30 Sep 2020 in Senate:
Bw. Spika, nimesikia Sen. Madzayo akisema kwamba Rais wa kwanza alipea watu fulani mashamba kama zawadi lakini sidhani kuna jambo kama hilo kuwa watu walipewa shamba kama zawadi. Watu wengi wanaoishi katika mashamba hayo walinunua wakitumia hela zao na niko na ushahidi. Sijui fulani fulani ni kina nani. Watu wako na majina na hakuna fulani fulani. Kama ni kikundi cha watu, kinajulikana na hakuna haja ya mtu kusema watu fulani fulani ilhali anajua majina zzao Watu wengi katika sehemu nyingi za Kenya walinunua shamba yao na hawakupewa kama zawadi.
view
29 Sep 2020 in Senate:
Mr. Speaker, Sir, the Report is with us and we are reading it. If they had not written everything in it, they would have asked for more information so that they include everything in it. We are responding to what is in it. The electronic version of the Senate Hansard Report is for information purposes only.A certified version of this Report can be obtained from the Hansard Editor, Senate.
view
29 Sep 2020 in Senate:
On a point of order, Mr. Speaker, Sir.
view
29 Sep 2020 in Senate:
On a point of order, Mr. Speaker, Sir.
view
29 Sep 2020 in Senate:
Mr. Speaker, Sir, I am just concerned as to whether we are dealing with the Report or not. This is because the Senator called Carol to find out whether it is true or not. I do not know why we are discussing Carol and maybe her age.
view
24 Sep 2020 in Senate:
Kwa jambo la nidhamu, Bw. Spika.
view
24 Sep 2020 in Senate:
Bw. Spika, watu wa Lamu wanaendelea kusononeka kwa shida, ilhali Seneta kutoka Kilifi anajua vizuri watu walionyakua ardhi yao. Ni vizuri angelisema mbele wa Bunge hili, badala ya kungoja, ilhali wale ndugu zetu wanaendelea kusononeka na kuishi kwa umasikini. Kama angelisema angelisaidia zaidi na Seneta wa Lamu angefurahi pamoja na wanaodhulumiwa na mabepari.
view
23 Sep 2020 in Senate:
Thank you, Mr. Speaker Sir. from the onset I support the Statement by Sen. (Dr.) Mbito. Now that we had Corona---
view
23 Sep 2020 in Senate:
Mr. Speaker, Sir, I have always been lucky. It should be a new normal that we do not concentrate so much in terms of marketing our tourist site attractions outside country. We should start by marketing it in this Republic so that Kenyans can know the sites where they can see animals.
view
23 Sep 2020 in Senate:
In some parts of this country, we do not benefit much from tourists. For example, in Laikipia County, there many elephants and other animals, but the local communities do not benefit. Instead, those animals keep invading our farms, attacking them and even killing our domestic animals. Even revenue generated from tourism in Laikipia County does not benefit our people.
view