Ali Wario

Parties & Coalitions

Born

5th May 1970

Post

P. O. Box 10 Bura, Tana

Email

warioali@yahoo.com

Telephone

0721398361

Telephone

0725206089

All parliamentary appearances

Entries 581 to 590 of 612.

  • 8 Nov 2006 in National Assembly: Mr. Deputy Speaker, Sir, you heard the last part of the Assistant Minister's answer. He says Bura Health Centre has no X-ray services or major theatre. Whose responsibility is it to set up these facilities? Is it mine? view
  • 7 Nov 2006 in National Assembly: Asante Bw. Naibu Spika wa Muda kwa kunipa fursa hii. Ningependa kumshukuru Mwenyezi Mungu ambaye alitujalia elimu kupitia ufunuo na uhusiano kupitia Mitume, kati yao akiwa Mtume wa mwisho Mohammed, ambaye katika ufunuo wake wa kwanza kwa mitume, aliwaambia, "soma." Neno soma ni tendo ambalo halifungamani na wakati au umri. Hivyo basi, utu au kufaulu kwa mtu duniani kunategemea kusoma kwake au uwezo wa mali aliyo nayo. Kamwe, sitasahau kumpongeza Waziri na Serikali kwa kukumbuka na kusajili au kuleta Mswada wa kusajili chuo kikuu cha WUST. Ingawa amechelewa, bado tunampongeza Waziri. Kuna vifungu kama vile 5(10) na vingine ambavyo tuna ... view
  • 7 Nov 2006 in National Assembly: Asante, Bw. Naibu Spika wa Muda. Ninasema kwamba baraza la vyuo vikuu lisifanye ubaguzi wakati wanaposajili vyuo vikuu. Ninasema hivi kwa sababu sasa ni zaidi ya miaka saba tangu chuo kikuu cha kiislamu cha Thika kiombe usajili. Ukiangalia makanisa karibu yote leo yana na vyuo vikuu vyao. Kwa nini kusiwe na chuo kimoja kwa jamii ya waislamu ili nao waweze kuendeleza shughuli ya dini yao? Hii imelazimu watoto wengi wa kiislamu waende Sudan, London ama Uganda kutafuta elimu. Mbona Serikali inatuweka kwa gharama hii na sisi tuko na chuo hapa ambacho kinaweza kufaidi watoto wetu? Bw. Naibu Spika wa Muda, ... view
  • 2 Nov 2006 in National Assembly: asked the Minister for Agriculture:- (a) what his Ministry has done to improve agricultural production and food security in Bura Constituency for the last three years; (b) what concrete results from "a" above are; and, (c) how much money the Ministry spent in the area during the period in question. view
  • 2 Nov 2006 in National Assembly: Mr. Deputy Speaker, Sir, what specific policy measure has the Assistant Minister employed in addressing food insecurity in this area, in view of the under utilisation of the 3376 PARLIAMENTARY DEBATES November 2, 2006 river basin in the area? view
  • 2 Nov 2006 in National Assembly: Mr. Deputy Speaker, Sir, the Assistant Minister has said that Kshs14 million has been spent in the last three financial years. The reality on the ground is different. Could the Assistant Minister undertake to inform the House which specific projects they completed using this money? view
  • 2 Aug 2006 in National Assembly: asked the Minister of State for Special Programmes:- (a) how much money the Government spent on relief food in Tana River District during the 2005/2006 Financial Year; and, (b) what the strategy of the Government is to ensure that the recurrent famine is put to an end. view
  • 2 Aug 2006 in National Assembly: Thank you, Mr. Speaker, Sir. The House will appreciate the fact that there have been recurrent droughts in the country and we keep on appealing to donors to support us. None of the three policies that the Minister has mentioned has been approved by this House. What specific strategies has this Government put in place to end the recurrent droughts? view
  • 2 Aug 2006 in National Assembly: Thank you, Mr. Speaker, Sir. The Minister allocated over Kshs500 million in the last financial year to the Drought Contingency Fund money which was removed during the Supplementary Estimates. Could he confirm to the House that this year's Drought Contingency Fund will be used for the right purpose. view
  • 2 Aug 2006 in National Assembly: Asante Bw. Naibu Spika wa Muda. Ninachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kunijalia fursa hii ili niweze kuchangia Hoja iliyo mbele yetu. Ninamuunga mkono na kumpongeza mhe. ole Metito kwa kuileta Hoja hii. Hoja hii inazungumza juu ya watoto yatima na elimu yao. Maswala haya mawili ni muhimu na yangeshughulikiwa jana wala si leo. Korani Tukufu inatwaambia: " Kullu nafsin dhaaikatul maut ", inayomaanisha kila kiumbe siku moja kitakufa. Wanaotunga sera, na Serikali kwa jumla, ni kama roho zao zimetengenezwa na chuma na ni kama kamwe, hawatakufa siku moja. Hivyo basi, wamesahau kuwapangia watoto yatima. Ingawa kifo ni lazima ... view

Comments

(For newest comments first please choose 'Newest' from the 'Discussion' tab below.)
comments powered by Disqus