Davis Wafula Nakitare

Born

7th May 1943

Post

P. O. Box 126 Endebess

Email

nakitare@africaonline.co.ke

Telephone

0722489317

Telephone

0735669729

All parliamentary appearances

Entries 111 to 120 of 973.

  • 1 Oct 2024 in Senate: Asante, Bw. Spika. Ningependa kuchangia Kauli ya mashamba ya ADC ambayo yamo humu nchini. Kuna wafanyakazi ambao wanafanya kazi kwenye mashamba haya. Wanaishi kwenye madongo poromoka. Hawalipwi kwa wakati unaostahili. Watoto hawaendi shule, ilhali wakurugenzi na wasimamizi wa mashamba haya wanaishi Maisha ya starehe bila kuwahurumia wafanyikazi hawa. Kauli hii inaenda sambamba na Kauli ya unyakuzi wa mashamba. Katika Jumba hili niliuliza maswali kuhusiana na idadi ya mashamba ya umma katika Kaunti ya Bungoma. Takriban miezi minne iliyopita majibu bado hayajaletwa. Hii ni ishara tosha kwamba sisi kama Bunge la Seneti tusipochunga mashamba katika kaunti zetu, zitanyakuliwa. Wakati wa ujenzi ... view
  • 25 Sep 2024 in Senate: Thank you, Mr. Speaker, Sir. I rise pursuant to Standing Order No. 53(1) to seek a statement from the Standing Committee on Labour and Social Welfare concerning the fate of casual workers serving in the Health Department of Bungoma County Government. In the statement, the committee should- (1) Explain whether there are any plans to regularize the employment of over 700 casual workers in the Health Department of Bungoma County Government, either by placing them on contractual or permanent and pensionable terms. (2) Clarify whether the advertisement made in August, 2024, for various vacancies, including clinical officers, medical officers and ... view
  • 25 Sep 2024 in Senate: Thank you, Mr. Speaker, Sir. I will proceed to ask my Questions. (a) What initiatives has the Ministry of Tourism and Wildlife implemented to develop and promote tourism in Bungoma County? (b) How many employees has the Ministry deployed to the county to support tourism development initiatives, and could the Cabinet Secretary also explain steps taken to address any shortfall? (c) Could the Cabinet Secretary provide a status update on all programmes in Bungoma County budgeted for by the Ministry in the financial years 2022/2023 and 2023/2024, and outline any other programmes earmarked for funding in the short- and mid-term? ... view
  • 25 Sep 2024 in Senate: Mr. Deputy Speaker, Sir, I appreciate the Cabinet Secretary for the brief responses she has put out for us. However, we all understand that tourism is a venture that has predominantly benefited other regions in this country like the Maasai Mara, Naivasha and Nakuru. Unfortunately, zones like the western circuit of Kakamega, Bungoma and Trans Nzoia have not benefited immensely from these funds that she has executed. That is why my questions were very specific on the number of staff deployed to Bungoma County and the amount of resources, specifically channelled to there. She has also by extension mentioned meetings ... view
  • 25 Sep 2024 in Senate: Mr. Deputy Speaker, Sir, I am coming to that and I beg that you have a little bit of patience. view
  • 25 Sep 2024 in Senate: In specifics, how many meetings have been done in Bungoma? Apart from the budget I have seen on the main gate, which is in Trans Nzoia, the other part in Bungoma is in the dark. So, how much were the resources allocated? The electronic version of the Senate Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Director, Hansard and AudioServices, Senate. view
  • 25 Sep 2024 in Senate: She may not have the answers right now, but in due course, we can have specific answers for Bungoma as well as the strategic plan for Bungoma. This is so that we can partner with this county and tap the untapped potential. I thank you. view
  • 25 Sep 2024 in Senate: Mr. Speaker, Sir, I can allow my colleagues to ask their questions, Mr. Deputy Speaker, Sir. view
  • 24 Sep 2024 in Senate: Thank you, Mr. Speaker, Sir. view
  • 24 Sep 2024 in Senate: Asante, Bw. Spika. Nilikuwa nachangia kauli hii nikisema ya kwamba, kuna miradi mingi ya maendeleo ambayo imekwama katika kaunti zetu. Kwa mfano, kuna kaunti ambazo miradi na mijengo imekwama kwa muda wa takriban miaka kumi, miaka sita na mingine miaka mitatu. Hatuoni sababu inayoshinikiza miradi hii kutokamilika. Ukipiga kurunzi, tunapata ya kwamba ni miradi ambayo huwapa mapato wanakandarasi ama baadhi ya maafisa katika kaunti husika. Hivi kuhakikisha ya kwamba Wakenya na wanakaunti wanakamuliwa pasipo wao kujua. Ninaunga Mhe. Sen. Kavindu Muthama mkono kwamba magavana na serikali za kaunti ziweze kujukumika. Wanapoanzisha miradi ya maendeleo, ikamilike katika awamu zao za uongozi ... view

Comments

(For newest comments first please choose 'Newest' from the 'Discussion' tab below.)
comments powered by Disqus