Wilfred Machage

Full name

Wilfred Gisuka Machage

Born

10th August 1956

Post

Parliament Buildings
Parliament Rd.
P.O Box 41842 – 00100
Nairobi, Kenya

Post

P. O. Box 15292 00509 Nairobi

Post

P.O. Box 41842, 00100 Nairobi, Kenya

Email

gmachage@gmail.com

Telephone

0710442712

Link

@gmachage on Twitter

Link

@gmachage on Twitter

Dr. Wilfred Machage

Wanjiku’s Best Representative – Health (Senate), 2014

All parliamentary appearances

Entries 931 to 940 of 2209.

  • 25 Jun 2014 in Senate: On a point of order, Mr. Deputy Speaker, Sir. view
  • 25 Jun 2014 in Senate: Mr. Deputy Speaker, Sir, my point of order is on the same line of ruling that you are doing. My understanding is that all travelling of Members of this House is approved by your office. Therefore, is it not true that the Speaker’s office was aware that these Members were out of the country? view
  • 25 Jun 2014 in Senate: Will I, therefore, be in order to request that you order the Clerk’s office to always inform you which Members are out and when? view
  • 25 Jun 2014 in Senate: Bw. Naibu Spika, namshukuru sana Sen.Halima kwa Hoja aliyoileta katika Bunge hili. Kuna mengi ya uchungu ambayo wakati mwingine ni magumu kuyataja na kuyazungumza hapa. Wakati mwingine ukizifikiria zile sehemu zilizosahaulika tangu siku za ukoloni mpaka sasa, badala ya kulia utaangua kicheko, kwa sababu si jambo ambalo halijajulikana na Serikali wala kudhihirika. Nafikiri hili ni jambo ambalo limetendwa kwa nia ya kuua utu wa Wakenya wengine nchini. Wakati umefika ambapo sisi, hasa wale tunaotoka sehemu hizi ambazo sasa wameziita “ marginalized” kwa kimombo, kwenda kotini. Tutaenda kotini tukidai riba kwa dhulma ambayo tumetendewa na Serikali hizo zote mpaka leo. Tumenyimwa ... view
  • 24 Jun 2014 in Senate: On a point of information, Mr. Deputy Speaker, Sir. view
  • 24 Jun 2014 in Senate: May I inform Sen. Wako that--- view
  • 24 Jun 2014 in Senate: May I inform Sen. Wako that we also have a Mr. Marwa, a referee from Kuria in Brazil. view
  • 24 Jun 2014 in Senate: Asante sana, Bw. Naibu Spika. Niruhusu niseme yangu machache juu ya janga hili la kukosa usalama nchini. Tunapoongea jambo hili, tujue kwamba kwa kawaida, matibabu ya ugonjwa sio lazima kugonga pale uchungu ama maumivu yalipo; eti ukiumwa na kichwa, unaenda kukata kichwa kwa sababu uchungu uko kwa kichwa. Labda shida ni nyingine. Labda una viini au damu inakimbia sana. Kwa hivyo, ni lazima utafute ni sababu gani kichwa kinauma wala sio kukimbilia kukata kichwa. Hivyo ndivyo wenzetu labda wanafikiria juu ya jambo hili la usalama; kwamba labda kwa sababu kuna vita au watu wameuwawa sehemu fulani, inafaa Mkuu wa Polisi ... view
  • 24 Jun 2014 in Senate: Add me one more minute! view
  • 24 Jun 2014 in Senate: Jambo la nidhamu, Bw. Naibu Spika. Mwenzangu amesema kuwa kichwa cha nchi hii kinauma na kimekosa nidhamu au kina ugonjwa. Ningependa atueleze anamaanisha nani. view

Comments

(For newest comments first please choose 'Newest' from the 'Discussion' tab below.)
comments powered by Disqus