Shariff Athman Ali

Parties & Coalitions

All parliamentary appearances

Entries 1 to 10 of 512.

  • 9 Apr 2025 in National Assembly: Hoja ya nidhamu, Mheshimiwa Spika. view
  • 9 Apr 2025 in National Assembly: Hoja yangu ya nidhamu inahusu mwelekeo tunaochukua. Imesemwa kuwa walimu waangaliwe kulingana na mwaka waliohitimu. Nitatoa mfano katika eneo langu la Bunge. Nahofia Waziri akiendelea na huo mtindo atamaliza jamii nyingine. Kwa mfano, katika jamii moja ya Wabajuni wa Lamu, watoto wote waliamua wawe waalimu na mmoja akahitimu mwaka jana na mwingine mwaka juzi. Mwaka jana, waalimu walioajiriwa walikuwa wachache. Ikisemekana kuwa mwaka huu watoto hao wasiajiriwe bali The electronic version of the Official Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Hansard Editor. view
  • 9 Apr 2025 in National Assembly: waajiri waalimu waliohitimu mbeleni, itamaliza jamii hiyo ya wabajuni. Usawa uendeshwe kulingana na percentage ili tusiwache jamii yoyote nyuma. Huu mwelekeo wa kila mtu kujitetea kivyake utamaliza wengine. Tuangalie ukenya kwa jumla. view
  • 9 Apr 2025 in National Assembly: Thank you. view
  • 9 Apr 2025 in National Assembly: Hon. Temporary Speaker, I rise to ask the Cabinet Secretary for Education the following Question: Could the Cabinet Secretary― (a) clarify whether secondary schools in Lamu East Constituency receive capitation for repair, maintenance and improvement of facilities in their schools? (b) provide a report on the utilisation of the funds by Kizingitini Secondary School in Lamu East Constituency, particularly to maintain the facilities in the school? (c) state the measures that are being taken by the Ministry to ensure that the maintenance and improvement of school properties like classroom windows and doors are done with the funds that are provided ... view
  • 9 Apr 2025 in National Assembly: Nakushukuru, Mhe. Spika wa Muda, kwa sababu majibu kutoka kwa Waziri ni mazuri na pia amenipatia information zaidi. Lakini, masikitiko ni kuwa shule zinamtegemea Mbunge kwa pesa za maintenance . Ndiyo maana nilileta suala hilo hapa. Dirisha ikiharibika, hairekebishwi mpaka hazina ya National Government view
  • 9 Apr 2025 in National Assembly: (NG-CDF) ifanye marekebisho au renovation. Huwezi kuendeleza mbele shule nyingi kwa kujenga madarasa na laboratories zinazohitajika. Shule kule Kizingitini, zina shida na mimi kama Mbunge ninalaumika kwa sababu shule hazina madirisha na upepo ni mwingi sana. Imekuwa sasa kitu kidogo kikiharibika lazima turudi kwa NG-CDF. Ninaiomba Wizara iangalie mambo hayo kwa sababu yanaturejesha nyuma sana. Waziri, pia wewe umeona kuwa eneo la Kizingitini limepata Ksh1.5 milioni kama view
  • 9 Apr 2025 in National Assembly: ilhali kuna shule zingine ambazo zimepata Ksh100 milioni. Jibu lako limeonyesha kuwa kuna udhaifu na sehemu zetu zinanyanyaswa, ilihali shule zetu ni maskini na haziwezi kufananishwa na shule za town . Weka mipangilio ya kuhakikisha kuwa shule zile zimepata The electronic version of the Official Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Hansard Editor. view
  • 9 Apr 2025 in National Assembly: pesa za kutosha. Katika jibu lako, umesema kuwa pesa hizo zimetumika kwa upande wa view
  • 9 Apr 2025 in National Assembly: . Hiyo ni kweli kwa maana hawana walimu. Wanatumia pesa hizo kuwaandika walimu. Umeona taabu tulizonazo katika shule hizo. Natarajia kuwa ukija hapa wakati mwingine, useme kuwa umeligawia eneo la Kizingitini Ksh100 milioni kama vile shule ya Alliance na kwingineko. view

Comments

(For newest comments first please choose 'Newest' from the 'Discussion' tab below.)
comments powered by Disqus