Stewart Mwachiru Shadrack Madzayo

Parties & Coalitions

All parliamentary appearances

Entries 1841 to 1850 of 2263.

  • 1 Mar 2017 in Senate: Bw. Naibu Spika, Sen. (Dr.) Khalwale yuko mbio sana. Maswali aliyouliza Daktari Bonny Khalwale anayepigana na ng’ombe ni mengi. Yote ni tisa. Yanahitaji ukakamavu zaidi kuyajibu. Ningependa kwa wajibu wa kauli yako nipewe muda wa wiki mbili ili niweze kuyafafanua na kuyajibu sawa sawa vile inavyotakikana na daktari wa kupigana na ng’ombe. view
  • 1 Mar 2017 in Senate: Bw. Naibu Spika, siwezi kufahamu. Nafikiri naibu wangu alikuwa katika Seneti wakati huo. Kwa uwezo wa Kanuni za Bunge, unaweza kumpa nafasi ili aendelee kujibu lakini ikiwa jibu halijapatikana, basi tunaomba ule muda nilikuwa nimesema tunahitaji ili tuweze kulijibu. view
  • 1 Mar 2017 in Senate: Asante, Bw. Naibu Spika. Mheshimiwa, Seneta, Daktari Boni Khalwale. view
  • 28 Feb 2017 in Senate: Asante Bw. Spika wa Muda kwa kunipa nafasi hii. Kwanza natoa rambi rambi kwa familia na jamii ya marehemu Nderitu Gachagua. Vile vile pia kwa watu wa Nyeri na hata Seneta ndugu yetu, Mutahi Kagwe. Bw. Spika wa Muda, kama binadamu, njia ni hiyo moja. Siku ya mtu ikifika, tutakuwa tayari kusalimu amri. Mara nyingi WaKenya wamepoteza maisha yao kupitia ugonjwa wa Seratani. Jambo la kusikitisha ni kwamba Serikali ya Jubilee haijatilia manani na kutenga pesa zinazotosha kupambana na ugonjwa huu. Imekukwa ikizembea na kubidi Wakenya kutumia pesa nyingi kwa matibabu hapa Kenya. Matibabu ya view
  • 28 Feb 2017 in Senate: inafanywa kwa bei ya juu sana. Inabdii watu watafute nafasi za kwenda nje kwa matibabu ya bei nafuu. Kuna umuhimu wa Serikali ya Jubilee kufanya bidii na kutenga pesa za kutosha kuona ya kwamba Wakenya hawana haja ya kutibiwa katika hospitali za bei ghali huko ng’ambo, bali humu nchini. Hospitali zilizoko India, South Africa na kwingineko zinaweza kutengenezwa hapa. Ikifanyika hivyo, madaktari wetu wataweza kutibu Wakenya. Bunge hili lilimpatia nafasi marehemu Gachagua kujitetea hapa. Alifanya vilivyo na hatimaye akapatikana bila hatia. Hatutaki kusema tuko watakatifu ama tuna msifu kwa sababu amefariki. Ndungu yake jana alisema ya kwamba hawataki watu watakao ... view
  • 28 Feb 2017 in Senate: On a point of order, Mr. Temporary Speaker, Sir. You have made your ruling on this matter. You have basically become functus officio on this issue because you have made a ruling. Can Sen. (Prof.) Lonyangapuo proceed on the lines you have ruled? view
  • 28 Feb 2017 in Senate: Hoja ya nidhamu! Bw. Spika wa Muda, hapo awali ulikuwa umetoa uamuzi. Sheria inahitaji kwamba ukishatoa uamuzi, Seneta anayeongea anafaa kupewa nafasi ya kuongea na hivyo ndivyo ulivyokuwa umeamua. Sasa kuna mchezo wa paka na panya. Hawa watu wawili hawataki tuendelee. Kwa nini Sen. (Prof.) Lonyangapuo anaingilia? Anafaa kugonja Sen. Murkomen amalize halafu atapata wakati wake ili ajibu. view
  • 28 Feb 2017 in Senate: Mr. Temporary Speaker, Sir, first, I would like to convey my heartfelt condolences to the residents of Baringo County who have lost their dear ones. This Motion is very important. Any life that is lost is very important to this country. Article 26(3) of our Constitution on Right to Life says:- “A person shall not be deprived of life intentionally, except to the extent authorised by this Constitution or other written law.” It is unfortunate that some people are issuing shoot to kill orders. This Constitution does not give anybody that power. We know the gravity of the matter. We ... view
  • 28 Feb 2017 in Senate: Mr. Temporary Speaker, Sir, any life is very important to this country. Therefore, nobody should lose life intentionally. Recently the residence of the Governor of Kilifi County was broken into and thugs entered one of the rooms. Fortunately, the Governor was not hurt. If he had been attacked, there could be a lot of bloodshed in Kilifi that would have lead to a similar ethnic strife situation as in Baringo County. We want to know what is happening in Baringo County. There are tensions in Eleyo-Marakwet, Turkana and Pokot counties. We want our army to move in and restore order. ... view
  • 28 Feb 2017 in Senate: Mr. Temporary Speaker, Sir, all I am saying is that we have our boys there. These soldiers would be very useful to us. I am saying this with all sincerity. It would be very useful to us if these boys would be brought back home and be taken to that area to protect our communities and make them live in peace instead of dying in a foreign land. view

Comments

(For newest comments first please choose 'Newest' from the 'Discussion' tab below.)
comments powered by Disqus