13 May 2021 in National Assembly:
Asante sana Mhe. Naibu Spika wa Muda kwa kunipa nafasi hii ya kuchangia hotuba ya Rais wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu. Kwanza kabisa ni kumshukuru Rais wa Jamhuri ya Kenya na Rais wa Tanzania kwa kushikana na kuonelea ni vizuri wakutane na wafanye kazi pamoja. Mwaka uliopita nilitamka matamshi ambayo yalileta shida sana katika nchi hii na nchi jirani. Na mimi kama Mbunge wa Starehe nilikuwa natetea wale wakaaji wa Starehe ambao wengi ni wafanyabiashara. Kumekuwa na changamoto nyingi sana na mimi nilifurahia sana wakati Mhe. Suluhu, Rais wa Tanzania, alipozuru nchi yetu kwa sababu ilionyesha kwa kweli kulikuwa na ...
view
6 May 2021 in National Assembly:
I, Charles Njagua Kanyi, Member of Parliament for Starehe, I vote yes.
view
1 Dec 2020 in National Assembly:
Hon. Speaker, I rise to ask Question No.359/2020 to the Cabinet Secretary for Devolution and ASALs: (i) Could the Cabinet Secretary explain the plans put in place by the Ministry to ensure
view
1 Dec 2020 in National Assembly:
food and relief items are kept in stock for emergencies such as droughts, famine
view
1 Dec 2020 in National Assembly:
and other calamities? (ii) What steps has the Ministry taken to mitigate against any inadequacies and provide
view
1 Dec 2020 in National Assembly:
the much-needed food and other relief commodities when droughts and other
view
1 Dec 2020 in National Assembly:
calamities happen?
view
1 Dec 2020 in National Assembly:
Thank you, Hon. Speaker.
view
1 Oct 2020 in National Assembly:
Thank you, Hon. Temporary Deputy Speaker. Let me start by thanking my colleague, Hon. Major Donk, for bringing this Bill to this House. What Hon. Major Donk who is my good friend…
view
1 Oct 2020 in National Assembly:
Okay, Hon. Temporary Deputy Speaker. He is commonly known as Hon. Major Donk.
view