6 May 2025 in Senate:
The electronic version of the Senate Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Director, Hansard and AudioServices, Senate.
view
6 May 2025 in Senate:
Asante, Mheshimiwa Naibu Spika, kwa kunipa fursa hii nichangie Taarifa ya Kamati ya Fedha na Bajeti kuhusiana na uteuzi wa wanachama wa Bodi ya Banki Kuu ya Kenya.
view
6 May 2025 in Senate:
Kwanza, ninapongeza Kamati hii pamoja na ile ya Bunge la Kitaifa kwa kumaliza zoezi hili la kuwapiga msasa wale wateule wanne wa nyadhifa hizo. Mhe. Spika, inasikitisha kwamba ijapo kuwa uteuzi wa wakurugenzi wa bodi ni muhimu sana, jukumu la Bunge ni ndogo sana. Jukumu la Bunge ni kupitisha yale majina yaliyofanyiwa uchunguzi na taasisi zingine. Hata kama Bunge lingependekeza kwamba kuna mtu aliyeteuliwa ambaye hafai katika nyadhifa fulani, halikuwa na uwezo wa kufanya hivyo. Kuna haja ya kurekebisha sheria ili pia sisi tuwe na uwezo wa kukataa wale wanaoteuliwa. Kuna wengine hawafai kuwa katika wadhifa huo, lakini kwa sababu ...
view
6 May 2025 in Senate:
Pili, wakurugenzi wa Benki Kuu ya Kenya wana jukumu muhimu la kuangalia ni vipi mfumo wa fedha utakavyoendeshwa katika nchi yetu. Kwa hivyo, hii si bodi ambayo itachukuwa mtu yoyote katika Jiji la Nairobi au kaunti zetu, bali mtu mwenye tajriba na anayeweza kutoa muongozo katika masuala yatakayozungumzwa katika Benki Kuu ya Taifa.
view
6 May 2025 in Senate:
Katika uteuzi ule, yule kijana wa mwisho alinifurahisha na maelezo yake ya mambo aliyoweza kuyafanya kwa ule muda ameweza kuhudumu katika nyadhifa tofauti katika nchi za kigeni pia. Amependekeza mambo muhimu kuhusu masuala ya fedha. Sasa hivi, kuna suala ibuka la crypto currency. Masuala kama haya ni muhimu na inafaa wakurugenzi wa Benki Kuu ya Kenya wawe na ufahamu na uwezo wa kuyafafanua na kutoa mwongozo kwa taifa kuyahusu. Kuweka mtu yoyote anayetafuta kazi kama tunavyoona kwa tume nyingine inapelekekea kulemaa kwa tume nyingi. Kwa mfano, Kenya National Human Rights Commission na National Gender Equality Commission zimelemaa kwa sababu ya ...
view
6 May 2025 in Senate:
Mr Deputy Speaker, Sir, I rise pursuant to Standing Order No.53(1) of the Senate Standing Orders to seek a Statement from the Standing Committee on Roads, Transportation and Housing on the countywide matter regarding the deteriorating situation at the Likoni Ferry crossing in Mombasa County. The Likoni Ferry Channel is a critical crossing point for both vehicular and pedestrian traffic connecting Mombasa Island to the mainland south, serving residents of Mombasa and Kwale counties and providing access to neighboring Tanzania through the Lunga Lunga border. It is of strategic importance to trade, tourism and daily commuting, which cannot be overstated. ...
view
6 May 2025 in Senate:
On the 29th of April, 2025 we commemorated 31 years since the Mtongwe ferry tragedy in 1994. Private security guards tasked with managing the crossing have increasingly been overwhelmed by the crowds, raising grave concerns about disaster preparedness in the event of an emergency. Mr. Deputy Speaker Sir, the situation is further compounded by the continued use of aging ferries, many of which have no book value and whose insurance and mechanical fitness status are questionable. Although the Kenya Ports Authority (KPA) had proposed to procure new ferries, this initiative has yet to materialize. Additionally, the dismantling of the temporary ...
view
6 May 2025 in Senate:
The electronic version of the Senate Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Director, Hansard and AudioServices, Senate.
view
10 Apr 2025 in Senate:
Mr. Deputy Speaker, Sir, I rise under Standing Order No.53(1) to seek a Statement from the Standing Committee on Roads, Transportation and Housing on a matter of countywide concern regarding the capacity of the County Government of Mombasa to issue building permits and supervise construction sites. On the 3rd April, 2025, a 10-storey building in Mombasa was reported to be collapsing. As a result, emergency services were mobilized to address the anticipated disaster. Alarmingly, the concerned developer had submitted and was granted approval for plans for a six-storey building, but disregarded the approved plans. This illegal action by the developers ...
view
10 Apr 2025 in Senate:
Mr. Deputy Speaker, Sir, yesterday, we witnessed the demolition of the 10-storey building in Mombasa County, which was undertaken by the Kenya Defense Forces (KDF) with the assistance of the emergency services, National Welfare Service, the County Government of Mombasa and the police. Although the demolition was conducted safely, we lost one person on Sunday when the building partially collapsed as a result of its weak structure. I thank you, Mr. Deputy Speaker, Sir.
view