Ali Menza Mbogo

Parties & Coalitions

All parliamentary appearances

Entries 121 to 130 of 295.

  • 18 Oct 2023 in National Assembly: Asante sana, Mhe. Naibu Spika. Nimesubiri ya kutosha ili niweze kutia shime mswada huu ambao umeletwa na Mhe. King’ara. Mimi pia ninaungana na wenzangu kuunga mkono kwamba ardhi za umma ziweze kupata stakabadhi. Ni aibu sana kuwa mpaka sasa, miaka 50 tangu tupate uhuru, shule zote za umma hazina hatimiliki. Ziko tu na zinasemekana ni za umma lakini haijulikani stakabadhi zake zipo wapi na ardhi zao ni za aina gani. Nikitilia mkazo maneno yaliyozungumzwa na Mhe. King’ara, imefika wakati hata miradi ya Serikali haina mahali pa kujengwa kwa sababu hakuna ardhi. Hata sisi upande wa National Government Constituencies Development Fund ... view
  • 18 Oct 2023 in National Assembly: Asante sana, Mhe. Naibu Spika. Nimesubiri ya kutosha ili niweze kutia shime mswada huu ambao umeletwa na Mhe. King’ara. Mimi pia ninaungana na wenzangu kuunga mkono kwamba ardhi za umma ziweze kupata stakabadhi. Ni aibu sana kuwa mpaka sasa, miaka 50 tangu tupate uhuru, shule zote za umma hazina hatimiliki. Ziko tu na zinasemekana ni za umma lakini haijulikani stakabadhi zake zipo wapi na ardhi zao ni za aina gani. Nikitilia mkazo maneno yaliyozungumzwa na Mhe. King’ara, imefika wakati hata miradi ya Serikali haina mahali pa kujengwa kwa sababu hakuna ardhi. Hata sisi upande wa National Government Constituencies Development Fund ... view
  • 18 Oct 2023 in National Assembly: majengo mengi. Haya mambo hayakuanza leo; yalianza wakati wa manispaa kabla ya serikali za ugatuzi. Ugawanyaji wa ardhi hauwezi kupita bila kuonyesha public utility ni zipi. Kwa kuwa mpangaji atapangisha wananchi, hawatatoka juu mbinguni wakianguka chini. ni muhimu wawe na barabara ya kutoka nje na kurudi ndani. Ni muhimu wawe na sehemu maalum ya taka ambayo si ya mpangaji bali mali ya umma. Wale wanaoenda kanisani na muskitini lazima wawe na sehemu ya kuabudu. Wale wanaoabudu Jumamosi pia wawe na sehemu yao ya kuabudu. Ikiwezekana, ardhi za umma zifanyiwe auditing kuanzia wakati manispaa zilipokuweko, ili kama ardhi hizo zingalipo zirudi ... view
  • 18 Oct 2023 in National Assembly: majengo mengi. Haya mambo hayakuanza leo; yalianza wakati wa manispaa kabla ya serikali za ugatuzi. Ugawanyaji wa ardhi hauwezi kupita bila kuonyesha public utility ni zipi. Kwa kuwa mpangaji atapangisha wananchi, hawatatoka juu mbinguni wakianguka chini. ni muhimu wawe na barabara ya kutoka nje na kurudi ndani. Ni muhimu wawe na sehemu maalum ya taka ambayo si ya mpangaji bali mali ya umma. Wale wanaoenda kanisani na muskitini lazima wawe na sehemu ya kuabudu. Wale wanaoabudu Jumamosi pia wawe na sehemu yao ya kuabudu. Ikiwezekana, ardhi za umma zifanyiwe auditing kuanzia wakati manispaa zilipokuweko, ili kama ardhi hizo zingalipo zirudi ... view
  • 11 Oct 2023 in National Assembly: Nilikua ninataka kuzungumzia kuhusu mihadarati kwa sababu imeniathiri sana katika eneo Bunge la Kisauni lakini sikupata nafasi. Si neno lakini wacha nizungumzie sukari vile imezungumzwa na Mhe. Salasya. Ningependa kusema kwamba Serikali iwe angalifu kwa kulinda viwanda vyetu. Ikiwa viwanda vyetu vinatoa bidhaa ya kutosha, hakuna haja ya kuagiza kutoka mataifa ya nje. Mnapoagiza kutoka mataifa ya nje, mnafanya vijana wetu wengi wakae bila ajira. Ni vyema sana tuvikuze viwanda vyetu ndio tuwe na ajira na nguvu ya kiuchumi ya nchi yetu kindani. Wakulima wetu wanalima sukari na bidhaa zingine, lakini wanashindwa mahali pa kuuzia kwa sababu vitu vingi vingi ... view
  • 11 Oct 2023 in National Assembly: Nilikua ninataka kuzungumzia kuhusu mihadarati kwa sababu imeniathiri sana katika eneo Bunge la Kisauni lakini sikupata nafasi. Si neno lakini wacha nizungumzie sukari vile imezungumzwa na Mhe. Salasya. Ningependa kusema kwamba Serikali iwe angalifu kwa kulinda viwanda vyetu. Ikiwa viwanda vyetu vinatoa bidhaa ya kutosha, hakuna haja ya kuagiza kutoka mataifa ya nje. Mnapoagiza kutoka mataifa ya nje, mnafanya vijana wetu wengi wakae bila ajira. Ni vyema sana tuvikuze viwanda vyetu ndio tuwe na ajira na nguvu ya kiuchumi ya nchi yetu kindani. Wakulima wetu wanalima sukari na bidhaa zingine, lakini wanashindwa mahali pa kuuzia kwa sababu vitu vingi vingi ... view
  • 23 Aug 2023 in National Assembly: Ahsante sana, Mhe. Spika, kwa kutupatia nafasi ya kusema pole kwa ndugu, jamaa na marafiki wa Mhe. Ndzai. Ninaomba utupatie nafasi tutoe rambirambi zetu. view
  • 23 Aug 2023 in National Assembly: Ahsante sana, Mhe. Spika. Pia mimi ninasema pole. view
  • 15 Aug 2023 in National Assembly: Asante sana Mheshimiwa Spika wa Muda… view
  • 15 Aug 2023 in National Assembly: Mhe Spika wa Muda, ninakushukuru kwa mwongozo huo. Nitaenda kwa haraka ili wenzangu pia wapate muda na fursa ya kuchangia. Ninaunga mkono Mswada huu kwa sababu niko na imani kwamba umetoka kwa Wizara mbili muhimu – Wizara ya Afya, na Wizara ya Kilimo – ambazo zilikaa chini zikakubaliana. Kwa hivyo, niko na imani kuwa hili ni jambo muhimu ambalo litasaidia taifa. Ubora wa chakula ni jambo muhimu sana. Pia, ninaunga mkono Mswada huu kwa sababu utahusisha serikali za ugatuzi katika jitihada za kuboresha chakula kabla ya kukipeleka kwenye masoko yetu. Tuko na imani kuwa wakihusishwa, mambo mengi pia yatakwenda sawa. ... view

Comments

(For newest comments first please choose 'Newest' from the 'Discussion' tab below.)
comments powered by Disqus