John Kinyua Nderitu

Parties & Coalitions

All parliamentary appearances

Entries 1901 to 1910 of 1910.

  • 28 Sep 2017 in Senate: Bw. Speaker wa Muda, tukiwa na sheria ambayo haieleweki vyema kabisa, kama vile yalikuwa malengo ya Bunge walipokuwa wakitunga ile sheria, ikipelekwa mahakamani au kortini, wale mahakimu wanaweza wakasema vile ambavyo wanavyotaka kuihusu. Kwa hivyo, ni vizuri sisi wenyewe tuitengeneze kama vile ilivyoletwa hapa kwa marekebisho na kuangaliwa zaidi. Hakuna kitu ambacho ni kizuri asili mia kwa mia ndiposa kila kitu kinapaswa kuangaliwa vizuri. Kwa mfano, hata ukinunua gari jipya, bado litakuwa na gurudumu la “spare.” Hata binadamu mwenyewe akiwa ameumbwa na Mungu--- view
  • 28 Sep 2017 in Senate: Asante, Bw. Spika wa Muda. Nimeambiwa ni gurudumu la ziada. Bw. Spika wa Muda, nilikuwa nasema kuwa hata gari jipya liko na gurudumu la ziada. view
  • 28 Sep 2017 in Senate: Hata binadamu mwenyewe akiumbwa, hata akiwa mzuri vipi, huumbwa na figo mbili, moja ikiwa ya ziada. Hii ni kwa sababu binadamu anahitaji figo moja tu ndiposa ikikosa kufanya kazi vizuri, atatumia ile figo ingine. Kwa hivyo, nakubaliana na hii sheria, hasa jopo hili; kuwa watakapoanza kuangalia maswala haya, waseme tuwe tunatumia njia zote mbili. Asante sana, Bw. Spika wa Muda. Naunga mkono. view
  • 27 Sep 2017 in Senate: Thank you, Madam Temporary Speaker, for giving me this opportunity and I stand to support. view
  • 27 Sep 2017 in Senate: Thank you, Mr. Temporary Speaker, Sir. I stand to second. This is the lowest moment in my political career. When I came to the Senate, I thought that I would get to see the old politicians such as Sen. Orengo, Sen. Wetangula and Sen. Wako, who would be sitting here and guiding us on how to do things in the Senate. To my amazement, they are not available. They are busy in the streets, organizing view
  • 27 Sep 2017 in Senate: . I am one worried person because they are going to an extent of saying that there will be election if--- view
  • 27 Sep 2017 in Senate: Mr. Temporary Speaker, Sir, he did not get me right. I said I respect them. I am the one to choose the people to respect even if he claims it is wrong to do so. There is an allegation by some Senators on that side and the presidential candidate for NASA that there will be no election. However, the Constitution is very clear on this matter. Article 138(1) says: “If only one candidate for President is nominated, that candidate shall be declared elected’. Mr. Temporary Speaker, Sir, if they continue to say there will be no election and fail to ... view
  • 27 Sep 2017 in Senate: Which one had you raised? He had raised many issues. view
  • 27 Sep 2017 in Senate: Mr. Temporary Speaker, Sir, it is in public domain that they are organizing “Maandamano” on Tuesday, next week Tuesday. Consequently, they have put it very clear that they will be organizing “ maandamano ” every Tuesday. It was said that their principals are the generals and that they will be leading from behind. To me, they are not generals because generals lead from the front. They are cowards. view
  • 27 Sep 2017 in Senate: Mr. Temporary Speaker, Sir, Article 37 states that there is the right to picket and demonstrate but it cannot be done by people who are armed. We have witnessed people carrying stones. They have forgotten that they were defeated. We are setting a very bad precedent in this country, for example, what happened in 2007. Some people keep on changing goal posts. First, it is alleged that the Independent Electoral and Boundaries Commission (IEBC) did not perform very well. Now, it is about Safaricom. However, elections have to be done on 26th October, 2017 because even the Supreme Court judgement ... view

Comments

(For newest comments first please choose 'Newest' from the 'Discussion' tab below.)
comments powered by Disqus