23 Apr 2024 in National Assembly:
Ahsante sana, Mhe. Spika kwa kunipa fursa na mimi nipenyeze sauti yangu kusema pole kwa ndugu, jamaa, marafiki na familia za wanajeshi waliopoteza maisha yao siku ya Alhamisi. Sisi, kama Eneo Bunge la Kisauni, tumempoteza Brigadier Swale Saidi. Alikuwa kijana shupavu mwenye mategemeo yake makubwa kwamba huko mbeleni, angechukua nafasi kubwa katika familia ya jeshi. Lakini kila kitu ni mpango wa Mungu. Kikubwa tunasema tunawaombea Mwenyezi Mungu azilaze roho zao mahali pema peponi, na awasamehe dhambi zao. Ni vyema sana pia sisi, kama taifa, tufanye uchunguzi wa kina ili kujua sababu ya kuanguka kwa ndege hiyo. Hii ni kwa sababu ...
view
23 Apr 2024 in National Assembly:
Ahsante sana, Mhe. Spika kwa kunipa fursa na mimi nipenyeze sauti yangu kusema pole kwa ndugu, jamaa, marafiki na familia za wanajeshi waliopoteza maisha yao siku ya Alhamisi. Sisi, kama Eneo Bunge la Kisauni, tumempoteza Brigadier Swale Saidi. Alikuwa kijana shupavu mwenye mategemeo yake makubwa kwamba huko mbeleni, angechukua nafasi kubwa katika familia ya jeshi. Lakini kila kitu ni mpango wa Mungu. Kikubwa tunasema tunawaombea Mwenyezi Mungu azilaze roho zao mahali pema peponi, na awasamehe dhambi zao. Ni vyema sana pia sisi, kama taifa, tufanye uchunguzi wa kina ili kujua sababu ya kuanguka kwa ndege hiyo. Hii ni kwa sababu ...
view
23 Apr 2024 in National Assembly:
Asante sana Mhe. Naibu Spika kwa kunipa fursa hii kuzungumzia swala la National Land Commission . Ni vizuri sana kwa kitengo hiki. Katika taifa la Kenya, tatizo kubwa linalolikumba ni swala la ardhi. Na wao haswa walikuwa wamekuja kwa sababu ya kutatua uzito au matatizo ya ardhi yaliyotokea kwa kipindi cha nyuma. Kikubwa ni kwamba ningeomba wapewe nguvu zaidi ili kusudi wawe wanaweza kutatua matatizo. Sio kusikiza halafu wanawacha. Kuna ardhi nyingi ambazo wenyewe hawako, wako Oman, sehemu za bara la Waarabu, wengine wako Ulaya, lakini ardhi zile ziko hapa na watu bado wanaambiwa ni maskwota. Mtu anakuja tu na ...
view
23 Apr 2024 in National Assembly:
Asante sana Mhe. Naibu Spika kwa kunipa fursa hii kuzungumzia swala la National Land Commission . Ni vizuri sana kwa kitengo hiki. Katika taifa la Kenya, tatizo kubwa linalolikumba ni swala la ardhi. Na wao haswa walikuwa wamekuja kwa sababu ya kutatua uzito au matatizo ya ardhi yaliyotokea kwa kipindi cha nyuma. Kikubwa ni kwamba ningeomba wapewe nguvu zaidi ili kusudi wawe wanaweza kutatua matatizo. Sio kusikiza halafu wanawacha. Kuna ardhi nyingi ambazo wenyewe hawako, wako Oman, sehemu za bara la Waarabu, wengine wako Ulaya, lakini ardhi zile ziko hapa na watu bado wanaambiwa ni maskwota. Mtu anakuja tu na ...
view
23 Apr 2024 in National Assembly:
Asante sana, Mhe. Spika wa Muda, kwa kunipatia fursa hii niweze kuzungumzia swala la Tume ya Ardhi. Hii tume ni kitengo muhimu sana katika taifa letu kwa sababu shida kubwa ni mambo ya ardhi. Na katika dhulma za kihistoria…
view
23 Apr 2024 in National Assembly:
Asante sana, Mhe. Spika wa Muda, kwa kunipatia fursa hii niweze kuzungumzia swala la Tume ya Ardhi. Hii tume ni kitengo muhimu sana katika taifa letu kwa sababu shida kubwa ni mambo ya ardhi. Na katika dhulma za kihistoria…
view
23 Apr 2024 in National Assembly:
Hon. Temporary Speaker, I contributed.
view
23 Apr 2024 in National Assembly:
Hon. Temporary Speaker, I contributed.
view
17 Apr 2024 in National Assembly:
Asante sana, Mhe. Spika wa Muda kwa kunipa fursa ya kuchangia suala hili la ajali barabarani ambalo limeleta hasara kubwa katika taifa letu. Ni huzuni kubwa jinsi tanavyopoteza maisha katika barabara zetu. Pia, kuna kubadilishwa kwa hali ya kimaumbile ya watu wetu; mtu anatoka nyumbani akiwa mzima na anaporudi baada ya wiki moja ni mlemavu. Hiki ni kitu cha kusikitisha sana katika barabara zetu. Mhe. Bady ambaye ni mwanakamati wa Kamati ya Uchukuzi, amezungumza wazi wazi juu ya mambo ambayo yanafaa kurekebishwa. Mimi nitazingatia Wizara ya Barabara. Wizara hii inahitajika kuwekeza ili ipunguze ajali. Ukienda nchi za Ulaya na nchi ...
view
17 Apr 2024 in National Assembly:
Asante sana, Mhe. Spika wa Muda kwa kunipa fursa ya kuchangia suala hili la ajali barabarani ambalo limeleta hasara kubwa katika taifa letu. Ni huzuni kubwa jinsi tanavyopoteza maisha katika barabara zetu. Pia, kuna kubadilishwa kwa hali ya kimaumbile ya watu wetu; mtu anatoka nyumbani akiwa mzima na anaporudi baada ya wiki moja ni mlemavu. Hiki ni kitu cha kusikitisha sana katika barabara zetu. Mhe. Bady ambaye ni mwanakamati wa Kamati ya Uchukuzi, amezungumza wazi wazi juu ya mambo ambayo yanafaa kurekebishwa. Mimi nitazingatia Wizara ya Barabara. Wizara hii inahitajika kuwekeza ili ipunguze ajali. Ukienda nchi za Ulaya na nchi ...
view