24 Apr 2024 in National Assembly:
Ahsante sana, Mhe. Spika wa Muda, kwa kunipatia fursa niongeze sauti yangu katika Hoja hii.
view
24 Apr 2024 in National Assembly:
Ahsante sana, Mhe. Spika wa Muda, kwa kunipatia fursa niongeze sauti yangu katika Hoja hii.
view
24 Apr 2024 in National Assembly:
Ahsante sana Mhe. Spika wa Muda. Kwanza, nampongeza Mjumbe wa Lamu Mashariki kwa kuleta Hoja hii. Anataka maafisa wa jeshi wapewe heshima zao. Ameleta Hoja hii kwa sababu ya mchakato unaoendelea katika eneo bunge lake. Pale ni karibu na msitu wa Boni. Anawaona wanajeshi wakihangaika na hawalali. Wakati wa mafuriko, wanaishi katika mashimo yaliyo na maji, wakishika doria kuhakikisha kwamba adui haingii kwetu. Kwa hivyo, kuwapatia heshima wanajeshi ni vyema zaidi. Ni watu wanaojitolea kukaa mbali na familia na watoto wao. Wanarudi baada ya mwezi mmoja au miwili. Kwa hivyo, ni vyema sana wapewe heshima zao.
view
24 Apr 2024 in National Assembly:
Ahsante sana Mhe. Spika wa Muda. Kwanza, nampongeza Mjumbe wa Lamu Mashariki kwa kuleta Hoja hii. Anataka maafisa wa jeshi wapewe heshima zao. Ameleta Hoja hii kwa sababu ya mchakato unaoendelea katika eneo bunge lake. Pale ni karibu na msitu wa Boni. Anawaona wanajeshi wakihangaika na hawalali. Wakati wa mafuriko, wanaishi katika mashimo yaliyo na maji, wakishika doria kuhakikisha kwamba adui haingii kwetu. Kwa hivyo, kuwapatia heshima wanajeshi ni vyema zaidi. Ni watu wanaojitolea kukaa mbali na familia na watoto wao. Wanarudi baada ya mwezi mmoja au miwili. Kwa hivyo, ni vyema sana wapewe heshima zao.
view
24 Apr 2024 in National Assembly:
Hoja hii inasema maafisa wa jeshi wakipanda ndege, wapatiwe kipaumbele. Ni kweli mataifa mengi sana nimeenda, hata Uturuki, wanapewa kipaumbele. Wakiwa ndani ya ndege ya abiria ama ndege ya aina yeyote, chochote cha usalama kikitokea, wanaingia kazini. Hawawezi kusema wako katika likizo . Kwa hivyo, ni vyema wapewe nafasi hiyo, ingawa si wanajeshi wote wanapanda ndege. Kuna wengine wanapanda matatu. Wengine wanatembea. Tutafute njia ya kuwaheshimu na sio tu wale wanaopanda ndege. Hata wale wanaotembea wapatiwe kipaumbele katika ofisi zote za Serikali zinazotoa huduma. Chochote kikitokea ni lazima kitangazwe na wanajeshi wote waambiwe warudi kambini saa hiyo na kuelezwa kilichojiri. ...
view
24 Apr 2024 in National Assembly:
Hoja hii inasema maafisa wa jeshi wakipanda ndege, wapatiwe kipaumbele. Ni kweli mataifa mengi sana nimeenda, hata Uturuki, wanapewa kipaumbele. Wakiwa ndani ya ndege ya abiria ama ndege ya aina yeyote, chochote cha usalama kikitokea, wanaingia kazini. Hawawezi kusema wako katika likizo . Kwa hivyo, ni vyema wapewe nafasi hiyo, ingawa si wanajeshi wote wanapanda ndege. Kuna wengine wanapanda matatu. Wengine wanatembea. Tutafute njia ya kuwaheshimu na sio tu wale wanaopanda ndege. Hata wale wanaotembea wapatiwe kipaumbele katika ofisi zote za Serikali zinazotoa huduma. Chochote kikitokea ni lazima kitangazwe na wanajeshi wote waambiwe warudi kambini saa hiyo na kuelezwa kilichojiri. ...
view
24 Apr 2024 in National Assembly:
Pia, sisi tunataka kuwapatia heshima na wao waendelee kuwa na heshima. Tunawaheshimu wanajeshi wetu sana. Tangu tupate Uhuru mwaka wa 1963, kumetokea upuzi katika Serikali mara mbili. Hii ni wakati wa hayati Rais Kenyatta na wakati wa hayati Rais Moi, ambapo kulikuwa na mapinduzi madogo kwa muda mfupi tu ya walevi. Wanajeshi wengi sana wanaheshimu Wakenya. Tunawashukuru sana. Naomba Mhe. Ruweida, ambaye ameleta Hoja hii, asisahau vikosi vya usalama vya ndani. Angevijumuisha kwa sababu kule nje The electronic version of the Official Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Hansard ...
view
24 Apr 2024 in National Assembly:
Pia, sisi tunataka kuwapatia heshima na wao waendelee kuwa na heshima. Tunawaheshimu wanajeshi wetu sana. Tangu tupate Uhuru mwaka wa 1963, kumetokea upuzi katika Serikali mara mbili. Hii ni wakati wa hayati Rais Kenyatta na wakati wa hayati Rais Moi, ambapo kulikuwa na mapinduzi madogo kwa muda mfupi tu ya walevi. Wanajeshi wengi sana wanaheshimu Wakenya. Tunawashukuru sana. Naomba Mhe. Ruweida, ambaye ameleta Hoja hii, asisahau vikosi vya usalama vya ndani. Angevijumuisha kwa sababu kule nje The electronic version of the Official Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Hansard ...
view
24 Apr 2024 in National Assembly:
tunalindwa. Hatuwezi kuwa na maendeleo kama hatuna ulinzi wa nje. Lakini, kuna vikosi vya ulinzi wa ndani ambavyo havilali. Nilifanya kazi katika kikosi cha General Service Unit (GSU) miaka tisa. Najua kazi ngumu wanayofanya. Wanaishi msituni mpaka wanafanana na nugu. Kuna wakati tulikuwa Chepchoina tukipambana na wezi wa mifugo. Kukatokea shida Mount Elgon kule juu na sisi tulikuwa katikati. Tulisikia kelele za wananchi kule juu. Ikabidi twende kule juu. Wale majambazi walikuwa wanarusha risasi kuja chini - risasi ambazo zilikuwa zinawaka moto. Lakini, tulienda kuokoa maisha. Kwa hivyo, hata vikosi vyetu vya usalama wa ndani vinapata shida sana. Ni vizuri ...
view
24 Apr 2024 in National Assembly:
tunalindwa. Hatuwezi kuwa na maendeleo kama hatuna ulinzi wa nje. Lakini, kuna vikosi vya ulinzi wa ndani ambavyo havilali. Nilifanya kazi katika kikosi cha General Service Unit (GSU) miaka tisa. Najua kazi ngumu wanayofanya. Wanaishi msituni mpaka wanafanana na nugu. Kuna wakati tulikuwa Chepchoina tukipambana na wezi wa mifugo. Kukatokea shida Mount Elgon kule juu na sisi tulikuwa katikati. Tulisikia kelele za wananchi kule juu. Ikabidi twende kule juu. Wale majambazi walikuwa wanarusha risasi kuja chini - risasi ambazo zilikuwa zinawaka moto. Lakini, tulienda kuokoa maisha. Kwa hivyo, hata vikosi vyetu vya usalama wa ndani vinapata shida sana. Ni vizuri ...
view