Ali Menza Mbogo

Parties & Coalitions

All parliamentary appearances

Entries 121 to 130 of 169.

  • 12 Nov 2019 in National Assembly: Asante sana Mhe. Spika, kwa kunipa fursa hii nichangie Mswada huu muhimu. Mengi yamezungumzwa na viongozi Wabunge kuhusu suala hili, ambalo ni muhimu sana. Limewaumiza Wabunge wa zamani, wale waliotoa huduma katika Bunge hili. Walihudumia Wakenya katika nyanja tofauti tofauti. Kama tujuavyo, Mbunge akishatoka katika Bunge hili kwa njia moja au nyingine, ni vigumu kuajiriwa katika shirika lolote. Hata hivyo, tunashukuru korti zetu kwa kupitisha, juzi, ile sheria kwamba unaruhusiwa kuajiriwa au kupata kazi katika kamisheni ambazo ziko katika Jamuhuri ya Kenya, hata kama mtu ni Mbunge. Hilo limesaidia kwa kiwango kikubwa. Hata hivyo, jambo muhimu ni kwamba sisi ndio ... view
  • 12 Nov 2019 in National Assembly: The electronic version of the Official Hansard Report is for information purposes only. Acertified version of this Report can be obtained from the Hansard Editor. view
  • 12 Nov 2019 in National Assembly: Hesabu imefanywa hapa. Tumeambiwa Wabunge wa zamani ni kama 200. Ikiwa kila Mbunge atapewa shilingi 100,000 kwa mwezi, ni shilingi 20,000,000 kwa mwaka mmoja. Hizi ni pesa kidogo sana tukiangalia hali ya jinamizi la corruption ambalo linaendelea katika Jamuhuri ya Kenya. Pesa nyingi sana zimeibwa; pesa nyingi sana zinaliwa kila siku. Ikiwa pesa hizi zitatengwa kuwahudumia Wabunge wa zamani, zitawasaidia katika njia moja au nyingine. Tumekuwa na Wabunge wengi ambao wamepitia pale ninakotoka katika eneo la Kisauni. Wengi wamehudumu muhula mmoja. Wengi wako kule nyanjani. Kuna Mbunge ambaye ilifikia wakati hawezi kulipa kodi yake ya mwezi na ikawa ni aibu ... view
  • 9 Oct 2019 in National Assembly: On a point of order, Hon. Speaker. view
  • 9 Oct 2019 in National Assembly: I thank you, Hon. Speaker. I rise on a point of order regarding a Question I asked three or four months ago before the House went for recess regarding non-payment of suppliers of goods to various prisons within Kisauni Constituency. The matter was referred to the Cabinet Secretary for Interior and Coordination of National Government, but to date I have not received any response in regard to that matter. view
  • 9 Oct 2019 in National Assembly: Thank you, Hon. Speaker. view
  • 2 Oct 2019 in National Assembly: Thank you, Hon. Temporary Deputy Speaker for giving me this opportunity to echo the sentiments on this important Anti-Corruption and Economic Crimes (Amendment) Bill. Corruption is not new. It has been there and it will be there. We need to ask ourselves where it starts. We, as parents, are fully responsible because today, when you send your kid to a shop, when he or she is hesitant, you always bribe him or her. You tell your kid to buy something for you and Kshs20 is his or her. Already, we are poisoning the mind of that child because he or ... view
  • 2 Oct 2019 in National Assembly: The other day, we witnessed many arrests in this country after the President became so vocal. The DCI was given the mandate to arrest people on Fridays, take them to police cells to spend two nights there and on Mondays, they are taken to court. But Kenyans are so smart. We The electronic version of the Official Hansard Report is for information purposes only. Acertified version of this Report can be obtained from the Hansard Editor. view
  • 2 Oct 2019 in National Assembly: adapt to these situations. If I know that I will be picked on a Friday, I prepare my lawyers with the money that I have and on Monday, when I am presented before a court of law, my lawyers are there to bail me out. So many arrests were done. Governors, Principal Secretaries and Cabinet Secretaries were arrested and told to step aside. But what has happened to them? We have not seen serious convictions happening in this country. If I recall very well, there is only one conviction that was done – that of the former Managing Director of ... view
  • 2 Oct 2019 in National Assembly: Corruption has to be fought from all angles. We support the President fully. We are behind him but it is… view

Comments

(For newest comments first please choose 'Newest' from the 'Discussion' tab below.)
comments powered by Disqus