3 May 2012 in National Assembly:
Madam Naibu Spika wa Muda, tumeitwa kuhakikishe kwamba Miswada na maswala ya ugatuzi yaangaliwe kabisa kwa makini. Haswa, litakuwa jambo ambalo halitafaa kama tutasema kwamba kuna serikali ya ugatuzi na hatutoi na kuandaa vile vitengo ambavyo vimewekwa kusudi kwamba Serikali hiyo iweze kufanya kazi. Moja wapo ya hayo mambo--- Hata Rais mwenyewe aliona kwamba kuna dosari ya kuingiliwa kwa Serikali ya Wilaya na nguvu zake. Ndio maana alisema afadhali tuangalie haya mambo tena, kusudi kusikuwe na balaa wakati wa kutekeleza sheria hii ya serikali za ugatuzi.
view
3 May 2012 in National Assembly:
Mimi ningetaka kuwaomba Wabunge wenye hekima na waliochaguliwa na wananchi kuyaangalia haya mambo kwa maanani na kwa undani. Siyo siasa tu na kuonekana kwamba wewe unajua kupinga au wewe utakuja kupoteza kura uitwe jasiri. Unafikiri utaitwa mbumbumbu wakati huo? Naita kila mtu tuangalie haya mambo - hata maswali ya hela – ili tutoe mwongozo mzuri kwa maswala ya utekelezaji na utumiaji wa hela kwa Serikali kama ilivyo ombwa na Waziri wa Fedha.
view
3 May 2012 in National Assembly:
Madam Naibu Spika wa Muda, naomba kuunga mkono Mswada huu.
view
2 May 2012 in National Assembly:
Mr. Speaker, Sir, I beg to reply.
view
2 May 2012 in National Assembly:
My Ministry has awarded a contract for preliminary and detailed engineering design of the road with a view of upgrading it to bitumen standards. The design will be completed in August, 2012, after which, we will source for funds for tarmacking the road. Meanwhile, my Ministry through the Kenya National Highways Authority (KeNHA), has awarded a contract for the spot improvement of the road at a total cost of Kshs107,706,700.
view
2 May 2012 in National Assembly:
Mr. Speaker, Sir, that is true. It is after we got a sum of Kshs89,300,000 for the tendering of the design contracting that we were able to start the work. That is why it delayed from the time you know.
view
2 May 2012 in National Assembly:
Mr. Speaker, Sir, the contract for the routine maintenance of the spot improvement of the road has been awarded for the improvement of the whole road. It includes the following scope of works: Provision of preliminaries---
view
2 May 2012 in National Assembly:
Mr. Speaker, Sir, I expect the work to be started now and completed by August this year.
view
2 May 2012 in National Assembly:
Mr. Speaker, Sir, I expect to cover about 124 kilometres.
view
25 Apr 2012 in National Assembly:
Mr. Speaker, Sir, I beg to reply. My Ministry, through the Kenya National Highways Authority (KeNHA), has awarded a contract for the routine maintenance of the road at a sum of Kshs3,567,900. The contractor started work on 20th March, this year and it is expected that he will complete the repairs by the end of the contract duration.
view