Ali Menza Mbogo

Parties & Coalitions

All parliamentary appearances

Entries 61 to 70 of 292.

  • 23 Apr 2024 in National Assembly: Asante sana Mhe. Naibu Spika kwa kunipa fursa hii kuzungumzia swala la National Land Commission . Ni vizuri sana kwa kitengo hiki. Katika taifa la Kenya, tatizo kubwa linalolikumba ni swala la ardhi. Na wao haswa walikuwa wamekuja kwa sababu ya kutatua uzito au matatizo ya ardhi yaliyotokea kwa kipindi cha nyuma. Kikubwa ni kwamba ningeomba wapewe nguvu zaidi ili kusudi wawe wanaweza kutatua matatizo. Sio kusikiza halafu wanawacha. Kuna ardhi nyingi ambazo wenyewe hawako, wako Oman, sehemu za bara la Waarabu, wengine wako Ulaya, lakini ardhi zile ziko hapa na watu bado wanaambiwa ni maskwota. Mtu anakuja tu na ... view
  • 23 Apr 2024 in National Assembly: Asante sana, Mhe. Spika wa Muda, kwa kunipatia fursa hii niweze kuzungumzia swala la Tume ya Ardhi. Hii tume ni kitengo muhimu sana katika taifa letu kwa sababu shida kubwa ni mambo ya ardhi. Na katika dhulma za kihistoria… view
  • 23 Apr 2024 in National Assembly: Asante sana, Mhe. Spika wa Muda, kwa kunipatia fursa hii niweze kuzungumzia swala la Tume ya Ardhi. Hii tume ni kitengo muhimu sana katika taifa letu kwa sababu shida kubwa ni mambo ya ardhi. Na katika dhulma za kihistoria… view
  • 23 Apr 2024 in National Assembly: Hon. Temporary Speaker, I contributed. view
  • 23 Apr 2024 in National Assembly: Hon. Temporary Speaker, I contributed. view
  • 17 Apr 2024 in National Assembly: Asante sana, Mhe. Spika wa Muda kwa kunipa fursa ya kuchangia suala hili la ajali barabarani ambalo limeleta hasara kubwa katika taifa letu. Ni huzuni kubwa jinsi tanavyopoteza maisha katika barabara zetu. Pia, kuna kubadilishwa kwa hali ya kimaumbile ya watu wetu; mtu anatoka nyumbani akiwa mzima na anaporudi baada ya wiki moja ni mlemavu. Hiki ni kitu cha kusikitisha sana katika barabara zetu. Mhe. Bady ambaye ni mwanakamati wa Kamati ya Uchukuzi, amezungumza wazi wazi juu ya mambo ambayo yanafaa kurekebishwa. Mimi nitazingatia Wizara ya Barabara. Wizara hii inahitajika kuwekeza ili ipunguze ajali. Ukienda nchi za Ulaya na nchi ... view
  • 17 Apr 2024 in National Assembly: Asante sana, Mhe. Spika wa Muda kwa kunipa fursa ya kuchangia suala hili la ajali barabarani ambalo limeleta hasara kubwa katika taifa letu. Ni huzuni kubwa jinsi tanavyopoteza maisha katika barabara zetu. Pia, kuna kubadilishwa kwa hali ya kimaumbile ya watu wetu; mtu anatoka nyumbani akiwa mzima na anaporudi baada ya wiki moja ni mlemavu. Hiki ni kitu cha kusikitisha sana katika barabara zetu. Mhe. Bady ambaye ni mwanakamati wa Kamati ya Uchukuzi, amezungumza wazi wazi juu ya mambo ambayo yanafaa kurekebishwa. Mimi nitazingatia Wizara ya Barabara. Wizara hii inahitajika kuwekeza ili ipunguze ajali. Ukienda nchi za Ulaya na nchi ... view
  • 13 Mar 2024 in National Assembly: Ahsante sana Mhe. Spika wa Muda kwa kunipa fursa ya kuchangia Ripoti hii muhimu sana. Lakini kabla ya hilo, ninakupa tahadhari kwamba nilingia Jumba hili saa nane na dakika ishirini, nikaweka kadi yangu ikawaka. Mhe. Spika alipitisha hapa kwamba Wabunge watakuwa wakitumia mbinu ya kidijitali kwa kutumia kadi zao. Hivyo, ni vyema sana wahusika washughulikie jambo hili. Hatuwezi kuketi na kujihisi wanyonge kuona wengine wakija baada yetu na kuzungumza ilhali tumekaa tangu saa nane. view
  • 13 Mar 2024 in National Assembly: Ahsante sana Mhe. Spika wa Muda kwa kunipa fursa ya kuchangia Ripoti hii muhimu sana. Lakini kabla ya hilo, ninakupa tahadhari kwamba nilingia Jumba hili saa nane na dakika ishirini, nikaweka kadi yangu ikawaka. Mhe. Spika alipitisha hapa kwamba Wabunge watakuwa wakitumia mbinu ya kidijitali kwa kutumia kadi zao. Hivyo, ni vyema sana wahusika washughulikie jambo hili. Hatuwezi kuketi na kujihisi wanyonge kuona wengine wakija baada yetu na kuzungumza ilhali tumekaa tangu saa nane. view
  • 13 Mar 2024 in National Assembly: Naam. view

Comments

(For newest comments first please choose 'Newest' from the 'Discussion' tab below.)
comments powered by Disqus