Mohamed Faki Mwinyihaji

Parties & Coalitions

All parliamentary appearances

Entries 1951 to 1960 of 2095.

  • 13 Mar 2019 in Senate: Asante, Bw. Spika, kwa kunipa fursa hii kuchangia taarifa ya Seneta wa Makueni, Sen. Mutula Kilonzo Jnr. Kwa niaba ya watu wa Kaunti ya Mombasa, nachukua fursa hii kwanza kutuma rambirambi zangu za dhati kwa wote waliofiwa akiwamo rubani wa ndege hiyo ambaye alikuwa ni kijana ambaye mamake anatoka katika Kaunti ya Mombasa. view
  • 13 Mar 2019 in Senate: Kwa hakika sisi watu wa Kaunti ya Mombasa, tumesikitishwa sana na ajali hiyo ambayo iliwachukua watu wengi katika nchi yetu ya Kenya ambao ni thelathini na wawili. Kenya ndiyo nchi ambayo ilipata hasara kubwa kuliko zingine zote. view
  • 13 Mar 2019 in Senate: Bw. Spika, ndege iliyoanguka ni ndege ambazo huja hapa Kenya kwa sababu tuliwahi kusafiria ndege kama hiyo kuelekea Turkey mwaka jana. Boeing 737 Max 8 ni ndege ambayo inaingia Kenya na kutoka. Kwa hivyo kama vile nchi zingine katika Afrika na ulimwenguni kwa jumla zimeweza kuzipiga marufuku kwa sasa ndege hizo kupaa katika anga yake, sisi pia kama Kenya, inafaa tuchukue hatua kama hiyo kwa sababu usalama ni jambo muhimu sana kwa wasafiri wa ndege na wale ambao wako chini kwa sababu hatuwezi kujua ndege hiyo inaweza kuangukia wapi. The electronic version of the Senate Hansard Report is for information ... view
  • 13 Mar 2019 in Senate: Namuunga mkono Sen. Wetangula kwa kusema kuwa sisi kama wakenya ambao tumepoteza watu thelathini na wawili, ilikuwa wakati mwafaka kuonyesha huzuni yetu kwa kuamrisha kwamba bendera zetu zipeperushwe nusu mlingoti au tutenge siku moja ya kuomboleza. view
  • 13 Mar 2019 in Senate: Asante sana, Bw. Spika. view
  • 13 Mar 2019 in Senate: Yes, Mr. Deputy Speaker, Sir. view
  • 12 Mar 2019 in Senate: Mr. Deputy Speaker, Sir, I rise pursuant to Standing Order No. 47(1) to make a Statement on a county issue regarding the County Assembly of Mombasa. The County Assembly of Mombasa is established under the Constitution of Kenya and the County Governments Act as a Legislative and oversight arm of the County Government of Mombasa. As part of its oversight function, the County Assembly invited three County Executive Committee (CEC) members for a meeting with their respective committees. However, the CEC Members did not honour their invitation, but instead issued threats to dissolve the County Assembly, claiming that they have ... view
  • 12 Mar 2019 in Senate: Mr. Deputy Speaker, Sir, I beg to be protected. view
  • 12 Mar 2019 in Senate: Loud noise in the Chamber. view
  • 12 Mar 2019 in Senate: Loud consultations, Mr. Deputy Speaker, Sir. view

Comments

(For newest comments first please choose 'Newest' from the 'Discussion' tab below.)
comments powered by Disqus