14 Feb 2014 in Senate:
Huu ni ukweli kwa sababu hatutaki kuyasema hapa kwa sababu leo tunaongea mambo ya Kaunti ya Embu. Lakini yaliyoko huko ni mazito hata kuliko ya Embu kwa sababu walikataa kuskia la mkuu. Sisi Maseneta tukiwambia hawasiki, wakatudharua, hawataki kusikia wasia wetu, basi majuto ni mjuku. Walijitosa kwa ulimwengu wa anasa, magari makubwa makubwa, ma askari wawafuatilia na magari mengi na bendera ya kupepea, wakasahau ya kwamba mbio za sakafuni huishia ukingoni. Sasa wamejua mkubwa ni nani.
view
14 Feb 2014 in Senate:
Tunajua kwamba viongozi wa Embu, MCAs sasa hivi labda baada ya hapa wataanza kusherekea kwa sababu wamenyewa na mvua. Aisifuye mvua imemnyea. Lakini wajue ya kwamba kuna mengi ya kurekebisha, kuleta uiano kwa Kaunti ya Embu baada ya Hoja hiyo. Kutakuwa na vita na vituko, warudi wakajipige konde waone walipotea wapi na watafakari yaliyotokea ili wajenge Kaunti ya Embu. Bw. Spika, Kipengele cha 182 cha toa uongozi utakavyokua baada ya hili jambo. Huenda kama tutakubaliana, na mimi nimekubaliana kabisa kupitisha Hoja hii, tutakuwa na Gavana wa kwanza mwanamke nchini Kenya. Lakini Katiba haisemi, iko kimya kabisa kwa jambo la Deputy ...
view
14 Feb 2014 in Senate:
Tunajua kwamba viongozi wa Embu, MCAs sasa hivi labda baada ya hapa wataanza kusherekea kwa sababu wamenyewa na mvua. Aisifuye mvua imemnyea. Lakini wajue ya kwamba kuna mengi ya kurekebisha, kuleta uiano kwa Kaunti ya Embu baada ya Hoja hiyo. Kutakuwa na vita na vituko, warudi wakajipige konde waone walipotea wapi na watafakari yaliyotokea ili wajenge Kaunti ya Embu. Bw. Spika, Kipengele cha 182 cha toa uongozi utakavyokua baada ya hili jambo. Huenda kama tutakubaliana, na mimi nimekubaliana kabisa kupitisha Hoja hii, tutakuwa na Gavana wa kwanza mwanamke nchini Kenya. Lakini Katiba haisemi, iko kimya kabisa kwa jambo la Deputy ...
view
4 Feb 2014 in Senate:
On a point of order, Mr. Speaker, Sir.
view
4 Feb 2014 in Senate:
Mr. Speaker, Sir, I seek guidance from the Chair on matters of law and our Standing Orders. Standing Order No.65 gives us guidance on how the Governor can be removed from office by the Senate but it is silent on how the Deputy Governor can be removed from office. Mr. Speaker, Sir, Article 180 of the Constitution also has the same deficiency; it describes how to remove a Governor but it does not give guidance on how to remove a Deputy Governor, unlike the rest of the Chapter on the Executive which shows exactly how to remove the President and ...
view
4 Feb 2014 in Senate:
Thank you, Mr. Speaker, Sir. This Motion comes at a time when for some reason governors have sought not to read the Constitution, understand it and appreciate the powers of the Senate. It comes at a time when governors have intentionally refused to acknowledge and accept summons sent to them by our committees. It also comes at a time when their own houses are burning at the grassroots. Like the Swahili saying goes – and I quote – “ usione simba amenyeshewa ukafikiri nipaka”---
view
4 Feb 2014 in Senate:
Mr. Speaker, Sir, indeed, I appreciate Sen. Abdirahman’s comments and actually what you had commented, but these are facts. I will try very much to ignore what is known in the public domain.
view
4 Feb 2014 in Senate:
Mr. Speaker, Sir, you had hitherto ruled on my concern regarding some deficiency in the Constitution on matters that have been raised in the House and I believe the Committee, as so ordered, will address and try to enlighten us on these deficiencies. It cannot be ignored that the former Attorney-General has also indicated the truth of the matter on the legitimacy of having one Committee to actually address two cases. But notwithstanding the law and our own Standing Orders’ deficiency in addressing the situation, I believe that there is a way forward and that lacuna will not in any ...
view
3 Dec 2013 in Senate:
Thank you, Mr. Speaker, Sir. As I congratulate the Senate Majority Leader for laying this Paper for discussions on the Floor of this House. I would like us to remember what used to happen before, where leaders or rather individuals were given honours on dubious merit and their levels of sycophancy. The louder you were in singing the name of the hitherto leader of the country, the more likely you were to get a medal. Indeed, it puts into question the definition of what kind of bravado somebody has to express to be recognized and given a medal or honour ...
view
3 Dec 2013 in Senate:
Mr. Speaker, Sir, I may not want to substantiate the obvious; on what the history of this country has hitherto shown. I will not go into that. I seek that you excuse me from naming anybody in the public service. However, I will not withdraw because that is the truth.
view