5 Jul 2018 in Senate:
Asante Bw. Spika kwa kunipa fursa hii kuchangia Taarifa ilioletwa na Sen. Mary Seneta. Kwanza, natuma rambirambi zangu kwa watu wa Nairobi, familia na wapendwa wa marehemu waliokufa kutokana na moto uliotokea wiki iliyopita. Huu sio mkasa wa kwanza wa moto katika eneo la Gikomba. Mikasa nyingi imepita lakini Serikali imelalia maskio na haki za Wakenya zinazidi kupotezwa kwa sababu ya moto. Ningependa pia kuchukuwa fursa hii kumueleza Sen. Mwaura kwamba kuna tofauti kati ya moto na umeme. Unapozungumzia moto anamaanisha ule unaochoma na kuunguza ilhali umeme unatumika kwa mambo mazuri. Kwa hivyo, moto na majanga kama haya yanayotokea hayapaswi ...
view
4 Jul 2018 in Senate:
Asante sana Bi. Spika wa Muda kwa kunipa fursa hii kuchangia Mswada wa Barabara, 2017. Mswada huu umekuja katika wakati mwafaka ambapo swala la barabara linazidi kuangaziwa katika Jamhuru yetu ya Kenya na pia kaunti zetu zote 47. Nitazungumza kuhusu Mombasa. Kwa muda mrefu sana Tumekuwa na barabara mbovu, hasa zile zinazounganisha Bandari ya Mombasa na nchi ya Kenya kwa ujumla. Mizigo nyingi inayotolewa Bandari ya Mombasa inasafirishwa kwa barabara ikielekea sehemu za bara ambapo inahitajika. Kwa muda mrefu sana barabara ya kuingia katika Bandari ya Mombasa ilikuwa mbovu na nyembamba sana kiasi ambacho magari miwili yenye mizingo hayangeweza kupishana. ...
view
3 Jul 2018 in Senate:
Mr. Speaker, Sir, I rise to second the Public Participation Bill (Senate Bills No.4 of 2018). As has been canvassed by the Mover of the Bill, public participation is the manifestation of various provisions of the Constitution that seek to ensure the right to participate in public affairs is respected and fulfilled. As a starting point, I would like to point out that the preamble to the Constitution provides that the people of Kenya enacted this Constitution while:- (1) Recognizing the aspirations of all Kenyans for a Government based on the essential values of human rights, equality, freedom, democracy, social ...
view
3 Jul 2018 in Senate:
Thank you, Mr. Speaker, Sir. Article 38 of the Constitution provides for the right to free and fair regular elections. Our Constitution has gone further to enshrine public participation during public participation fora that are normally conducted in the enforcement of the several laws of the country. Mr. Speaker, Sir, the requirement for continued engagement is crucial to enrich the discussion or the legislation that is being brought to the House, or whatever decisions that will be made by the public bodies. By involving the public in various stages of public participation, the decision making in Government is normally demystified. ...
view
19 Jun 2018 in Senate:
On a point of order Mr. Deputy Speaker, Sir.
view
19 Jun 2018 in Senate:
Jambo la nidhamu, Bw. Naibu Spika. Mwenzangu amesema kwamba, Seneta marehemu, Sen. Okello, “alimupumbuaza”. Sijui hiyo “kupumbuaza” ni lugha gani.
view
19 Jun 2018 in Senate:
On a point of information Deputy Speaker?
view
19 Jun 2018 in Senate:
Asante, Bw. Naibu wa Spika, jina mwafaka la Kiswahili ni maabara, si malabaratori.
view
19 Jun 2018 in Senate:
Asante Bw. Naibu Spika kwa kunipa fursa hii kuomboleza na familia, ndugu, marafiki, wakaazi na wapiga kura wa Migori, Spika wa Seneti pamoja na Maseneta wote wa Jamhuri ya Kenya kutokana n akifo cha mwenzetu, Mheshimiwa, Sen. Ben Oluoch Okello. Sen. Ben Oluoch alikuwa ni Seneta wa mara ya kwanza kama mimi na wengine ambao tuko hapa na kwa hivyo, kifo chake ni pigo kwetu pamoja na Seneti nzima ya Jamhuri ya Kenya. Bw. Naibu Spika, nilimjua Sen. Ben Okello wakati tulipoingia mara ya kwanza katika Bunge la Seneti mnamo mwezi wa sita, mwaka wa elfu mbili na kumi na ...
view