Parties & Coalitions

All parliamentary appearances

Entries 131 to 140 of 1820.

  • 25 Feb 2025 in Senate: Mhe. Spika, kwanza ningependa kumkosoa Kiongozi wa Walio Wengi kwamba haijachukua siku zaidi ya kumi tangu tumzike Mhe. Leonard Mambo Mbotela. Tulimlaza pale Langata tarehe 15 mwezi huu. Najua Kiongozi wa Walio Wengi labda hiyo tarehe inakuchanganya kwa sababu ulikuwa katika maeneo ya Addis Ababa kwa shughuli ya uchaguzi wa Mwenyekiti wa African Union Commission (AUC). Mnavyojua, mimi ni mtu wa mkono wa Mhe. Raila Odinga. Kwa hivyo, nilisalia hapa na tukajiunga pamoja na mwakilishi wa kina mama wa Kaunti ya Jiji Kuu la Nairobi, Mhe. Esther Passaris, pamoja na familia ya Mwenda zake Leonard Mambo Mbotela katika maombi pale ... view
  • 25 Feb 2025 in Senate: Kuna sharia inayojulikana kama Kenya Heroes Act. Sheria hii inasema kwamba tuwatunze na kutoa njia ya kuwatunza hawa mashujaa wetu. Nilishtuka sana kuona Spika mwenzako katika Bunge la Kitaifa akisema ameshangazwa na kusikia kwamba Leonard mambo amezikwa katika makaburi ya Langata. Bw. Spika, sheria hiyo inataka Bunge, yaani sisi, tutoe fedha ili kuwasaidia hawa mashujaa wetu. Hamna mtu mwingine mwenye kupewa hilo jukumu. Kwa hivyo, Spika wa Bunge la Kitaifa pamoja na wale ambao wanaratibu jinsi pesa zetu zinatumiwa, waweke fedha katika hii Heroes Act ama Heroes Support Fund ili waweze kupata hiyo view
  • 25 Feb 2025 in Senate: ambayo watu wanasema wanahitaji kupata. Kwa ajili ya kuenzi huyu shujaa wetu, ni lazima tuangalie hii sheria--- view
  • 25 Feb 2025 in Senate: Mr. Temporary Speaker, Sir, perhaps the Senate Majority Leader - who unfortunately I did not have the opportunity to speak to prior to the introduction of his Motion - because we are a House of record – could address legal and constitutional principles behind the decision that the House wants to take. I have looked at the section of the Powers and Privileges Act that you have invoked. Section 17(3)(d) and (g) of the Powers and Privileges Act and the Standing Orders of the Senate. There is no reference at all to rescinding decisions that have been passed by this ... view
  • 20 Feb 2025 in Senate: Sorry, we apologise for that hitch in the system. Mr. Deputy Speaker, Sir, I take this opportunity to welcome my colleagues in law of the Colloquium of Legal Counsel in parliaments across the continent. I have heard of a brother from Uganda; our neighbour, Libya, Sierra Leone and Ghana and as you know, I am the Senate's permanent representative to the Parliament of Eswatini. So, I want to take this opportunity--- view
  • 20 Feb 2025 in Senate: I say that because you, Mr. Deputy Speaker, took me along for the meeting of various parliaments and their leaderships in Eswatini. That is where I was given that view
  • 20 Feb 2025 in Senate: The electronic version of the Senate Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Director, Hansard and AudioServices, Senate. view
  • 20 Feb 2025 in Senate: honorary title. I challenge anybody challenging me in that position to rise up and stake their claim. Welcome to Kenya. I am sure you followed the debates about what has happened in the African Union (AU). We thank your countries for the support that you accorded Kenya in that election. We hope that we can make our relationships as African brothers and sisters even closer. I am the Senator for Nairobi City County, the city that we are in now. Feel free to also enjoy and sample the hospitality of Nairobi, which I can assure you, is quite as nice ... view
  • 20 Feb 2025 in Senate: On a point of order, Mr. Deputy Speaker, Sir. view
  • 20 Feb 2025 in Senate: Mr. Deputy Speaker, Sir, with great respect, I think that we can guide each other here. On previous occasions where somebody has doubted the record that has been read out by the Speaker, our Standing Orders require that the entire HANSARD be produced. view

Comments

(For newest comments first please choose 'Newest' from the 'Discussion' tab below.)
comments powered by Disqus