David Wafula Wekesa

Email

dvdwafula@yahoo.com

Telephone

0722949903

Telephone

0720678540

All parliamentary appearances

Entries 21 to 30 of 125.

  • 16 Mar 2016 in National Assembly: On a point of order, Hon. Temporary Deputy Speaker. Did you hear the Member say that--- view
  • 16 Mar 2016 in National Assembly: Yes. She said that she is supporting the Motion as amended. I thought she is seconding the amendment by Hon. (Ms.) Zuleikha. view
  • 16 Mar 2016 in National Assembly: On a point of order, Hon. Temporary Deputy Speaker. view
  • 16 Mar 2016 in National Assembly: Mheshimiwa Naibu Spika wa Muda, je, umeridhika na vitendo vya Mheshimiwa Bedzimba wakati mjadala unaendelea hapa Bungeni? view
  • 16 Mar 2016 in National Assembly: Ahsante sana Mheshimiwa Naibu Spika wa Muda. Pongezi kwa Mheshimiwa Chris. Ijapokuwa naunga mkono Hoja hii, lazima tuwe waangalifu sana. Tayari katika Saboti, sehemu ambayo naiwakilisha Bungeni, kuna tetezi kwamba kuna watu ambao wanaleta watu kutoka Uganda wakiwa na nia ya kuwapa mashamba wakisingizia ni wakimbizi. Kwa hivyo, ni lazima tuhakikishe kuwa maafisa wetu wanafaa. Isiwe tu ni maafisa ambao wanakimbilia pesa. Naunga mkono Hoja hii. view
  • 2 Mar 2016 in National Assembly: Thank you, Hon. Temporary Deputy Chairman. I stand to support this amendment. The element of transport should be looked into. We know how much the 90- kilogramme bag costs in terms of transport. The transport for the 50-kilogramme bags should be lower. view
  • 24 Nov 2015 in National Assembly: Yes, it is. Ahsante sana Mhe. Naibu Spika kwa kunipa fursa hii ili nami nichangie ombi la maskwota ambao wanatoka Trans Nzoia. Nikisimama hapa, ninaongea kama mtoto halisi wa skwota namba moja kutoka Trans Nzoia County. Sisi sote tunajua kwamba suala la maskwota humu nchini ni kizungumkuti sana hasa Trans Nzoia ambayo ni lindi la maskwota. Sisi kama viongozi wakutoka Trans Nzoia tunaiomba hii Kamati ambayo inahusika na hili suala, iangalie hili suala kwa makini sana. Tunastaajabu kwamba mara nyingi Serikali imekuwa ikitoa maskwota sehemu zingine na kuwapa makazi Trans Nzoa ilhali maskwota halisi wa kutoka Trans Nzoia hawana mashamba. ... view
  • 14 Oct 2015 in National Assembly: Thank you, Hon. Temporary Deputy Chairman for giving me this opportunity. I stand to oppose. view
  • 14 Oct 2015 in National Assembly: Hon. Temporary Deputy Chairman, unless we are looking to employ somebody, we do not need prefects here. We have enough prefects in this House. This one is taken care of by other organs and that includes our constituents who will judge us. Thank you. view
  • 1 Jul 2015 in National Assembly: On a Point of Order. view

Comments

(For newest comments first please choose 'Newest' from the 'Discussion' tab below.)
comments powered by Disqus