William Kamoti Mwamkale

Parties & Coalitions

All parliamentary appearances

Entries 131 to 134 of 134.

  • 22 May 2013 in National Assembly: Bw. Naibu Spika wa Muda, imesemekana kwamba hatuwezi, kama Serikali kuweka mikakati ya kuchunga wanyama pori kama wale wanaoishi na wanyama pori, jamii ambazo zinapakana na mbuga zetu za wanyama pori. Tukitaka kuchunga wanyama pori ni lazima tutambue wale wanaoishi karibu na wanyama hawa. Tuhakikishe kwamba mambo yao ama wao wanawekwa katika mstari wa mbele katika uchungaji wanyama pori. Tumeona katika nchi hii siku za nyuma - siku chache tu zilizopita - jamii zinazoishi karibu na mbuga zetu zilichukua mishale na silaha nyingine na kutaka kuingia msituni na kuwakatakata wanyama pori; hii ni kwa sababu Serikali inaonekana, hasa shirika linalosimamia ... view
  • 25 Apr 2013 in National Assembly: Thank you, Hon. Speaker, Sir, for having noticed me at long last. I was wondering why you have not managed to notice me and yet, wherever I walk in my constituency, people identify me with my grey hair. I was wondering whether my hair is not grey in this honourable House. My names are Kamoti Mwamkale, the Member for Rabai which is in Kilifi County. view
  • 25 Apr 2013 in National Assembly: Hon. Speaker, Sir, allow me to join my colleagues in congratulating you and your Deputy for being elected to that hot seat. First, I would like to congratulate the people of Rabai for electing me to this honourable House to serve them as their first Member of Parliament. I am saying “first” because Rabai is a new constituency. view
  • 25 Apr 2013 in National Assembly: I sincerely support the Motion before the House. I congratulate the hon. Member who has brought this Motion to this House. He is hon. Joseph Gitari. Indeed, the spirit and intention of the National Hospital Insurance Fund (NHIF) is to serve as the saviour of the people when it comes to health insurance provider. There are many insurance companies that provide that service but I believe it is NHIF that targets the common man. A penalty of 500 per cent is prohibitive. I believe that this is unconstitutional in our new dispensation. Article 47(1) of our Constitution on fair administrative ... view

Comments

(For newest comments first please choose 'Newest' from the 'Discussion' tab below.)
comments powered by Disqus