Parties & Coalitions

  • Not a member of any parties or coalitions

All parliamentary appearances

Entries 211 to 220 of 393.

  • 14 Feb 2024 in Senate: shida, taabu na dhiki wanazopitia. Ni lazima tuwachunge wasichana wetu vizuri. Tuwapatie kazi kama Serikali ili wajidumu kimaisha na kuepuka mipango kama hii. Tumeona pia hata nyumbani wanawake wakichinjwa kama mbuzi. Sio kwamba ni wao wanauawa tu lakini zaidi yao ni wanawake ambao wanauawa kiholela. Kwa sababu mtu ana wivu anachinja mtu bila sababu. Hakuna aliye na ruhusa ya kutoa mwingine uhai katika sheria na pia Biblia. Hakuna mtu aliye na maisha ya kumpa mwingine. Naomba hatua kali zichukuliwe kwa waliowaua wale wasichana, Juzi, nilisema kuwa Serikali ina mkono mrefu sana. Ikitaka ku arrest wale watu, itafanya vile na wafungwe ... view
  • 14 Feb 2024 in Senate: Hii ni kwa sababu kuna akina mama wanaishi nyumbani, wanazaa na kulea watoto. Wakati baba yuko kazini, huyu mama ako nyumbani anachungia baba boma lakini wakikosana, unapata mama anaondoka mikono mitupu na amemzalia watoto na kumfulia nguo. Mama anafanya kazi mchana na usiku bila kupumzika. Ni lazima hiyo ihesabiwe kama kazi ambayo mama amefanya na contribution ambayo mama ameleta kwa hiyo boma. Ninaongea na uchungu mwingi kwa sababu nimeona wengi sana ambao--- view
  • 14 Feb 2024 in Senate: Okay, Mr. Temporary Speaker, Sir. Ninaongea kwa uchungu mwingi kwa sababu hizo dhuluma za akina mama zimekuwa nyingi sana. Akina mama hawana muscles za kupigana sana kama akina baba. Kwa hivyo, ni rahisi mama kushindwa nguvu na kuuwaua ama kuumizwa. Kama vile Bibilia inasema, sisi wanawake ni wanyonge na wanaume watuchukue kwa urahisi, yaani watubebe hivyo, watuelewe na watupatie nafasi yetu tuweze kufanya mambo vile tunastahili kufanya. Ninaunga mkono Hoja hii. Ukiweka hiyo ya matrimonial property, mwangalie--- view
  • 28 Nov 2023 in Senate: Thank you, Mr. Speaker, Sir, for this opportunity. I am asking a question about the Muindi Mbingu Petition whose Report was brought to this House by the Justice, Legal Affairs and Human Rights Committee (JLAC). They went to the ground, saw and heard the injustices on Muindi Mbingu people. I wonder if this will end here because the Committee has said there is a legislative gap in the policies and the law. Could they not have suggested that this be made a Motion for it to be debated and what they are suggesting about the British Colonial Government, which caused ... view
  • 22 Nov 2023 in Senate: On a point of order, Mr. Deputy Speaker, Sir. view
  • 22 Nov 2023 in Senate: On a point of order, Mr. Deputy Speaker, Sir. view
  • 22 Nov 2023 in Senate: Thank you, Mr. Deputy Speaker, Sir. I want to tell Sen. Tobiko that most of these roads that she has mentioned are not constructed by the Ministry, but by the County Government of Machakos. For instance, the Mua Road was done by the County Government of Machakos. The particular road that you are talking about goes to the church of one of the prominent businessmen in Machakos, and he did it personally. So, most of these roads are made by the county government; they are not constructed by the Ministry. So, maybe your county is sleeping on this. view
  • 22 Nov 2023 in Senate: Thank you, Mr. Deputy Speaker, Sir. I want to tell Sen. Tobiko that most of these roads that she has mentioned are not constructed by the Ministry, but by the County Government of Machakos. For instance, the Mua Road was done by the County Government of Machakos. The particular road that you are talking about goes to the church of one of the prominent businessmen in Machakos, and he did it personally. So, most of these roads are made by the county government; they are not constructed by the Ministry. So, maybe your county is sleeping on this. view
  • 22 Nov 2023 in Senate: Thank you, Mr. Temporary Speaker, Sir. I also thank the Cabinet Secretary for coming. My question is about the road from Caltex-Umoja- Kangundo Road. I hope you are paying attention. There is a lot of traffic jam on Kangundo Road. Most of my people live in Kangundo and work in Nairobi. Once they leave Nairobi at 5:00 o'clock, most of them arrive at home at midnight because of traffic jams. So, I am wondering what you are doing to complete that road. Also, can it be made a dual carriage all the way from Caltex to Tala and Kangundo? I ... view
  • 22 Nov 2023 in Senate: Thank you, Mr. Temporary Speaker, Sir. I also thank the Cabinet Secretary for coming. My question is about the road from Caltex-Umoja- Kangundo Road. I hope you are paying attention. There is a lot of traffic jam on Kangundo Road. Most of my people live in Kangundo and work in Nairobi. Once they leave Nairobi at 5:00 o'clock, most of them arrive at home at midnight because of traffic jams. So, I am wondering what you are doing to complete that road. Also, can it be made a dual carriage all the way from Caltex to Tala and Kangundo? I ... view

Comments

(For newest comments first please choose 'Newest' from the 'Discussion' tab below.)
comments powered by Disqus