Ali Menza Mbogo

Parties & Coalitions

All parliamentary appearances

Entries 71 to 80 of 292.

  • 13 Mar 2024 in National Assembly: Naam. view
  • 13 Mar 2024 in National Assembly: Ndiyo, nakushukuru… view
  • 13 Mar 2024 in National Assembly: Ndiyo, nakushukuru… view
  • 13 Mar 2024 in National Assembly: Nakushukuru. Najaribu kukueleza kwa sababu pengine kuna wengine walio na shida kama hiyo lakini hawawezi… view
  • 13 Mar 2024 in National Assembly: Nakushukuru. Najaribu kukueleza kwa sababu pengine kuna wengine walio na shida kama hiyo lakini hawawezi… view
  • 13 Mar 2024 in National Assembly: Mhe. Spika wa Muda, nami ninasimama hapa kuunga mkono Ripoti hii. Nashukuru Kamati kwa kupanga mambo ya muhimu. Hii ni moja katika baraka ambazo mwenyezi Mungu atawapa neema kwa kukumbuka walemavu. Hata yule aliyeandika na anayesikiliza pia atapata baraka. Ndiyo maana tangu saa nane nimekaa hapa bila kutoka ili nami nipate neema hiyo ya kuwasaidia walemavu. Si kupenda kwa mtu kuwa na ulemavu au kasoro yoyote katika mwili wake. Ulemavu unaweza kumpata mtu yeyote ambaye sasa hivi anajiona mzima. Sote tunatumia vyombo vya moto, hivyo tunaweza kupatikana na jambo lolote wakati wowote na kuingia katika hali hiyo. Sheria zipo za ... view
  • 13 Mar 2024 in National Assembly: Mhe. Spika wa Muda, nami ninasimama hapa kuunga mkono Ripoti hii. Nashukuru Kamati kwa kupanga mambo ya muhimu. Hii ni moja katika baraka ambazo mwenyezi Mungu atawapa neema kwa kukumbuka walemavu. Hata yule aliyeandika na anayesikiliza pia atapata baraka. Ndiyo maana tangu saa nane nimekaa hapa bila kutoka ili nami nipate neema hiyo ya kuwasaidia walemavu. Si kupenda kwa mtu kuwa na ulemavu au kasoro yoyote katika mwili wake. Ulemavu unaweza kumpata mtu yeyote ambaye sasa hivi anajiona mzima. Sote tunatumia vyombo vya moto, hivyo tunaweza kupatikana na jambo lolote wakati wowote na kuingia katika hali hiyo. Sheria zipo za ... view
  • 13 Mar 2024 in National Assembly: iliyoko katika Katiba ama zaidi, ili Mwenyezi Mungu pia atupe baraka katika Taifa hili. Ahsante sana. view
  • 13 Mar 2024 in National Assembly: iliyoko katika Katiba ama zaidi, ili Mwenyezi Mungu pia atupe baraka katika Taifa hili. Ahsante sana. view
  • 13 Mar 2024 in National Assembly: Asante sana, Mhe. Spika wa Muda, kwa kunipatia fursa hii nami niweze kuchangia Hoja hii. Kwanza, kuwashugulikia walemavu ni baraka kubwa sana kutoka kwa Mwenyezi Mungu. Hata Mhe. ambaye ameleta Hoja hii, tayari ameshapata baraka za Mwenyezi Mungu. Mimi nimefanya bidii nichangie niwe miongoni mwa wale ambao watakaopata baraka. view

Comments

(For newest comments first please choose 'Newest' from the 'Discussion' tab below.)
comments powered by Disqus