Stewart Mwachiru Shadrack Madzayo

Parties & Coalitions

All parliamentary appearances

Entries 21 to 30 of 2263.

  • 19 Mar 2025 in Senate: kwao. Hatimaye wale watu wetu wakaweza kuchukuliwa na kuwekwa katika maeneo ambayo yako juu kidogo na mto huko chini. Miaka mitano hivi ama sita, nakumbuka kwetu katika Kaunti ya Kilifi pia tulikuwa na janga hili la mafuriko. Wakati mwingi tukipatikana na janga kama hili, inakuwa shida. Watoto na kina mama na wazee ndio wanapata taabu. Hii ni kwa sababu maeneo wanapoishi na kuita nyumbani yanasombwa na maji. Mifugo na hata kuku wanachukuliwa na maji na wanaenda, halafu hasara inakuwa kubwa sana. Bw. Spika, ingekuwa vyema ikiwa Serikali inaweza kujiandaa na kujitayarisha vizuri wakati huu ambao mafuriko yanatarajiwa kuja. Ukienda upande ... view
  • 19 Mar 2025 in Senate: Asante, Mtahiki Spika. Ningependa kuuliza Mhe. Waziri swali moja. Kuna sehemu kubwa sana ya shamba ambalo wanajeshi wa Mariakani Army Barracks wamelichukua na wanaishi humo. Familia husika zilitupwa nje. Wamejaribu sana kupata ardhi yao lakini mpaka sasa hawajawahi kuipata. Je, Wizara yako imechukua hatua gani kuona ya kwamba shamba hili ambalo familia nyingi zilidhulumiwa zimerejeshewa? Wananchi hawawezi kufanya chochote kwa sababu ni wanajeshi wanakaa katika ardhi hiyo. Nina uhakika ya kwamba unajua kuwa kikosi cha jeshi kilipoenda pale, kulikuwa wananchi wakiishi pale. Ni hatua gani umechukua kuona kwamba shamba hilo limerudi kwa wakaazi wale au wenye shamba hilo? view
  • 5 Mar 2025 in Senate: Bw. Spika, kwa heshima na taadhima umemnyamazisha ndugu yangu Sen. Onyonka kwa sababu alikuwa anaeleza kabla hajauliza swali lake. Lakini naona mkondo huo unafwatwa na ndugu yangu Sen. Mungatana na humsimamishi kama ulivyomsimamisha Sen. Onyonka. view
  • 5 Mar 2025 in Senate: Ningetaka kujua ni kwa sababu gani pengine umechukua uamuzi kama huo. view
  • 5 Mar 2025 in Senate: Sen. Mungatana, MGH. view
  • 5 Mar 2025 in Senate: Asante Mstahiki Spika. Swali langu kwa Waziri ni hili. Mwanzoni wa mwaka huu, kuna mama anayeitwa Maureen Yaa Nyadzua. Aliondoka Kenya kama nurse kwenda kufanya huko Saudi Arabia. Hatimaye ikatokea kwamba ilikuwa lazima afanye hiyo kazi yake ya nurse ndani ya nyumba. Hivi The electronic version of the Senate Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Director, Hansard and AudioServices, Senate. view
  • 5 Mar 2025 in Senate: sasa huyo mama ni mgonjwa sana. Ana presha na magonjwa tofauti tofauti yanayolazimu aidha apelekwe hospitali na akipona aweze kurudi nyumbani. Mama huyo anatoka Baraka Chembe huko eneo la Kaunti ya Kilifi. Kuna agency inaitwa Lahaza Agency iliyompeleka huko. Sasa akiwa na haja ya kuwafikia wale agents wake hawezi. Ni mgonjwa sana na kuna hatari anaweza kufariki. Bw. Waziri, je, unaelewa kwamba huyu mama yuko hali mahututi na hivi sasa anatakikana kurudi nyumbani? Hilo ndilo swali la kwanza. Swali la pili, je, hii Lalazar ama Hahazar Agency inaruhusiwa na Wizara yako kupeleka Wakenya kule Saudi Arabia kufanya kazi? Niko na ... view
  • 5 Mar 2025 in Senate: Thank you, Mr. Speaker, Sir. My name is Stewart Madzayo. view
  • 5 Mar 2025 in Senate: The lady I have spoken about is called Maureen Nyadzua Yaa. view
  • 26 Feb 2025 in Senate: Thank you, Mr. Temporary Speaker, Sir. I would like to find out from the Cabinet Secretary, is it true that on 20th February, 2025 the Rural and Urban Private Hospitals Association of Kenya (RUPHA) The electronic version of the Senate Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Director, Hansard and AudioServices, Senate. view

Comments

(For newest comments first please choose 'Newest' from the 'Discussion' tab below.)
comments powered by Disqus