20 Mar 2018 in National Assembly:
With those few remarks, I support this Bill. I believe it is properly done and will improve the City and open it up to new horizons.
view
14 Mar 2018 in National Assembly:
Ahsante sana, Mhe. Naibu Spika wa Muda, kwa kunipa nafasi hii ili nami pia nichangie Hoja hii ya Mhe. Mohamed Ali ambaye kwa umaarufu anaitwa “Jicho Pevu.” Hii ni Hoja ya maana sana. Katika nchi hii yetu, miaka 54 tangu tujinyakulie uhuru, suala la afya bado linatuchanganya. Tunatumia pesa nyingi sana kupeleka wagonjwa katika nchi za nje kutafuta matibabu. Hizi pesa zinaweza kutumika katika nchi hii kujenga hospitali ambazo zinaweza kuwa na vifaa maalum.Tuko na madaktari ambao wamehitimu katika nchi yetu wanaoweza kufanya kazi katika hizi hospitali. Ukienda Hospitali Kuu ya Kenyatta, utapata kwamba haina vifaa vya kisasa. Hii ni ...
view
14 Mar 2018 in National Assembly:
matatizo mengi. Kuna umaskini na tunatakikana tuangalie kwamba watu wanapata matibabu badala ya kuambiwa waende watafute matibabu pahali pengine. Tukijadili hii Hoja, tunatakikana tuifanye sheria katika nchi yetu ili tuanze kufikiria ni namna ipi tutainua viwango vya mahospitali ili tuwe na hopitali ya Level 5 katika kila kaunti; iwe na vifaa vya kisasa, dawa na ile huduma ya madaktari kutumwa huko. Kila wakati tuna migomo ya madaktari. Madaktari wa Hospitali ya Kenyatta wamefanya upasuaji hivi juzi na kutibu mtoto ambaye mkono wake ulikuwa umekatika lakini hakuna mtu anawatambua . Wakifanya kosa kidogo, utaona kila mtu anawaelekezea kidole cha lawama. Madaktari ...
view
14 Mar 2018 in National Assembly:
Nashukuru sana Muwasilishi wa Hoja hii, Mhe. Mohamed. Naomba Wabunge wenzetu wachangie na kuunga mkono. Mhe. Naibu Spika wa Muda, naomba kusema asante kwa Hoja hii na kunipa nafasi kuchangia; asanteni sana.
view
13 Mar 2018 in National Assembly:
Thank you, Hon. Temporary Deputy Speaker. I also want to add my voice to this debate. While I agree with the sentiments of the Chairman of the Departmental Committee on Education and Research, we sometimes also need extreme measures to address some of these issues. I think sometimes the Government does not take security matters seriously because we have seen teachers being flushed out from those areas. We have seen religious profiling whereby people who do not belong to a particular religious segment are flushed out and sometimes even executed. These are issues we need to address – issues of ...
view
13 Mar 2018 in National Assembly:
The TSC has a very funny system of employing teachers. We find that they are looking at teachers who were trained six or seven years back; those are the people they recruit yet there are teachers coming out of colleges almost every year. We need to look at how we can improve the ratio of pupil to teacher in our schools. We must also address the issue of security to enable children go to school and enable teachers who are recruited to teach in other parts of the country be safe. You will find out that even Form Four leavers, ...
view
1 Mar 2018 in National Assembly:
Thank you, Hon. Temporary Deputy Speaker. I also want to add my voice to this debate. While I agree with the sentiments of the Chairman of the Departmental Committee on Education and Research, we sometimes also need extreme measures to address some of these issues. I think sometimes the Government does not take security matters seriously because we have seen teachers being flushed out from those areas. We have seen religious profiling whereby people who do not belong to a particular religious segment are flushed out and sometimes even executed. These are issues we need to address – issues of ...
view
21 Feb 2018 in National Assembly:
Thank you, Hon. Speaker. I also want to support the appointment of Members to this Committee. It is a very important Committee. I had even applied to be a Member but I found that I was not included. The point I want to raise is on the Members in this House who have special needs. The services of those Members are not properly addressed. For example, when you go around Parliament, there are places we cannot even access. I have talked about Continental House and the gym. Sometimes I have to leave Parliament to go for physiotherapy. We have a ...
view
21 Feb 2018 in National Assembly:
Thank you, Hon. Speaker for the opportunity to speak on this.
view
13 Dec 2017 in National Assembly:
Thank you, Hon. Speaker. I also want to contribute to this Motion. As we go to the election of the EALA Members, we should look at various issues, including regional balance. We have some nominated Members who were in the last Parliament. We know their capacity. We know those who have been nominated, both men and women. Most of them have made it to this list. I must congratulate them. Whoever will make it to the EALA will be representing this country. They will not be representing themselves or their regions or those who nominated them. Once they make it ...
view