John Kinyua Nderitu

Parties & Coalitions

All parliamentary appearances

Entries 2021 to 2030 of 2259.

  • 24 Sep 2019 in Senate: Thank you, Mr. Speaker, Sir. view
  • 12 Sep 2019 in Senate: Asante sana Bw. Spika, kwa kunipa fursa hii. Ninasimama kusema ya kwamba, maneno yaliyosemwa na Seneta wa Kaunti ya Kitui ni ukweli mtupu. Kamati ambayo inahusika na usalama inapaswa izingatie, sio hio sehemu pekee yake, lakini pia Laikipia. Hawa wezi wa mifugo wamekuwa kidonda sugu. Ukienda sehemu za Kinamba,Wangwashe na El Moran, imekuwa kila wakati watu hawalali na kazi yao imekuwa kufuata wezi wa mifugo. Jambo ambalo linavunja moyo ni kwamba, Waziri wa Usalama aliwapokonya vijana ambao walipewa bunduki kihalali na Serikali kwa kisingizio ya kwamba, wanaenda kuangalia jinsi hizo silaha zilipeanwa. Tungependa Kamati inayohusika na usalama ifuatilie kwa mapana ... view
  • 10 Sep 2019 in Senate: Asante sana, Bi. Spika wa Muda, kwa kunipa fursa hii. Kwanza kabisa, ningependa kuupongeza Mswada huu ulioletwa na Seneta Khaniri. Huu ni Mswada unaofaa Zaidi, kwa sababu askari wetu wamejitolea na kujizatiti kuilinda nchi yetu; kwa hivyo, familia zao zinafaa kulindwa ipasavyo. Hii ni kwa sababu hawa watu wamejitolea maisha yao ili kutulinda sisi na wengine, kwa hivyo ni vizuri Serikali na maofisa wanaohusika wachukue fursa ya kuangalia masilahi ya askari wetu, wanaofanya kazi nzuri sana. Hawa ni watu ambao wanajitolea maisha yao pamoja na familia zao na kuziweka katika hali ya tahadhari. Kwa hivyo, tuchukue fursa yoyote ambayo tunapata ... view
  • 10 Sep 2019 in Senate: hakuna usalama katika nchi tunazopakana nazo. Kwa hivyo, ni vizuri tuchukulie Mswada huu kwa hali ambayo inafaa, na sisi wenyewe tuunge mkono. Nataka kumpongeza Seneta Khaniri kwa kuleta Mswada Huu. Asante, Bi. Spika wa Muda. view
  • 7 Aug 2019 in Senate: Thank you, Mr. Deputy Speaker, Sir. Pursuant to Standing Order No.51(1)(a), I rise to make a Statement relating to a matter for which the Committee is responsible. The Statement is on the challenges facing the Taita-Taveta County Government. The Senate Standing Committee on Devolution and Intergovernmental Relations is established under Standing Order No. 218(3) of the Standing Orders of the Senate. view
  • 7 Aug 2019 in Senate: Thank you, Mr. Deputy Speaker, Sir. Pursuant to Standing Order No.51(1)(a), I rise to make a Statement relating to a matter for which the Committee is responsible. The Statement is on the challenges facing the Taita-Taveta County Government. The Senate Standing Committee on Devolution and Intergovernmental Relations is established under Standing Order No. 218(3) of the Standing Orders of the Senate. view
  • 7 Aug 2019 in Senate: Mr. Deputy Speaker, Sir, the Committee is mandated to consider all matters relating to devolution; intergovernmental and inter-county relations; governance and, management of county governments, cities, towns and urban areas. Many counties are facing various challenges such as budget making process and health issues. Kitui and Taita-Taveta counties have faced challenges in the budget making process while Laikipia, Kakamega and Kirinyaga counties are having health challenges. Specifically, let me inform the House on the budget stalemate in Taita-Taveta County. view
  • 7 Aug 2019 in Senate: Mr. Deputy Speaker, Sir, the Committee is mandated to consider all matters relating to devolution; intergovernmental and inter-county relations; governance and, management of county governments, cities, towns and urban areas. Many counties are facing various challenges such as budget making process and health issues. Kitui and Taita-Taveta counties have faced challenges in the budget making process while Laikipia, Kakamega and Kirinyaga counties are having health challenges. Specifically, let me inform the House on the budget stalemate in Taita-Taveta County. view
  • 7 Aug 2019 in Senate: Let me start with the background of what happened in Taita-Taveta County. The Governor requested the people of Taita-Taveta County to sign a petition to H.E President Uhuru Kenyatta to suspend and dissolve the county government. In the Petition, the Governor is citing the following facts, among others - view
  • 7 Aug 2019 in Senate: Let me start with the background of what happened in Taita-Taveta County. The Governor requested the people of Taita-Taveta County to sign a petition to H.E President Uhuru Kenyatta to suspend and dissolve the county government. In the Petition, the Governor is citing the following facts, among others - view

Comments

(For newest comments first please choose 'Newest' from the 'Discussion' tab below.)
comments powered by Disqus