Ali Menza Mbogo

Parties & Coalitions

All parliamentary appearances

Entries 51 to 60 of 292.

  • 24 Apr 2024 in National Assembly: Ahsante sana Mhe. Spika wa Muda. Kwanza, nampongeza Mjumbe wa Lamu Mashariki kwa kuleta Hoja hii. Anataka maafisa wa jeshi wapewe heshima zao. Ameleta Hoja hii kwa sababu ya mchakato unaoendelea katika eneo bunge lake. Pale ni karibu na msitu wa Boni. Anawaona wanajeshi wakihangaika na hawalali. Wakati wa mafuriko, wanaishi katika mashimo yaliyo na maji, wakishika doria kuhakikisha kwamba adui haingii kwetu. Kwa hivyo, kuwapatia heshima wanajeshi ni vyema zaidi. Ni watu wanaojitolea kukaa mbali na familia na watoto wao. Wanarudi baada ya mwezi mmoja au miwili. Kwa hivyo, ni vyema sana wapewe heshima zao. view
  • 24 Apr 2024 in National Assembly: Hoja hii inasema maafisa wa jeshi wakipanda ndege, wapatiwe kipaumbele. Ni kweli mataifa mengi sana nimeenda, hata Uturuki, wanapewa kipaumbele. Wakiwa ndani ya ndege ya abiria ama ndege ya aina yeyote, chochote cha usalama kikitokea, wanaingia kazini. Hawawezi kusema wako katika likizo . Kwa hivyo, ni vyema wapewe nafasi hiyo, ingawa si wanajeshi wote wanapanda ndege. Kuna wengine wanapanda matatu. Wengine wanatembea. Tutafute njia ya kuwaheshimu na sio tu wale wanaopanda ndege. Hata wale wanaotembea wapatiwe kipaumbele katika ofisi zote za Serikali zinazotoa huduma. Chochote kikitokea ni lazima kitangazwe na wanajeshi wote waambiwe warudi kambini saa hiyo na kuelezwa kilichojiri. ... view
  • 24 Apr 2024 in National Assembly: Hoja hii inasema maafisa wa jeshi wakipanda ndege, wapatiwe kipaumbele. Ni kweli mataifa mengi sana nimeenda, hata Uturuki, wanapewa kipaumbele. Wakiwa ndani ya ndege ya abiria ama ndege ya aina yeyote, chochote cha usalama kikitokea, wanaingia kazini. Hawawezi kusema wako katika likizo . Kwa hivyo, ni vyema wapewe nafasi hiyo, ingawa si wanajeshi wote wanapanda ndege. Kuna wengine wanapanda matatu. Wengine wanatembea. Tutafute njia ya kuwaheshimu na sio tu wale wanaopanda ndege. Hata wale wanaotembea wapatiwe kipaumbele katika ofisi zote za Serikali zinazotoa huduma. Chochote kikitokea ni lazima kitangazwe na wanajeshi wote waambiwe warudi kambini saa hiyo na kuelezwa kilichojiri. ... view
  • 24 Apr 2024 in National Assembly: Pia, sisi tunataka kuwapatia heshima na wao waendelee kuwa na heshima. Tunawaheshimu wanajeshi wetu sana. Tangu tupate Uhuru mwaka wa 1963, kumetokea upuzi katika Serikali mara mbili. Hii ni wakati wa hayati Rais Kenyatta na wakati wa hayati Rais Moi, ambapo kulikuwa na mapinduzi madogo kwa muda mfupi tu ya walevi. Wanajeshi wengi sana wanaheshimu Wakenya. Tunawashukuru sana. Naomba Mhe. Ruweida, ambaye ameleta Hoja hii, asisahau vikosi vya usalama vya ndani. Angevijumuisha kwa sababu kule nje The electronic version of the Official Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Hansard ... view
  • 24 Apr 2024 in National Assembly: Pia, sisi tunataka kuwapatia heshima na wao waendelee kuwa na heshima. Tunawaheshimu wanajeshi wetu sana. Tangu tupate Uhuru mwaka wa 1963, kumetokea upuzi katika Serikali mara mbili. Hii ni wakati wa hayati Rais Kenyatta na wakati wa hayati Rais Moi, ambapo kulikuwa na mapinduzi madogo kwa muda mfupi tu ya walevi. Wanajeshi wengi sana wanaheshimu Wakenya. Tunawashukuru sana. Naomba Mhe. Ruweida, ambaye ameleta Hoja hii, asisahau vikosi vya usalama vya ndani. Angevijumuisha kwa sababu kule nje The electronic version of the Official Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Hansard ... view
  • 24 Apr 2024 in National Assembly: tunalindwa. Hatuwezi kuwa na maendeleo kama hatuna ulinzi wa nje. Lakini, kuna vikosi vya ulinzi wa ndani ambavyo havilali. Nilifanya kazi katika kikosi cha General Service Unit (GSU) miaka tisa. Najua kazi ngumu wanayofanya. Wanaishi msituni mpaka wanafanana na nugu. Kuna wakati tulikuwa Chepchoina tukipambana na wezi wa mifugo. Kukatokea shida Mount Elgon kule juu na sisi tulikuwa katikati. Tulisikia kelele za wananchi kule juu. Ikabidi twende kule juu. Wale majambazi walikuwa wanarusha risasi kuja chini - risasi ambazo zilikuwa zinawaka moto. Lakini, tulienda kuokoa maisha. Kwa hivyo, hata vikosi vyetu vya usalama wa ndani vinapata shida sana. Ni vizuri ... view
  • 24 Apr 2024 in National Assembly: tunalindwa. Hatuwezi kuwa na maendeleo kama hatuna ulinzi wa nje. Lakini, kuna vikosi vya ulinzi wa ndani ambavyo havilali. Nilifanya kazi katika kikosi cha General Service Unit (GSU) miaka tisa. Najua kazi ngumu wanayofanya. Wanaishi msituni mpaka wanafanana na nugu. Kuna wakati tulikuwa Chepchoina tukipambana na wezi wa mifugo. Kukatokea shida Mount Elgon kule juu na sisi tulikuwa katikati. Tulisikia kelele za wananchi kule juu. Ikabidi twende kule juu. Wale majambazi walikuwa wanarusha risasi kuja chini - risasi ambazo zilikuwa zinawaka moto. Lakini, tulienda kuokoa maisha. Kwa hivyo, hata vikosi vyetu vya usalama wa ndani vinapata shida sana. Ni vizuri ... view
  • 23 Apr 2024 in National Assembly: Ahsante sana, Mhe. Spika kwa kunipa fursa na mimi nipenyeze sauti yangu kusema pole kwa ndugu, jamaa, marafiki na familia za wanajeshi waliopoteza maisha yao siku ya Alhamisi. Sisi, kama Eneo Bunge la Kisauni, tumempoteza Brigadier Swale Saidi. Alikuwa kijana shupavu mwenye mategemeo yake makubwa kwamba huko mbeleni, angechukua nafasi kubwa katika familia ya jeshi. Lakini kila kitu ni mpango wa Mungu. Kikubwa tunasema tunawaombea Mwenyezi Mungu azilaze roho zao mahali pema peponi, na awasamehe dhambi zao. Ni vyema sana pia sisi, kama taifa, tufanye uchunguzi wa kina ili kujua sababu ya kuanguka kwa ndege hiyo. Hii ni kwa sababu ... view
  • 23 Apr 2024 in National Assembly: Ahsante sana, Mhe. Spika kwa kunipa fursa na mimi nipenyeze sauti yangu kusema pole kwa ndugu, jamaa, marafiki na familia za wanajeshi waliopoteza maisha yao siku ya Alhamisi. Sisi, kama Eneo Bunge la Kisauni, tumempoteza Brigadier Swale Saidi. Alikuwa kijana shupavu mwenye mategemeo yake makubwa kwamba huko mbeleni, angechukua nafasi kubwa katika familia ya jeshi. Lakini kila kitu ni mpango wa Mungu. Kikubwa tunasema tunawaombea Mwenyezi Mungu azilaze roho zao mahali pema peponi, na awasamehe dhambi zao. Ni vyema sana pia sisi, kama taifa, tufanye uchunguzi wa kina ili kujua sababu ya kuanguka kwa ndege hiyo. Hii ni kwa sababu ... view
  • 23 Apr 2024 in National Assembly: Asante sana Mhe. Naibu Spika kwa kunipa fursa hii kuzungumzia swala la National Land Commission . Ni vizuri sana kwa kitengo hiki. Katika taifa la Kenya, tatizo kubwa linalolikumba ni swala la ardhi. Na wao haswa walikuwa wamekuja kwa sababu ya kutatua uzito au matatizo ya ardhi yaliyotokea kwa kipindi cha nyuma. Kikubwa ni kwamba ningeomba wapewe nguvu zaidi ili kusudi wawe wanaweza kutatua matatizo. Sio kusikiza halafu wanawacha. Kuna ardhi nyingi ambazo wenyewe hawako, wako Oman, sehemu za bara la Waarabu, wengine wako Ulaya, lakini ardhi zile ziko hapa na watu bado wanaambiwa ni maskwota. Mtu anakuja tu na ... view

Comments

(For newest comments first please choose 'Newest' from the 'Discussion' tab below.)
comments powered by Disqus