Ali Menza Mbogo

Parties & Coalitions

All parliamentary appearances

Entries 111 to 120 of 295.

  • 15 Nov 2023 in National Assembly: Suala la kulaumu Serikali iliyopita lazima likome na liishe kwa sababu tangu Serikali hii ichukue mamlaka ni mwaka mzima. Vipi tunakaa na kulaumu ile Serikali iliyotoka? Hata watu wamewasahau waliotoka. Vipi nyinyi mko hapa bado na mnawalaumu? Kaeni chini muone mna mipango gani ya kuweza kuboresha hali ya maisha badala ya kulaumu Serikali iliyopita. Kuhusu ajira ya walimu 56,000, kwa kweli inatangazwa tu lakini wengi hatuoni. Kama ingefanywa kihaki, kila eneo bunge lingepata walimu 193. Angalau, kila mtu angeona walimu wameajiriwa. Ukija katika Eneo Bunge la Kisauni, ni walimu wawili pekee ambao wameajiriwa. Hatuhisi kama walimu wameajiriwa. Lazima kuwe na ... view
  • 15 Nov 2023 in National Assembly: Suala la kulaumu Serikali iliyopita lazima likome na liishe kwa sababu tangu Serikali hii ichukue mamlaka ni mwaka mzima. Vipi tunakaa na kulaumu ile Serikali iliyotoka? Hata watu wamewasahau waliotoka. Vipi nyinyi mko hapa bado na mnawalaumu? Kaeni chini muone mna mipango gani ya kuweza kuboresha hali ya maisha badala ya kulaumu Serikali iliyopita. Kuhusu ajira ya walimu 56,000, kwa kweli inatangazwa tu lakini wengi hatuoni. Kama ingefanywa kihaki, kila eneo bunge lingepata walimu 193. Angalau, kila mtu angeona walimu wameajiriwa. Ukija katika Eneo Bunge la Kisauni, ni walimu wawili pekee ambao wameajiriwa. Hatuhisi kama walimu wameajiriwa. Lazima kuwe na ... view
  • 25 Oct 2023 in National Assembly: Ahsante sana, Mhe. Spika wa Muda, kwa kunipa nafasi ili pia nikemee na kulaani ubomoaji wa majumba uliofanyika Mavoko. Ni jambo la kusikitisha, kuhuzunisha na kushangaza. Mimi nimeomba kuzungumza tangu saa nane na nusu - nimebonyeza kitufe cha ombi tangu Hoja hii ikija. Lakini kwa sasa, ninakushukuru kwa kunipa nafasi hii. Ni kwa sababu tunataka kukemea hili jambo ili lisifanyike tena sehemu nyingine nchini. Ndio sababu tunakaa kwa muda mrefu. Hata ukiweka kikao hadi saa saba tutakaa. Hili ni jambo la kusikitisha. Watoto, akina mama na wazee wametoa machozi pale. Mtoto hajui jinsi amnyamazishe babake; baba hajui iwapo amnyamazishe mtoto; ... view
  • 25 Oct 2023 in National Assembly: Ahsante sana, Mhe. Spika wa Muda, kwa kunipa nafasi ili pia nikemee na kulaani ubomoaji wa majumba uliofanyika Mavoko. Ni jambo la kusikitisha, kuhuzunisha na kushangaza. Mimi nimeomba kuzungumza tangu saa nane na nusu - nimebonyeza kitufe cha ombi tangu Hoja hii ikija. Lakini kwa sasa, ninakushukuru kwa kunipa nafasi hii. Ni kwa sababu tunataka kukemea hili jambo ili lisifanyike tena sehemu nyingine nchini. Ndio sababu tunakaa kwa muda mrefu. Hata ukiweka kikao hadi saa saba tutakaa. Hili ni jambo la kusikitisha. Watoto, akina mama na wazee wametoa machozi pale. Mtoto hajui jinsi amnyamazishe babake; baba hajui iwapo amnyamazishe mtoto; ... view
  • 25 Oct 2023 in National Assembly: Walipewa approvals . Kuna halmashauri ya ujenzi iitwayo NCA au the National Construction Authority iliyowapa approvals . Halmashauri ya mazingira au National Environment Management Authority view
  • 25 Oct 2023 in National Assembly: Walipewa approvals . Kuna halmashauri ya ujenzi iitwayo NCA au the National Construction Authority iliyowapa approvals . Halmashauri ya mazingira au National Environment Management Authority view
  • 18 Oct 2023 in National Assembly: Ninakushukuru Mhe. Spika wa Muda kwa kunipatia nafasi kupenyeza sauti yangu, ingawa nilikuja mapema nikitaka kuzungumzia mambo ya ajali barabarani lakini sikupata nafasi. Ninaipongeza Kamati kwa kuja na kanuni za kulinda afya za wananchi, kwa sababu taifa lenye nguvu ni lile ambalo wananchi wake wana afya. Ni vyema sana wale wanaouza madawa wawe ni watu ambao wana ujuzi huo, sio tu wanapeana. Hii ni kwa sababu mara nyingi, daktari anapoandika madawa, wanarudi wanasema: ‘Hizi hakuna, lakini hizi zinafanana.’ Kwa hivyo, zingine zinadhuru wananchi. Pia, wananchi wanafaa waelezwe kwa makini kwamba, ‘dawa hii unatumia madhara yake ni haya.’ Dawa nyingi ziko ... view
  • 18 Oct 2023 in National Assembly: Ninakushukuru Mhe. Spika wa Muda kwa kunipatia nafasi kupenyeza sauti yangu, ingawa nilikuja mapema nikitaka kuzungumzia mambo ya ajali barabarani lakini sikupata nafasi. Ninaipongeza Kamati kwa kuja na kanuni za kulinda afya za wananchi, kwa sababu taifa lenye nguvu ni lile ambalo wananchi wake wana afya. Ni vyema sana wale wanaouza madawa wawe ni watu ambao wana ujuzi huo, sio tu wanapeana. Hii ni kwa sababu mara nyingi, daktari anapoandika madawa, wanarudi wanasema: ‘Hizi hakuna, lakini hizi zinafanana.’ Kwa hivyo, zingine zinadhuru wananchi. Pia, wananchi wanafaa waelezwe kwa makini kwamba, ‘dawa hii unatumia madhara yake ni haya.’ Dawa nyingi ziko ... view
  • 18 Oct 2023 in National Assembly: Ahsante. view
  • 18 Oct 2023 in National Assembly: Ahsante. view

Comments

(For newest comments first please choose 'Newest' from the 'Discussion' tab below.)
comments powered by Disqus