John Kinyua Nderitu

Parties & Coalitions

All parliamentary appearances

Entries 1091 to 1100 of 2259.

  • 2 Mar 2022 in Senate: Asante, Sen. Wario. Kile ambacho nimesikia ukisema ni kwamba mimi naelewa Kiswahili. Nilijua ulitaka kusema ya kwamba nitasema barabara ni ya moja kwa moja. Hukusema kwamba mimi najua mambo zaidi kuhusu ile barabara; najua ulitaka niseme barabara ile ni ya moja kwa moja. Hon Senators, we do not have quorum to execute Order Nos 8, 9, 10, 11, 12, 13, 14, 15 and 16. I, therefore, defer them. view
  • 2 Mar 2022 in Senate: Next order. view
  • 2 Mar 2022 in Senate: Sen. Mwaruma is online and he had a balance of 11 minutes. Sen. Mwaruma, unatusikia ? Twakusikiza, unaweza kulivalia swala njuga.Wakati Sen. Mwaruma anapojaribu kutafuta pahali pazuri ndiposa tuweze view
  • 2 Mar 2022 in Senate: What is it Sen. Shiyonga? view
  • 2 Mar 2022 in Senate: After the programme, are you not going to handout that money? view
  • 2 Mar 2022 in Senate: Everybody has understood. Proceed Sen. Cherargei. view
  • 2 Mar 2022 in Senate: Sen. Cherargei stick to your--- view
  • 2 Mar 2022 in Senate: Kindly forget about it. Stop that. view
  • 2 Mar 2022 in Senate: Senator, when you were in the Committee on Labour and Social Welfare, you realized that there was a problem of registering old people. We have assistant chiefs, Nyumba Kumi, Deputy County Commissioners (DCCs), Assistant County Commissioners (ACCs), who know the people who live in that area. Many of the people in this country are not nomads to the extent that they would not know the old people. Why are you telling this House that as the Committee on Labour and Social Welfare, you encountered a problem in registering old people who can easily be gotten from where they live by ... view
  • 2 Mar 2022 in Senate: Asante Sen. Wario. Nimesikia ukisema kwamba wazee wanasafiri mchana kutwa ndio waweze kupata mahali ambapo watapata malipo yao. Nilidhania utasema ya kwamba, zile Kshs2000 ambazo zinatajwa zinaweza zikawa ni chache pengine kuwe na mikakati ya kuongeza zile hela. Sen. Isaac Mwaura. view

Comments

(For newest comments first please choose 'Newest' from the 'Discussion' tab below.)
comments powered by Disqus