Mohamed Faki Mwinyihaji

Parties & Coalitions

All parliamentary appearances

Entries 41 to 50 of 2095.

  • 5 Mar 2025 in Senate: Ahsante Mheshimiwa Spika. Mwaka jana nilipokuwa katika kamati ya fedha ya bunge hii, waziri wa zamani wa fedha na hazina alikuja mbele ya Committee wakati tulipokuwa tunajadili Budget Policy Statement. Ali commit kwamba hizo pesa ambazo madiwani wa zamani wanatakikana kulipwa yatawekwa katika budget ya mwaka wa 2024/2025. Ni sawa mawaziri waje katika bunge hii na kamati zake kutoa majibu ambayo hayalingani? Prof. Njuguna Ndung’u alikuwa waziri wa fedha na hazina kuu katika serikali ya Kenya Kwanza. Leo tuko na waziri Mbadi. Je ni sawa mawaziri kukuja na majibu tofauti katika bunge hili? view
  • 4 Mar 2025 in Senate: Asante, Bw. Naibu Spika, kwa kunipa fursa hii kuchangia taarifa iliyoletwa Bungeni na Sen. Mumma. Madawa ya kulevya ni janga ambalo limekumba nchi yetu kwa muda mrefu, hasa kaunti za pwani. Ukienda Mombasa, utapata madawa yameathiri vijana wengi. Hao huanza na madawa madogo kama muguka na zinginezo. Kwa hivyo, ipo haja ya kupambana na janga hili kikamilifu. Naibu Rais wa zamani alikuja Mombasa akalaunch vita dhidi ya madawa ilhali ilikuwa ni kama upepo wa kupita. Hii ni kwa sababu hatujaona jambo lolote kubwa ambalo limefanyika ili kupambana na madawa hayo baada ya uzinduzi huo. Serikali imeanzisha vituo vya kutibu wagonjwa ... view
  • 27 Feb 2025 in Senate: Mr. Speaker, Sir, I am standing in for Sen. (Prof) Tom Ojienda. He has two Statements. STATE OF THE JUDICIARY view
  • 27 Feb 2025 in Senate: Mr. Speaker, Sir, I rise pursuant to Standing Order No.53 (1), to seek a Statement from the Standing Committee on Justice, Legal Affairs and Human Rights (JLACHR), regarding the state of the Judiciary in light of the ongoing conflict between the Judiciary and legal professionals. Mr. Speaker, Sir, recent developments have cast a spotlight on the strained relationship between the Judiciary and legal professionals, with concerns being raised regarding the state of the Judiciary and the efficiency of the Judicial Service Commission (JSC) in promoting and facilitating judicial independence and accountability and in exercising disciplinary control over judicial officers. In ... view
  • 27 Feb 2025 in Senate: Mr. Speaker, Sir, I stand pursuant to Standing Order No.53 (1), to seek a Statement from the Standing Committee on Information, Communication and Technology, regarding the unauthorised access by third parties to personal and company information in the Business Registration Service (BRS) platform, on e-Citizen on or around 31st January, 2025. In the Statement, the Committee should- (1) Indicate when the Government first became aware of the unauthorised access by third parties to personal and company information contained on the BRS e-Citizen The electronic version of the Senate Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report ... view
  • 27 Feb 2025 in Senate: platform on or around 31st January, 2025 in contravention of Section 25 of the Data Protection Act 2019, outlining any immediate containment measures implemented to address the data breach. (2) Provide a status update on investigations into the matter disclosing- (a) the nature and extent of data breach, including the number of affected individuals and companies; (b) vulnerabilities of the information management system that were identified to have been exploited, contrary to Section 26 of the Act; and (c) individuals or entities responsible for the data breach, including the legal or administrative actions taken against them; (3) Outline measures put ... view
  • 27 Feb 2025 in Senate: Asante Bw. Spika kwa kunipa fursa hii. Ningependa kuchangia Taarifa kuhusiana na mambo ya mahakama ambayo imeletwa na Sen. (Prof.) Ojienda. Kumeingia mtafaruko katika Tume ya Mahakama kutokana na kesi ambazo zimepelekwa mahakamani na Majaji wa Mahakama ya Upeo (Supreme Court) ambayo inahusiana na masuala ya hatua za nidhamu ambazo zilikuwa zichukuliwe na Tume Uajiri wa Majaji. Ni masikitiko kuwa Jaji Mkuu pia ameenda mahakamani kuzuia Tume ambayo anaiongoza kuchukua hatua za kinidhamu kuhusiana na madai ambayo yameletwa kwa Tume hiyo na baadhi ya mawakili wakuu katika nchi hii yetu ya Kenya. Sio jambo la sawa kwamba kiongozi wa Tume ... view
  • 26 Feb 2025 in Senate: Asante Bw. Naibu Spika, kwa kunipa fursa ya kuchangia taarifa iliyohusiana na kucheleweshwa kwa mishahara na Shirika la KALRO iliyoletwa Bungeni na Sen. Eddy Oketch, Seneta wa Migori. view
  • 26 Feb 2025 in Senate: Ni aibu kwamba Shirika la Serikali kama KALRO linashindwa kulipa mishahara yake kwa wafanyakazi kwa wakati ufaao kwa mujibu wa sheria. Katika maombi ya taarifa hiyo, mishahara imecheleweshwa tangu mwaka jana Januari. Sio Shirika hili pekee linalochelewesha mishahara; kuna Shirika la Postal Corporation of Kenya ambalo limekuwa likichelewesha mishahara. Ninapozungumza hivi, mishahara ya mwisho waliyolipa kwa wafanyikazi wake ulikuwa ni wa mwezi na nane mwaka wa 2024. view
  • 26 Feb 2025 in Senate: Ni aibu Mashirika kama haya kuendelea kuaibisha Serikali wakati wale waliyo katika mamlaka haya wanashindwa kulipa mishahara ya wafanyikazi waliyojitolea kufanya kazi kuanzia tarehe moja hadi tarehe 30. view

Comments

(For newest comments first please choose 'Newest' from the 'Discussion' tab below.)
comments powered by Disqus