9 Apr 2025 in Senate:
Mr. Deputy Speaker, Sir, I have a point of clarification if you allow me. May I proceed? Last week, there was a request for a statement that was made in this House regarding the Technical University of Kenya (TUK). Members contributed to that statement and my brother, the Senator for Tana River, Sen. Mungatana, made a contribution. In his contribution, he referred to the Technical University of Mombasa. Mr. Deputy Speaker, Sir, the Technical University of Kenya and the Technical University of Mombasa (TUM) are two different institutions run by two different managements. In fact, the Technical University of Mombasa ...
view
9 Apr 2025 in Senate:
My brother, Sen. Mungatana, should clarify that the reference was in regard to the Technical University of Kenya, which is located in Nairobi. The Technical The electronic version of the Senate Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Director, Hansard and AudioServices, Senate.
view
9 Apr 2025 in Senate:
University of Mombasa is functioning well. They have no pending bills and students are going on with their studies without any problem. Thank you, Mr. Deputy Speaker, Sir.
view
9 Apr 2025 in Senate:
On a point of order, Mr. Temporary Speaker, Sir. I think it is a misnomer for some of these so-called international airports to be referred to as such. If an airport does not allow flights to land at night, how can it be an international airport? Those are airports that close at 5.00 p.m. That should not be an international airport.
view
9 Apr 2025 in Senate:
Eldoret International Airport. Recently we voted for Eldoret to be a city. How can a city not have an airport that works 24 hours?
view
3 Apr 2025 in Senate:
Asante, Mhe. Spika, kwa kunipa fursa hii kuchangia kauli iliyoletwa na Sen. Mwaruma. Kazi inayofanywa na machifu na wazee wa mitaa ni muhimu sana katika nchi yetu. Kwa hakika, wanafanya kazi ngumu. Kwa mfano, katika Kaunti ya Mombasa, kuna mzee wa mtaa alipigwa risasi na kuuliwa na majambazi ambao walikuwa wanahusiana na ugaidi, yaani Al Shaabab . Familia iliondoka patupu. Mambo ambayo yanapelekwa kwa polisi na kufika mahakamani yanachukua muda mrefu kutatuliwa kuliko yale ambayo yanazungumziwa kwa chifu na kupitia kwa wazee ambao wanakaa kwa chifu, hususan maswala ya kijamii kama vile ugomvi katika ya bibi na bwana nyumbani. Kwa ...
view
2 Apr 2025 in Senate:
Asante, Bw. Spika. Langu ni kumpa pongezi the Prime Cabinet Secretary na Serikali kwa kuwezesha kuachiliwa uhuru kwa Steve kule Saudi Arabia. Wiki iliyopita kulikuwa na habari ya kwamba Steve alikuwa amehukumiwa kifo na Serikali ya Saudi Arabia. Alipata fadhili kupitia kwa shirika la kiislamu. Wakamlipia ridhaa ya shilingi milioni 124. Ningependa kuipongeza Serikali kwa kushukghulia mambo yake na vile vile kusimama na familia yake. Hakika atakaporudi nchini Kenya, itakuwa ni fursa nzuri kupewa makaribisho kwa sababu alikuwa amedhulumiwa katika kesi yake. Vile vile, alikuwa amehukumiwa kifo kwa makosa yasiyokuwa yake. Hakuua kwa kusudia ilikuwa kwa kujitetea. Mtu alikuwa amempiga ...
view
2 Apr 2025 in Senate:
Swali langu ni kuwa, kuna wengi kama Steve ambao wako Saudi Arabia, ambao wameshindwa kurudi nyumbani. Wengine wana watoto na kwa vile Saudi Arabia hairuhisi zinaa, wale watoto wamepatikana hawana uraia kwa sababu wako kule na Wakenya hawawajui. Pia hapa hawajapata vyeti vya kuzaliwa ama vyeti vya kusafiri. Ni jambo gani Bw. Waziri anafanya kuhakikisha wale watoto ambao wana watoto na familia kule, wanaweza kupewa vyeti vya kusafiri na kuwawezesha kurudi nchini salama. Asante, Bw. Spika.
view
1 Apr 2025 in Senate:
Asante, Bi. Spika wa Muda, kwa kunipa fursa hii kuchangia Maombi ya Kauli kutoka kwa Sen. Omogeni. Mhe. Spika wa Muda, ni masikitiko kuwa Kaunti ya Nyamira inaongoza kwa safari ya kuregesha ugatuzi nyuma. Haiwezekani kuwepo kwa mabunge mawili ya Kaunti ya Nyamira.
view