3 Jul 2013 in Senate:
On a point of information, Madam Temporary Speaker. His Excellency the President referred to children joining class one and not those that are one year old.
view
24 Apr 2013 in Senate:
Asante, Bw. Spika, kwa kunipa nafasi hii. Kwanza, ningependa kuwashukuru watu wa Kilifi Kaunti kwa kunichagua kama Seneta wao wa kwanza. La pili, pia vile vile ningependa kukupongeza kwa kuchaguliwa kama Spika wa Seneti. Pia, ningependa kuwapongeza Maseneta wenzangu kwa kuchaguliwa kuwa Maseneta. Katika Hotuba ya Rais, alizungumzia kuhusu kutofautiana kwa maoni na kuheshimiana. Ningependa kuongea juu ya mambo ya utalii. Ile Kaunti ambayo ninawakilisha hapa Seneti ina hoteli nyingi kuanzia Mtwapa mpaka Tana River. Hoteli hizo hutembelewa na watalii wanaotoka katika sehemu nyingi sana za nchi za ng’ambo. Watalii wanaokuja katika nchi yetu, baadhi ya wale wanaotembelea mbuga za ...
view