wa Muda. Ningependa pia kumpongeza Mhe. aliyewasilisha Hoja hii, Mhe. “Jicho Pevu”. Kwa kweli, yeye ni jicho pevu mkakamavu. The electronic version of the Official Hansard Report is for information purposes only. Acertified version of this Report can be obtained from the Hansard Editor. view
  • 14 Mar 2018 in National Assembly: Mhe. Naibu Spika wa Muda, ni wazi kwamba jinsi mienendo na mitindo ya kimaisha inavyobadilika, kumekuwa na changamoto nyingi sana hasa za kiafya. Kwangu binafsi, tungekuwa na uwezo wa kurudisha masaa nyuma tungelipitisha Hoja hii juzi. Waswahili husema kuwa “Hayawi hayawi huwa.” Kwa hivyo, ninaonelea kuwa ni Hoja ambayo wakati wake ni huu. Mambo kuhusu afya katika nchi yetu ya Kenya yanatatanisha sana. Kama vile walionena mbele yangu walivyonena: Walalahoi, afya yao imeachwa mikononi ya Maulana. Pia, Mwenyezi Mungu aliweka tofauti kati ya binadamu na ng’ombe kwa kutupa akili kama ya kutibu ili tuitumie kisawasawa. Ni jambo la aibu kwamba ... view
  • 14 Mar 2018 in National Assembly: Mheshimiwa Naibu Spika wa Muda, jimbo la Mombasa anakotoka mwanzilishi wa Hoja hii, ni jimbo ambalo linasifika kwa utalii. Watu wengi ambao wanastaafu haswa wale ambao wanastaafu katika nchi nyingine na wanaathiriwa na baridi ya nchi zao, huja kupumzika kule Mombasa. Hawa ni watu ambao wako na taaluma tofauti tofauti wakiwemo madaktari. Tutakapokuwa na hospitali ya rufaa kule Mombasa, itasaidia pia watalii wagonjwa. Leo hii mtu akitoka Laikipia akitaka kutibiwa anaingia gari la moshi la Standard Gauge Railway (SGR) ambayo ililetwa na Serikali ya Jubilee, moja kwa moja mpaka Mombasa kutibiwa. Kwenda Mombasa si kama kwenda India kutafuta matibabu. view
  • 14 Mar 2018 in National Assembly: Cha kutia aibu sana ni kwamba katika Karne ya 21, akina mama wanakufa kwa ajili ya kujifungua. Katika hospitali zetu za majimbo bado hatujajimudu kuhakikisha kwamba akina mama wanapoleta maisha duniani humu, hawapotezi maisha yao. Kwa hivyo, tunapozungumzia mambo ya afya, ni sharti pia tuelewa kwamba taifa lenye afya ni taifa tajiri. Iwapo wale watu ambao sisi tunaongoza watakuwa wana afya njema, basi tutaweza kuwaambia vijana wetu wajitafutie riziki. Wataweza kufanya hivyo bila kuhangaishwa na maradhi. view
  • 14 Mar 2018 in National Assembly: Ni jambo la kutia hofu sana kwamba kila mara tunalia nchi haina fedha ilhali fedha nyingi zinapotelea katika miradi isiyofaa na yenye kufaidi watu binafsi. Hiyo ni miradi ya kuendeleza ufisadi. Ninazungumza bila kusita kwa sababu najua tulitenga fedha katika Bunge hili ili zitumike katika ugatuzi kwa kununua vifaa vya hali ya juu vya hospitali. Vifaa hivyo vilinuiwa kusaidia wagonjwa ambao wanalazimika kusafiri hadi Nairobi kupata matibabu. Kwa mfano, kusafishwa damu. Magonjwa kama vile kisukari, mpigo wa damu na saratani yamekithiri. Kwa hivyo, tuansema hivi: Iwapo kuna fedha zitatengewa masuala ya matibabu, basi fedha hizo zitumike vilivyo na kikamilifu kama ... view

Comments

(For newest comments first please choose 'Newest' from the 'Discussion' tab below.)
comments powered by Disqus