12 Mar 2025 in Senate:
Mr. Temporary Speaker, Sir, mine is with regard to tea blending in Mombasa. Packaging papers, which contribute to about 75 per cent of the cost, are subjected to import duty of 35 per cent, 25 per cent excise duty and 16 per cent VAT, which makes the cost higher for our teas blended and packed in the country than in other jurisdictions. What is the Government doing in order to lower those taxes so that our teas are competitive? Secondly---
view
12 Mar 2025 in Senate:
Mr. Temporary Speaker, Sir, my county hosts the tea auction market, which is one of the biggest auctions in Eastern Africa and Africa as a whole and---
view
12 Mar 2025 in Senate:
Mr. Temporary Speaker, Sir, we are the biggest in the value chain.
view
12 Mar 2025 in Senate:
Mr. Speaker, Sir, my second question is---
view
12 Mar 2025 in Senate:
I did not insinuate that counties that do not grow tea are useless. As the person who contributes a lot on the value chain of tea, I be allowed to ask the second question because it is equally important. The Export Processing Zones (EPZ) Act Part VIII exempts---
view
12 Mar 2025 in Senate:
Sen. Onyonka, please, you can invite Senator for Busia County for tea. The EPZ Act in Part VIII exempts the EPZ factories from restrictions on import quotas, except for a trade in firearms or military equipment and other illegal activities. This enables the factory operator to import inside an EPZ to have flexibility in the importation of, for instance, tea that is not locally available, but which they will use to blend with the teas that are available in Kenya. Under the Tea Act, 2020, it places the EPZ factories which are doing tea blending and packing under the Tea ...
view
12 Mar 2025 in Senate:
On a point of order, Mr. Temporary Speaker, Sir.
view
12 Mar 2025 in Senate:
Kuna suala la malimbikizi ya majani chai katika mnada wa Mombasa kwa sababu ya bei ilioko juu ya majani chai hayo. Je, Waziri atafanya nini kuhusiana na suala hilo? Vile vile, Serikali ilitoa mwongozo kwamba, kunywa chai ofisini kumesitishwa kwa sababu za kukaza mshipi. Je, kuna mipango ya kuondoa agizo hilo ili chai iweze kununuliwa kwa wingi na watu waweze kunywa chai ofisini? Asante.
view
5 Mar 2025 in Senate:
Ahsante Mheshimiwa Spika. Mwaka jana nilipokuwa katika kamati ya fedha ya bunge hii, waziri wa zamani wa fedha na hazina alikuja mbele ya Committee wakati tulipokuwa tunajadili Budget Policy Statement. Ali commit kwamba hizo pesa ambazo madiwani wa zamani wanatakikana kulipwa yatawekwa katika budget ya mwaka wa 2024/2025. Ni sawa mawaziri waje katika bunge hii na kamati zake kutoa majibu ambayo hayalingani? Prof. Njuguna Ndung’u alikuwa waziri wa fedha na hazina kuu katika serikali ya Kenya Kwanza. Leo tuko na waziri Mbadi. Je ni sawa mawaziri kukuja na majibu tofauti katika bunge hili?
view
4 Mar 2025 in Senate:
Asante, Bw. Naibu Spika, kwa kunipa fursa hii kuchangia taarifa iliyoletwa Bungeni na Sen. Mumma. Madawa ya kulevya ni janga ambalo limekumba nchi yetu kwa muda mrefu, hasa kaunti za pwani. Ukienda Mombasa, utapata madawa yameathiri vijana wengi. Hao huanza na madawa madogo kama muguka na zinginezo. Kwa hivyo, ipo haja ya kupambana na janga hili kikamilifu. Naibu Rais wa zamani alikuja Mombasa akalaunch vita dhidi ya madawa ilhali ilikuwa ni kama upepo wa kupita. Hii ni kwa sababu hatujaona jambo lolote kubwa ambalo limefanyika ili kupambana na madawa hayo baada ya uzinduzi huo. Serikali imeanzisha vituo vya kutibu wagonjwa ...
view