26 Feb 2025 in Senate:
Ninaomba katika uchunguzi wa suala hili la KALRO, Shirika la Posta pia lijumuishwe. Wanafaa waje kujieleza hapa ni kwa nini wanachelewesha mishahara ya wafanyikazi wao kwa muda wa miezi minne ama mitano. Vile vile malipo ya uzeeni, na ada zingine zinazotozwa wafanyikazi hazipelekwi kwa wakati.
view
26 Feb 2025 in Senate:
Pia ningependa kugusia tu masuala ya afya yaliyokuja kupitia Taarifa iliyoombwa na Seneta wa Kitui. Afya ni muhimu. Wiki jana mimi pia nilileta suala la afya kutoka Kaunti ya Mombasa. Natumai ya kwamba Kamati husika inayoongozwa na Sen. Mandago italivalia njuga swala hili. Afya ndiyo maisha ya watu wetu. Ikiwa huduma za afya zimedorora na wananchi hawawezi kupata katika kaunti zetu, hiyo itakuwa ni kurudi nyuma na sio sawa kwa maendeleo ya nchi yetu. Kuna wengine wanasema hizi huduma za afya, kwa sababu zimelemea kaunti zetu, afadhali zirejeshwe kwa Serikali la Kitaifa. Hilo litakuwa ni kinyume na ugatuzi. The electronic ...
view
25 Feb 2025 in Senate:
Asante, Bw. Spika, kwa kunipa fursa hii kuchangia kauli mbili ambazo zimeletwa na Sen. Olekina pamoja na Sen. Kibwana. Nitaanza na kauli ya Sen. Olekina. Matatizo yaliyotokea kutokana na uagizaji kutoka nje wa ngano imetokona na kutojua kwa watu wetu kwenye Wizara ya Ukulima na kwenye Wizara ya mambo ya nje. Yale makubaliano yanayofanyika katika vikao vinavyofanyika mara kwa mara katika Jumuiya ya Afrika Mashariki. Yale yanayozungumzwa katika vikao vile hayafiki mashinani kwa wananchi. Kamati ya Usalama wa Taifa, Ulinzi na Uhusiano wa Kimataifa inafaa iingilie kati kutatua suala hili. Wakulima wa nchi jirani wanajua masoko yao yako vipi. Wakulima ...
view
25 Feb 2025 in Senate:
Mtu kutaka kujitoa uhai haipaswi kuwa hatia. Huyu ni mtu ambaye anaugua afya ya akili na inafaa apewe matibabu na usaidizi ili aepukane na janga hili. Ipo haja ya kufanya marekebisho kwa sheria---
view
25 Feb 2025 in Senate:
Mr. Speaker, Sir, I stand here, on behalf of Sen. Mungatana, the Senator for Tana River County, to move the following Motion- THAT AWARE THAT the late Leonard Mambo Mbotela, a renowned media personality passed away on 7th February, 2025, at the age of 84; COGNIZANT THAT he had an illustrious career in media spanning over five decades, and was one of the most influential voices in Kenyan radio, especially through his long running radio and television programme, “ Je, huu ni ungwana?”; FURTHER COGNIZANT THAT his command of the Kiswahili language kept Kenyans informed on many topics while his ...
view
25 Feb 2025 in Senate:
There are many people other communities that settled in Kenya before Independence. However, some of them have not gotten Identification (ID) cards up to now. For instance, the Pemba Community that was recognised recently. We also have the Makonde Community and many others who have been here for long, but have not been considered as Kenyans throughout their lives. Mr. Speaker, Sir, the passing on of Mbotela who mentored many radio and television presenters in this country, has been a great loss to our Republic. On behalf of the people of Mombasa, where he originated from, I convey my sincere ...
view
25 Feb 2025 in Senate:
Asante, Bw. Spika, kwa kunipa fursa hii. Kwanza, ningependa kushukuru na kuwapongeza Maseneta wote ambao wamechangia Hoja hii. Shukrani maalum ziwaendee Maseneta wafuatao: Sen. Cherarkey, Sen. Kinyua, Sen. Ogola, Sen. Thang’wa, Sen. Sifuna, Sen. Cheruiyot, Sen. Madzayo. Sen. Veronica Maina, Sen. Olekina, Sen. Nyamu, Sen. Kibwana, Sen. Oketch Gicheru, Sen. Korir na Sen. (Dr.) Oburu kwa michango yao. Ni wazi kwamba mchango wa mwendazake Leonard Mambo Mbotela ulikuwa mkubwa sana kwa taifa letu. Hivyo basi, haitakuwa sawa kutofanya jambo lolote litakaloweka jina lake katika nyoyo zetu milele. Kwa mfano, Sen. Boy wa Kwale amependekeza kuwa Shule ya Frere Town iliyoko ...
view
18 Feb 2025 in Senate:
. Mr. Deputy Speaker, Sir, I beg to give Notice of the following Motion- THAT AWARE THAT the late Leonard Mambo Mbotela, a renowned media personality passed away on 7th February, 2025 at the age of 84 years; COGNIZANT THAT he had an illustrious career in media spanning over 5 decades and was one of the most influential voices in Kenyan radio, especially through his long running radio and television programme, “Je Huu ni Ungwana?”; FURTHER COGNIZANT THAT his command of the Kiswahili Language --- Mr. Deputy Speaker, Sir, I am surprised that the Motion is in English.
view
18 Feb 2025 in Senate:
Mr. Deputy Speaker, Sir, when I move the Motion tomorrow, I will move it in Kiswahili. FURTHER COGNIZANT THAT his command of the Kiswahili Language kept Kenyans informed on many topics while his exceptional football commentaries on radio brought joy to many people and popularized the sport at a time when live football on television was rare; The electronic version of the Senate Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Director, Hansard and AudioServices, Senate.
view