Kibwana Kivutha

Born

13th June 1954

Post

30521, Kenya

Link

Facebook

Telephone

0721353057

Telephone

+254-20-221291

All parliamentary appearances

Entries 211 to 220 of 465.

  • 20 Sep 2023 in Senate: Kuna saratani ya kifua ambayo inasababishwa na uvutaji wa hizi sigara. Hili ni janga kubwa ambayo tunafaa kuangalia. Bw. Spika, ni hayo tu kwa sasa, kwani mada hii ni pana sana. Naunga mkono Hoja hii iliyofadhiliwa na Sen. Mumma. Asante. view
  • 19 Sep 2023 in Senate: Asante, Bi. Spika wa Muda. Langu ni kutoa pole kwa watu wa Kaunti ya Lamu waliofiwa. Ni masikitiko makubwa kupoteza ndugu zetu na hao ndugu, wako na familia. Wako na watoto, ni baba, kaka na pia ndugu za watu. Tunaomba Serikali ifanye vyovyote vile kusuluhisha na kuweka usalama upande huo, ili maisha na kazi za watu wetu wengine kama wavuvi ziendelee. The electronic version of the Senate Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Director, Hansard Services,Senate. view
  • 19 Sep 2023 in Senate: Lamu inajulikana kama mji wa tourism. Tunaomba Serikali iingilie kati ili watu wawe huru kufanya kazi zao bila uoga au tashwishi. Lakini ninaomba tu Wakenya na Serikali isilete ukabila, siasa au jambo lolote la kuvuruga zaidi. Wale wanajeshi wetu waliopelekwa Somalia warudi Kenya ili waongoze katika kutunza usalama. Tuangalie nyumbani kwanza kwa sababu mcheza kwao hutuzwa. Usalama kwanza uanze kwenu. Kama kwenu hakuna usalama, ya nini kulinda usalama katika nchi nyingine? Tunaomba Serikali ilete usalama wote Kenya kwanza, tuwe na nafasi, watu wote wawe huru kufanya kazi zao, halafu ndio tupeane usalama upande mwingine. Bi Spika wa Muda, ninatoa pole ... view
  • 31 Aug 2023 in Senate: Mr. Deputy Speaker, Sir, I thought we were through with the view
  • 31 Aug 2023 in Senate: and mawe discussions and are now on climate change. I stand to support the Climate Change (Amendment) Bill. We should be the champion having had our sister and mother, Prof. Wangari Maathai set the pace. Parliamentarians require capacity building on this one. I urge the Government to unlock The electronic version of the Senate Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Director, Hansard Services,Senate. view
  • 31 Aug 2023 in Senate: some bureaucracy, so that at least we can get the funding and some of us can be trained on climate change. The carbon credits have been discussed at length. We need to benefit from that. The West are benefitting from our own countries with the carbon credits, so why would we not do that? In exchange of barter trade, we should get many other benefits. They should improve our roads, the infrastructure and many other projects out of carbon credits. Mr. Deputy Speaker, Sir, I strongly feel that we should also discuss about the restoration and conservation of lands, wetlands ... view
  • 8 Aug 2023 in Senate: Mr. Speaker, Sir, I rise, pursuant to Standing Order No. 53(1), to seek a Statement from the Standing Committee on Labour and Social Welfare on alleged discriminatory employment of doctors and medical staff in some counties in Kenya. In the Statement, the Committee should- (1) Report on claims of unequal pay for work of equal value, particularly in Nakuru, Busia, Kirinyaga and Garissa counties under the Kenyatta National Hospital (KNH), stating the rationale, if any, behind the decision; (2) Address claims on the use of restrictive contracts in Kirinyaga County, which hinder career progression, stating measures put in place by ... view
  • 8 Aug 2023 in Senate: (3) Evaluate the Human Resource Management practices in county healthcare facilities, particularly in Kirinyaga County, to address the high rate of attrition and turnover among healthcare workers; and, (4) Recommend appropriate sanctions and measures against county governments found violating the labor laws and practicing discrimination in the employment of healthcare workers. I thank you. view
  • 2 Aug 2023 in Senate: Thank you, Mr. Speaker, Sir. I rise pursuant to Standing Order No. 53 (1) to seek a Statement from the Standing Committee on Health regarding the status of medical care at Mathari Mental Hospital. In the Statement, the Committee should- (1) Appraise the Senate of the current status of infrastructure at Mathari Mental Hospital, indicating the capacity of hospital in terms of the number of beds available and plans in place, if any, to expand the hospital's infrastructure to meet the growing demand for mental health care services. (2) Indicate the staffing levels of the hospital, stating the number of ... view
  • 2 Aug 2023 in Senate: Mr. Speaker Sir, I will repeat number five. view

Comments

(For newest comments first please choose 'Newest' from the 'Discussion' tab below.)
comments powered by Disqus