18 Jun 2014 in Senate:
Mr. Speaker, Sir, in the Statement issued, the Cabinet Secretary is quoted to have said that the levies will be limited to only essential issues and avoid all non-essential services. Has he enumerated what he thinks are essential services and what he thinks are non-essential services? Is it not just a blanket allowance for schools to continue levying higher fees to parents?
view
18 Jun 2014 in Senate:
Bw. Spika, kwa niaba yangu mwenyewe na wananchi wa Migori County, ninatuma rambirambi zetu kwa familia na marafiki wa huyu Gen. Mulinge ambaye alikuwa mcheshi, mzalendo na aliyependwa na watu nchini. Kazi yake ilidhihirika na uwezo wake ulionekana kwa kazi aliyopewa. Si wengi wetu walio kama yeye alivyokuwa wakati wa uhai wake. Lakini pia tunamshukuru Mungu kwamba aliishi miaka mingi. Umri wake si jambo la kawaida kwa wengi nchini. Hata kama tunalia na kutoa machozi, pia ni lazima tusherehekee maisha marefu aliyopewa na Mwenyezi Mungu huyo mzalendo wa nchi ya Kenya. Tukubali yaliyotendeka na kumshukuru Mungu kwa maisha yake. Asante, ...
view
11 Jun 2014 in Senate:
Mr. Speaker, Sir, you definitely note the absence of the pivotal Members on today’s business as listed on the Order Paper; including a chief whip of this House and indeed a Member of the governing party. The first absentee was also from the same party. Is this party intending to bring downfall to this House? Are they in order?
view
11 Jun 2014 in Senate:
On a point of order, Mr. Speaker, Sir. In Sen. Kivuti’s response to this House, he said that he is a representative of the other Members of the Government side. Would I be in order to ask that he tables a letter that he was given to represent the other Members and he should go ahead to table the reports that this House expects or moves Sen. Elachi’s Motion?
view
11 Jun 2014 in Senate:
Mr. Speaker, Sir, is the hon. Senate Minority Deputy Leader in order not to have read the last part of Sen. Elachi’s Motion for him to raise the statements as he has put them on the Floor of this House? Is he in order?
view
11 Jun 2014 in Senate:
Thank you, Mr. Speaker, Sir, for giving me this opportunity to contribute to this Motion that has been brought to us by Sen. Elachi. Sen. Elachi is the Chief Whip of this House and a strong Member of the Government. Therefore, she knows a lot with regard to what is happening in Government. In her Motion, she has made several assertions. One, she appreciates that Kenya has had the opportunity to send – in the previous Governments – many of our troops to many countries in peace keeping missions. She has also asserted that Kenyan forces are well trained and ...
view
9 Jun 2014 in National Assembly:
On a point of order, Mr. Speaker, Sir.
view
9 Jun 2014 in National Assembly:
Mr. Speaker, Sir, would I be in order to inform you that I am privy to information that Sen. (Prof.) Lonyangapuo is bereaved? He lost his father and that is why he is not in the House today.
view
9 Jun 2014 in National Assembly:
Asante sana, Bw. Spika. Nikiunga Mswada huu, ningetaka kuwapongeza wale Maseneta watatu waliotuwaakilisha vizuri katika Kamati hii. Ningependa kuwapongeza kwa kazi nzuri waliotekeleza katika kikao hiki cha kuratibisha Mswada huu. Lengo la Mswada huu linadhihirika wazi wazi na haina haja tukumbushane kwa sababu tuliwahi kutoa maoni yetu kuhusu Mswada huu hapo mbeleni. Hata hivyo, Sen. Sang ambaye alipendekeza Mswada huu inafaa ajue kwamba siku huwa na alfajiri, adhuhuri na jioni. Siku njema huonekana asubuhi. Pia siasa nzuri huonekana mapema. Akiendelea hivyo, ninaona siku nzuri imeanza na imedhihirika kwa mawazo yake, katika siasa yake nzuri na mapendekezo yake yenye maana na ...
view
4 Jun 2014 in Senate:
On a point of order, Mr. Speaker, Sir. Indeed, I wanted to bring to your attention the same issue that the able Deputy Speaker has pointed out. The Chairman is proceeding to answer a wrong question. Therefore, his answer is invalid and the Statement should be deferred.
view